Maake sasa hizi ni dharau, na mateso, vyama wa wafanyakazi vimeshindwa kujua kua ile pesa ndio tunaitegemeaga sana kuinua miradi mikubwa,
Leo hii unipe 33% itanisaidia nini, mbn wabunge wanapewa 100% tena ni hela nyingi sana ndani ya 5yrs?
Mlipe mishahara midogo bado na pensheni mminye?
Kwakua serikali na vyama vya wafanyakazi wameamua kutudharau nashauri mtumishi yoyote popote pale ulipo we kula kwa urefu wa kamba yako, fuja kwa kadri utakavyoweza
Leo hii unipe 33% itanisaidia nini, mbn wabunge wanapewa 100% tena ni hela nyingi sana ndani ya 5yrs?
Mlipe mishahara midogo bado na pensheni mminye?
Kwakua serikali na vyama vya wafanyakazi wameamua kutudharau nashauri mtumishi yoyote popote pale ulipo we kula kwa urefu wa kamba yako, fuja kwa kadri utakavyoweza