Kama Nabi ataondoka kweli Yanga, hamalizi miezi sita huko aendako, atafukuzwa

Kama Nabi ataondoka kweli Yanga, hamalizi miezi sita huko aendako, atafukuzwa

Mimi nikiwa mzoefu wa ligi hii ya bongo tangu enzi za akina Prof Madundo Mtambo akichezea Reli ya Morogoro, Jimmy Mored kule Tukuyu na wengine wengi ambao nikiwataja humu ntawachosha kwa sababu wengi hamna tofauti na Diamond, nasema Nabi kama ameamua kuondoka Utopolo na kwenda huko aendako iwe sauzi au arabuni, hana muda mrefu atafukuzwa.

Mpira wa bongo unachezwa sana nje ya uwanja, wachezaji wanaongezewa nguvu za giza, timu zinawekeza sana kwenye juju ndio maana walamba koni wakaingia kinyume nyume kule mkwakwani baada ya kuambiwa na mtaalamu wao kuwa ngoma ni ngumu sana, wenzao walianza kuicheza gemu wakiwa kule Algeria, nyie mnaroga Leo, wapi na wapi.

Bw Nabi kila la heri lakn uwezo wako ww sio wa kufundisha sauzi wala wap, naamin utard bongo t maana huku unapaweza kwa sababu ya dua zileeeee
Robertinho mwenyewe kashakuwa mbabe wake. Popote atakapoenda, Simba wana uhakika wa kujipigia.
 
Mimi nikiwa mzoefu wa ligi hii ya bongo tangu enzi za akina Prof Madundo Mtambo akichezea Reli ya Morogoro, Jimmy Mored kule Tukuyu na wengine wengi ambao nikiwataja humu ntawachosha kwa sababu wengi hamna tofauti na Diamond, nasema Nabi kama ameamua kuondoka Utopolo na kwenda huko aendako iwe sauzi au arabuni, hana muda mrefu atafukuzwa.

Mpira wa bongo unachezwa sana nje ya uwanja, wachezaji wanaongezewa nguvu za giza, timu zinawekeza sana kwenye juju ndio maana walamba koni wakaingia kinyume nyume kule mkwakwani baada ya kuambiwa na mtaalamu wao kuwa ngoma ni ngumu sana, wenzao walianza kuicheza gemu wakiwa kule Algeria, nyie mnaroga Leo, wapi na wapi.

Bw Nabi kila la heri lakn uwezo wako ww sio wa kufundisha sauzi wala wap, naamin utard bongo t maana huku unapaweza kwa sababu ya dua zileeeee



Ukiangalia mafanikioa ya soka la Tanzania yanaendaka kabisa na uwekezaji, mama ni Kuloga, basi coastal wangefanya vizuri sana.

Anyway, nisikuchoshe, akili huna
 
Yaani mpira unaanza tu mtu anabutua nje!!!! ,What the fck. Hawa akina Fei Toto ulaya watapasikia km tunavyopasikia mbinguni
 
AC Leopards si ya DRC hiyo? Jiongeze....kuna mambo ukiyajua kuhusu mpira wa Afrika utastaajabu ya Mussa.
Mambo gani hayo
Mbona timu zetu za Africa kila mwaka zinaishia robo kwenye WC
Kwa Nini hayo mambo hayatusaidii tuchukue kombe ?
 
Mambo gani hayo
Mbona timu zetu za Africa kila mwaka zinaishia robo kwenye WC
Kwa Nini hayo mambo hayatusaidii tuchukue kombe ?
Sijasema yanasaidia au hayasaidii, ninachosema yanafanyika sana kama mleta mada alivyosema.
 
Muda wa kuondoka Prof Nabi Utopoloni haujafika , enyi Mbumbumbu Fc acheni Ramli chonganishi! Yani utopolo kubeba makombe misimu miwili mfululizo mnataka Nabi aondoke kwanini mmekuwa wanga namna hii! Huu ni muda wetu kufurahi ongeleeni ya kwenu!
Prof Nabi ni kila kitu Utopoloni akiondoka tumekwisha!

Eng Hersi mtu akija ofisini kwako kuongea nawe anaona wazi ulivyo mtu makini and smart please shikilia bomba kwa Prof Nabi mpe pesa akae misimu kumi makolo wote waendelee kutulia Maana Wana midomo sana na miaka miwili Sasa hawana kombe la bara wako kimyaaa wameloaaaa!
 
Kama kawaida yenu,kuwalaani waliopita kwenu,mpira ni ajira,mtu anakwenda, palipo na maslahi zaidi
 
Mimi nikiwa mzoefu wa ligi hii ya bongo tangu enzi za akina Prof Madundo Mtambo akichezea Reli ya Morogoro, Jimmy Mored kule Tukuyu na wengine wengi ambao nikiwataja humu ntawachosha kwa sababu wengi hamna tofauti na Diamond, nasema Nabi kama ameamua kuondoka Utopolo na kwenda huko aendako iwe sauzi au arabuni, hana muda mrefu atafukuzwa.

Mpira wa bongo unachezwa sana nje ya uwanja, wachezaji wanaongezewa nguvu za giza, timu zinawekeza sana kwenye juju ndio maana walamba koni wakaingia kinyume nyume kule mkwakwani baada ya kuambiwa na mtaalamu wao kuwa ngoma ni ngumu sana, wenzao walianza kuicheza gemu wakiwa kule Algeria, nyie mnaroga Leo, wapi na wapi.

Bw Nabi kila la heri lakn uwezo wako ww sio wa kufundisha sauzi wala wap, naamin utard bongo t maana huku unapaweza kwa sababu ya dua zileeeee

Nabi alipo itoa Yanga na alipifikisha no doubt ni kocha mzuri, yaani Yanga ya kina Molinga na Yikpe mpaka ya akina Mayele, jamaa ni Genius, maana kipindi kile cha kina Molinga hata kutizama mechi nilikuwa naona uvivu.

Hizi habari za kuondoka ni tetesi ila Kolo FC mmezishikia bango.
 
Kishingo yuko Wydad Leo anaweza akaenda huko na akafanya vizuri zaidi sisi tuna ligi ya hovyo ya kukomoana ligi ambayo team inayowakilisha kimataifa inapewa ratiba ngumu isiyotoa nafasi ya kujiandaa kwa wachezaji wala kupumzika sembuse huko wanakojali!?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwahiyo Nabi alifanikiwa kwa sababu ya Dua zile ......[emoji119], Ngoja Simba nasi tufanye hizo Dua huenda tukachukua Champions League kupitia Dua [emoji2957]

Nachojua kuwa Nabi amefanikiwa hapo Yanga kwa kuwa amekaa na Kikosi Muda mrefu lakini pia amefanikiwa kuletewa wachezaji wenye Ubora aliowataka Yeye, sio kuletewa kama Simba tunavyofanya.

Ukiangalia Simba, ndani ya Misimu Miwili tumebadirisha Makocha Watatu kwa mara moja
Simba bado wanavishoka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]simba kwasasa ni timu ya ndondo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nikiwa mzoefu wa ligi hii ya bongo tangu enzi za akina Prof Madundo Mtambo akichezea Reli ya Morogoro, Jimmy Mored kule Tukuyu na wengine wengi ambao nikiwataja humu ntawachosha kwa sababu wengi hamna tofauti na Diamond, nasema Nabi kama ameamua kuondoka Utopolo na kwenda huko aendako iwe sauzi au arabuni, hana muda mrefu atafukuzwa.

Mpira wa bongo unachezwa sana nje ya uwanja, wachezaji wanaongezewa nguvu za giza, timu zinawekeza sana kwenye juju ndio maana walamba koni wakaingia kinyume nyume kule mkwakwani baada ya kuambiwa na mtaalamu wao kuwa ngoma ni ngumu sana, wenzao walianza kuicheza gemu wakiwa kule Algeria, nyie mnaroga Leo, wapi na wapi.

Bw Nabi kila la heri lakn uwezo wako ww sio wa kufundisha sauzi wala wap, naamin utard bongo t maana huku unapaweza kwa sababu ya dua zileeeee
uchuro
 
Back
Top Bottom