Kama nchi tumefeli kwenye Ufunguzi wa African Football League

Tena kuliko Royal tour
 
Caf wanamjua ali kiba?
Kwa nn ile nafasi ya alikiba kutumbuiza wasingewapa team za academy
Hakuna ufunguzi niliowahi kuona hizo content unazosemea, Ila ni wazo nzuri sana hapo Kwa alikiba Pana ukakasi inawezekana viongozi wa Simba walipewa nafasi ya kupendekeza jina la mtumbuizaji wao wakaona kiba anafaa
 
Kudhamini mechi kinahitaji hela ndefu. Visit Rwanda inayoonekana kwenye jezi ya Arsenal kagame anatoa £10m kwa mwaka Sawa na hela ya Samia Tzs 30b/=
 
Yale mashindano yapo chini ya CAF sio Tanzania. Wadhamini wana-submit ofa zao mwenye kisu kikali ndie atakaekula nyama.
 
Visit Tanzania alitakiwa kuweka bid nayeye, zile ni hela zimewekwa pale,
 
No vijana wangecheza hata vijana wenzao kwa mfano wangecheza fountain gates academy na simba ila vijana na wanawake kabla ya mechi husika that's was my point mkuu.
Ili iweje sasa, hii ni kitu mpya
 
Hapana sidhani kama mkataba wa team husika unaingiliana na wadhamini wakuu ndio maana bakhresa anatangaza mo energy licha ya kuwa mpinzani wake kwenye AZAM energy.
Bro unakumbuka case ya Yanga mwaka Jana ya sport pesa sijui na 1bet kule Confederation Cup Mkuu? Poa hata Simba ya Mbet na hiyo kampuni iliyodhamino Champion Leagu ya mwaka jana? Nilichukulia nadharia ile nikairelate na game ya jana ya Simba na Visit Tanzania Mkuu.
 
Umepuyanga. Usiniulize kwanini. Wataeleza wengine.
 
Yes hili ni kweli kabisa Mimi iliniudhi sana mpka kwenye information zone pale Red carpet pia Visit Rwanda kwani hakukuwa na Tanzania...
Ni muhimu saa kuangalia Mikataba tunayoungia isije ikatufnya kuwa watumwa kama Jana
Watu mnachekesha sana Simba anahusikaje pale kwenye uo unauita mkataba ? Mashindano ni ya CAF na FIFA wao ndio waamuzi na wasimamizi ,ulitakiwa kusema sisi kama nchi ilipaswa tuzamini mashindano haya ili kutangaza utalii wetu ..
 
Kudhamini mechi kinahitaji hela ndefu. Visit Rwanda inayoonekana kwenye jezi ya Arsenal kagame anatoa £10m kwa mwaka Sawa na hela ya Samia Tzs 30b/=
Alaf Rwanda ni kama kamkoa kamoj tu ka TZ ama kama sio wilaya moja aseee
 
Umepuyanga. Usiniulize kwanini. Wataeleza wengine.
Umenikumbusha mbali mkuu [emoji1787][emoji1787] kama job ndugai anadai aliambiwa na mzee malecela ajiuzulu na asiulize kwa nini na akafanya kama alivyoambiwa kipindi kile watu wanamuandama.
 
Hapana mkuu its totally difference unaweza ukashangaa raisi wa FIFA na arsene Wenger hakupata hata proposals kutoka kwa watanzania zaidi ya kuomba picha mtu kama yule anatakiwa aondoke na document nyingi alizopewa na watanzania on how to develop African football ili watupe support ila kila mtu kaomba picha tu.
 
Hakuna ufunguzi niliowahi kuona hizo content unazosemea, Ila ni wazo nzuri sana hapo Kwa alikiba Pana ukakasi inawezekana viongozi wa Simba walipewa nafasi ya kupendekeza jina la mtumbuizaji wao wakaona kiba anafaa
Ni kweli mkuu ila nazungumzia hali yetu ya mpira ilivyo kwa sasa na aina ya watu waliokuja hilo lingewezekana kufanyika
 
Kongole kwako umeongea kitu kikubwa sana mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…