Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,746
yaani......... sijui tuseme tumwombe Mungu atunusuru!!!!!! atatunusuruje na wadada wanaoneana wivu kuhongwa ma-landcruizer na majumba ya kifahali? as if sisi hatuna vichwa na mikono kufanya kazi tujinunulie wenyeweAisee lile tangazo ni ukweli mtupu!!