Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Ni dharau kubwa snHili nilishalisema tangu enzi za Jiwe kuwa ukipata Target piga risasi
Yaani kama vitani tu.
Hii nchi ina mambo ya hovyo.
Mbunge darasa la saba atumikie miaka 5 kisha umpe mafao ya milioni 250 huku daktari atumikie miaka 40 umpe milioni 150 inawezekana vipi?.