Kama nchi tumefeli kwenye Ufunguzi wa African Football League

Kama nchi tumefeli kwenye Ufunguzi wa African Football League

Watu mnachekesha sana Simba anahusikaje pale kwenye uo unauita mkataba ? Mashindano ni ya CAF na FIFA wao ndio waamuzi na wasimamizi ,ulitakiwa kusema sisi kama nchi ilipaswa tuzamini mashindano haya ili kutangaza utalii wetu ..
Nahisi sijui hukunisoma tangu mwanzoni yaani umekurupuka kujibu bila kujua mlengo wango..
Na kingine hapo kwenye comment yangu umeona mahali nimetaja Simba..

Mashindano hayo sio ya simba yako chini ya CAF na FIFA nilichosema ni kuhusu Mikataba baina ya CAF ,FIFA kuhusu Mecho kwamba kwanini mikataba isingekuwa na mashart nafuu ikiwemo kutangza utalii wa ndani na sio utalii wa nchi zingine..

Unakuja unaibuka unaongea Vitu visivyoelewa Sometimes mnahitaji Elimu tu...
Na sio majibu ya comments
 
Habari za wakati huu wakuu,

Jana ilikuwa siku muhimu sana katika Historia ya Soka la Tanzania na Africa kwa ujumla baada ya Ufunguzi wa African Football League katika Uwanja wa Benjamin william Mkapa mechi ambayo iliisha kwa sare ya goli mbili.

Wadhamini wakubwa wa mashindano haya ni Saudia na Rwanda, ambapo wakati mechi inaendelea maneno kama Visit Rwanda na Visit Saudia yalionekana, ambayo kiuhalisia hiyo nafasi ilitakiwa iwe yetu.

Inamaana kuanzia zanzibar na Tanzania bara hawakuona umuhimu wa kutafuta kitu cha kututangaza kama nchi mpaka Rwanda na Saudia wanachangamkia fursa sisi tupo tumelala usingizi wa pono! Hapo kama nchi tumefeli.

Kwa tukio la jana ambalo watu maarufu na viongozi mbalimbali wa mpira Duniani walikuwa uwanjani akiwemo Rais wa FIFA na aliyekuwa Kocha wa zamani wa Arsenal, Mzee Arsene Wenger ilikuwa fursa adhimu ya kuonyesha vipaji mbalimbali tulivyonavyo katika nchi yetu.

Hivyo nilitegemea wachezaji wa Timu ya Wanawake ya Simba na wachezaji vijana wa Simba kucheza mechi za ufunguzi kabla ya mechi rasmi, kwasababu jana kulikuwa na football agents kutoka sehemu mbalimbali duniani.

Kweli mtu amuangalie Kibu Denis na Saido Ntibazonkiza hata kama ni wachezaji wazuri atawapeleka wapi kwa umri wao? Kosa kama hilo tulifanya walivyokuja Sevilla kutoka Spain, walisema wachezaji wa Simba ni wazuri ila umri ndio ilikuwa tatizo.

Wenzetu hutumia fursa kama hizi kama njia ya kuonyesha vipaji walivyonavyo na kuonyesha uwezo wa wachezaji wadogo kama njia na fursa ya kusakata kabumbu nje ya Bara la Afrika na Tanzania kiujumla, ila na hapo pia tumefeli kama nchi na kama club.

Simba kwa kushirikiana na serikali walitakiwa waingie makubaluano katika mashindano haya makubwa kwa ngazi ya vilabu Barani Africa, nilishangaa kuona M-Bet badala ya Visit Tanzanka kwenye kifua wakati mkataba wa M-Bet ulikuwa ni CAF Champions League kwa Level za Kimataifa na Mashindano yote ya ndani, nilishangaa kuona na hili pia linatupita kama nchi tumefeli kwenye hili tena.

Kuteleza si kuanguka, ila wakati mwingine tutumie haya mashindano kibiashara zaidi kuliko kuangulia tu matokea. Bado hatujachelewa, tujipange tena kwenye Maandalizi ya AFCON, tusichezee fursa wakati zipo mlangoni mpaka majirani wanazichangamkia.

Tatizo tunaangalia kila kitu kisiasa na kiushabiki, ndio maana kila siku tunakumbuka shuka kumekucha! Tuamke wazee, Dunia ya 1980 sio ya leo 2023, next time tujipange.

Alamsik.
Royo tua ilishatangaza nchi
 
Unapoint mzee,nilivyokuelewa nikwamba nchi imenufaikaje na ufunguzi. Inafikirisha sana kuzidiwa na Rwanda kujitangaza kiiutari.....Mpaka wamepenga Arsenal,kitu ambacho ni chema kabisa!
 
Point muhimu sana hizi kuanzia ishu ya wachezaji waliopangwa hadi inshu ya kuitangaza nchi. Unamuweka benchi Phiri, mchezaji mwenye potential ya kuuzika nje unawapanga wastaafu ambao siyo tu mchango wao kwenye timu ni negative ila hakuna anayeweza kuwataka kutokana na umri wao. Kwenye hilo lingine, miaka ijayo utashangaa dunia ikiwa inadhani Dar es Salaam ipo Rwanda tutabaki kushangaana imetokeaje. Mipango ya awali ya AFCON tu inaonyesha tuna tabia ya kutofikiri mambo kwa mapana na marefu.
Hio haikua mechi ya maonyesho ya vipaji ilikua game ya ushindani ujuaji mwingi kila kitu mnajifanya mnajua
 
Sema SEVA za JF zinajazwa na Takataka tu. Kazi ni kipimo cha utu
 
Nahisi sijui hukunisoma tangu mwanzoni yaani umekurupuka kujibu bila kujua mlengo wango..
Na kingine hapo kwenye comment yangu umeona mahali nimetaja Simba..

Mashindano hayo sio ya simba yako chini ya CAF na FIFA nilichosema ni kuhusu Mikataba baina ya CAF ,FIFA kuhusu Mecho kwamba kwanini mikataba isingekuwa na mashart nafuu ikiwemo kutangza utalii wa ndani na sio utalii wa nchi zingine..

Unakuja unaibuka unaongea Vitu visivyoelewa Sometimes mnahitaji Elimu tu...
Na sio majibu ya comments
“Simba kwa kushirikiana na serikali walitakiwa waingie makubaluano katika mashindano haya makubwa kwa ngazi ya vilabu Barani Africa, “

Ndugu daktari unatusema hatuna elimu hivi ni sisi au ni wewe ndie ambae huelewi ulichokiandika? Kwenye uzi wako unataka Simba na serikali wangeingia makubaliano na Caf na Fifa , tunakuelewesha Simba Hakua na mamlaka yoyote kwenye ile match na sponsorship ya michuano hii kilichotakiwa ni Serikali Kudhamini michuano hii na yenyewe kuwa na haki za matangazo na sio kutumia privilege ya sisi kuchaguliwa kufungua kufanya hayo unayoyataka ..you don’t know everything
 
“Simba kwa kushirikiana na serikali walitakiwa waingie makubaluano katika mashindano haya makubwa kwa ngazi ya vilabu Barani Africa, “

Ndugu daktari unatusema hatuna elimu hivi ni sisi au ni wewe ndie ambae huelewi ulichokiandika? Kwenye uzi wako unataka Simba na serikali wangeingia makubaliano na Caf na Fifa , tunakuelewesha Simba Hakua na mamlaka yoyote kwenye ile match na sponsorship ya michuano hii kilichotakiwa ni Serikali Kudhamini michuano hii na yenyewe kuwa na haki za matangazo na sio kutumia privilege ya sisi kuchaguliwa kufungua kufanya hayo unayoyataka ..you don’t know everything
Kama kuna sehemu nimeandika hivyo ulivyosema Hebu nionyeshe huo uzi...
Kma nimeandika hivyo bhasi itakuwa ndo mara ya kwanza kuaga Jamiiforum baada ya kuingia humu kwa miaka takribani 13 na ushee...
Nitaaga kwa heshima
 
Kama kuna sehemu nimeandika hivyo ulivyosema Hebu nionyeshe huo uzi...
Kma nimeandika hivyo bhasi itakuwa ndo mara ya kwanza kuaga Jamiiforum baada ya kuingia humu kwa miaka takribani 13 na ushee...
Nitaaga kwa heshima
Hapo mahali nimequote nimekuwekea na fungua semi na funga semi au huyo si wewe?
 
Point muhimu sana hizi kuanzia ishu ya wachezaji waliopangwa hadi inshu ya kuitangaza nchi. Unamuweka benchi Phiri, mchezaji mwenye potential ya kuuzika nje unawapanga wastaafu ambao siyo tu mchango wao kwenye timu ni negative ila hakuna anayeweza kuwataka kutokana na umri wao. Kwenye hilo lingine, miaka ijayo utashangaa dunia ikiwa inadhani Dar es Salaam ipo Rwanda tutabaki kushangaana imetokeaje. Mipango ya awali ya AFCON tu inaonyesha tuna tabia ya kutofikiri mambo kwa mapana na marefu.

Mbona Visit Rwanda ipo hadi Uingereza.
 
Hapana mkuu its totally difference unaweza ukashangaa raisi wa FIFA na arsene Wenger hakupata hata proposals kutoka kwa watanzania zaidi ya kuomba picha mtu kama yule anatakiwa aondoke na document nyingi alizopewa na watanzania on how to develop African football ili watupe support ila kila mtu kaomba picha tu.

Tatizo umejaza assumptions zako halafu unalazimisha ziwe kweli. Yale mashindano yapo Chini ya CAF na FIFA. Wao walikubali ufunguzi ufanyikie Tanzania, ila mambo ya udhamini wanayasimamia wao. Sasa Visit Tanzania ya kwetu Simba ya kwetu haipewi hata shilingi mia. Matangazo yalifanyika kwa tender na mwenye pesa ndefu ndio akashinda.
 
Kwa hyo Rwanda na saudia wamewezaje kuwa wadhamini wakuu kwa mantiki hyo.
Walishinda tender.
CAF ili kuandaa mashindano huhitaji wadhamini, na wadhamini huomba au kuombwa kufanya hivyo kwa sharti la kutoa mpunga mrefu. Sasa Rwanda na Saud Arabia wamekuwa shapu sana kuchangamkia hizo fursa kimataifa.
 
Tatizo umejaza assumptions zako halafu unalazimisha ziwe kweli. Yale mashindano yapo Chini ya CAF na FIFA. Wao walikubali ufunguzi ufanyikie Tanzania, ila mambo ya udhamini wanayasimamia wao. Sasa Visit Tanzania ya kwetu Simba ya kwetu haipewi hata shilingi mia. Matangazo yalifanyika kwa tender na mwenye pesa ndefu ndio akashinda.
Elewa mada kwanza usikurupuke elewa point yangu halafu urudi tena kuchangia naona unaongea kishabiki na hilo ndio tatizo la watanzania weka ushabiki pembeni kwanza
 
Walishinda tender.
CAF ili kuandaa mashindano huhitaji wadhamini, na wadhamini huomba au kuombwa kufanya hivyo kwa sharti la kutoa mpunga mrefu. Sasa Rwanda na Saud Arabia wamekuwa shapu sana kuchangamkia hizo fursa kimataifa.
Mkuu jaribu kusoma bila ushabiki utanielewa zaidi ya watu kuomba picha kwa wenger na infantino kuna kitu tulitakiwa tufanye kama nchi inashangaza kuona kila mtu anapost picha akiwa na wawakilishi wa FIFA that's was nonsense.
 
Inamaana kuanzia zanzibar na Tanzania bara hawakuona umuhimu wa kutafuta kitu cha kututangaza kama nchi mpaka Rwanda na Saudia wanachangamkia fursa sisi tupo tumelala usingizi wa pono! Hapo kama nchi tumefeli.
Hivyo nilitegemea wachezaji wa Timu ya Wanawake ya Simba na wachezaji vijana wa Simba kucheza mechi za ufunguzi kabla ya mechi rasmi, kwasababu jana kulikuwa na football agents kutoka sehemu mbalimbali duniani.
Kumbuka mechi na mashindano sio ya Simba wala ya Tanzania, ni ya CAF na FIFA. Huwezi kukurupuka kujipangia eti Yanga Princess wacheze na Simba Queens wakati na wewe ni mwalikwa tu. Ni sawa na kupewa lift halafu ukaanza kutoa maelekezo kuwa tumpitie na Ashura hapo Buza
 
Habari za wakati huu wakuu,

Jana ilikuwa siku muhimu sana katika Historia ya Soka la Tanzania na Africa kwa ujumla baada ya Ufunguzi wa African Football League katika Uwanja wa Benjamin william Mkapa mechi ambayo iliisha kwa sare ya goli mbili.

Wadhamini wakubwa wa mashindano haya ni Saudia na Rwanda, ambapo wakati mechi inaendelea maneno kama Visit Rwanda na Visit Saudia yalionekana, ambayo kiuhalisia hiyo nafasi ilitakiwa iwe yetu.

Inamaana kuanzia zanzibar na Tanzania bara hawakuona umuhimu wa kutafuta kitu cha kututangaza kama nchi mpaka Rwanda na Saudia wanachangamkia fursa sisi tupo tumelala usingizi wa pono! Hapo kama nchi tumefeli.

Kwa tukio la jana ambalo watu maarufu na viongozi mbalimbali wa mpira Duniani walikuwa uwanjani akiwemo Rais wa FIFA na aliyekuwa Kocha wa zamani wa Arsenal, Mzee Arsene Wenger ilikuwa fursa adhimu ya kuonyesha vipaji mbalimbali tulivyonavyo katika nchi yetu.

Hivyo nilitegemea wachezaji wa Timu ya Wanawake ya Simba na wachezaji vijana wa Simba kucheza mechi za ufunguzi kabla ya mechi rasmi, kwasababu jana kulikuwa na football agents kutoka sehemu mbalimbali duniani.

Kweli mtu amuangalie Kibu Denis na Saido Ntibazonkiza hata kama ni wachezaji wazuri atawapeleka wapi kwa umri wao? Kosa kama hilo tulifanya walivyokuja Sevilla kutoka Spain, walisema wachezaji wa Simba ni wazuri ila umri ndio ilikuwa tatizo.

Wenzetu hutumia fursa kama hizi kama njia ya kuonyesha vipaji walivyonavyo na kuonyesha uwezo wa wachezaji wadogo kama njia na fursa ya kusakata kabumbu nje ya Bara la Afrika na Tanzania kiujumla, ila na hapo pia tumefeli kama nchi na kama club.

Simba kwa kushirikiana na serikali walitakiwa waingie makubaluano katika mashindano haya makubwa kwa ngazi ya vilabu Barani Africa, nilishangaa kuona M-Bet badala ya Visit Tanzanka kwenye kifua wakati mkataba wa M-Bet ulikuwa ni CAF Champions League kwa Level za Kimataifa na Mashindano yote ya ndani, nilishangaa kuona na hili pia linatupita kama nchi tumefeli kwenye hili tena.

Kuteleza si kuanguka, ila wakati mwingine tutumie haya mashindano kibiashara zaidi kuliko kuangulia tu matokea. Bado hatujachelewa, tujipange tena kwenye Maandalizi ya AFCON, tusichezee fursa wakati zipo mlangoni mpaka majirani wanazichangamkia.

Tatizo tunaangalia kila kitu kisiasa na kiushabiki, ndio maana kila siku tunakumbuka shuka kumekucha! Tuamke wazee, Dunia ya 1980 sio ya leo 2023, next time tujipange.

Alamsik.
kaka ungefanya homework kujua kuhusiana na hayo mashindano.. yaani unataka Simba na TFF wapange ratiba kwenye mashindano ambayo hayawahusu.. hapo kila kitu kimesimamiwa na CAF Simba ni mshiriki tu.. ni kama vile Kombe la dunia au AFrika.. nchi inapewa maandalizi tu ya viwanja lakini taratibu zote za match za ndani ya uwanja kuanzia marefa na hadi nini kifanyike uwanjan msimamizi ni mamlaka ya soka CAF au FIFA.. so ile sio Simba day eti team ya vijana SImba wacheze.. simba hana mamlaka yoyote pale..
 
Tanzania tuna Kansa ya waamuzi wabovu, amekuja mtu mkubwa kabisa kwenye tasnia ya uamuzi Duniani, cha ajabu TFF wameshindwa kukaa naye kuona namna gani anaweza kusaidia Tanzania tukazalisha waamuzi Bora.
 
Habari za wakati huu wakuu,

Jana ilikuwa siku muhimu sana katika Historia ya Soka la Tanzania na Africa kwa ujumla baada ya Ufunguzi wa African Football League katika Uwanja wa Benjamin william Mkapa mechi ambayo iliisha kwa sare ya goli mbili.

Wadhamini wakubwa wa mashindano haya ni Saudia na Rwanda, ambapo wakati mechi inaendelea maneno kama Visit Rwanda na Visit Saudia yalionekana, ambayo kiuhalisia hiyo nafasi ilitakiwa iwe yetu.

Inamaana kuanzia zanzibar na Tanzania bara hawakuona umuhimu wa kutafuta kitu cha kututangaza kama nchi mpaka Rwanda na Saudia wanachangamkia fursa sisi tupo tumelala usingizi wa pono! Hapo kama nchi tumefeli.

Kwa tukio la jana ambalo watu maarufu na viongozi mbalimbali wa mpira Duniani walikuwa uwanjani akiwemo Rais wa FIFA na aliyekuwa Kocha wa zamani wa Arsenal, Mzee Arsene Wenger ilikuwa fursa adhimu ya kuonyesha vipaji mbalimbali tulivyonavyo katika nchi yetu.

Hivyo nilitegemea wachezaji wa Timu ya Wanawake ya Simba na wachezaji vijana wa Simba kucheza mechi za ufunguzi kabla ya mechi rasmi, kwasababu jana kulikuwa na football agents kutoka sehemu mbalimbali duniani.

Kweli mtu amuangalie Kibu Denis na Saido Ntibazonkiza hata kama ni wachezaji wazuri atawapeleka wapi kwa umri wao? Kosa kama hilo tulifanya walivyokuja Sevilla kutoka Spain, walisema wachezaji wa Simba ni wazuri ila umri ndio ilikuwa tatizo.

Wenzetu hutumia fursa kama hizi kama njia ya kuonyesha vipaji walivyonavyo na kuonyesha uwezo wa wachezaji wadogo kama njia na fursa ya kusakata kabumbu nje ya Bara la Afrika na Tanzania kiujumla, ila na hapo pia tumefeli kama nchi na kama club.

Simba kwa kushirikiana na serikali walitakiwa waingie makubaluano katika mashindano haya makubwa kwa ngazi ya vilabu Barani Africa, nilishangaa kuona M-Bet badala ya Visit Tanzanka kwenye kifua wakati mkataba wa M-Bet ulikuwa ni CAF Champions League kwa Level za Kimataifa na Mashindano yote ya ndani, nilishangaa kuona na hili pia linatupita kama nchi tumefeli kwenye hili tena.

Kuteleza si kuanguka, ila wakati mwingine tutumie haya mashindano kibiashara zaidi kuliko kuangulia tu matokea. Bado hatujachelewa, tujipange tena kwenye Maandalizi ya AFCON, tusichezee fursa wakati zipo mlangoni mpaka majirani wanazichangamkia.

Tatizo tunaangalia kila kitu kisiasa na kiushabiki, ndio maana kila siku tunakumbuka shuka kumekucha! Tuamke wazee, Dunia ya 1980 sio ya leo 2023, next time tujipange.

Alamsik.
Unatangazwa bila kuweka HELA?

HELA unazo?
 
Back
Top Bottom