Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Unakulaga tizi, japo km 5 hivi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakulaga tizi, japo km 5 hivi
[emoji3]tatizo ni wachache hawa watuBadala ya kumsimanga ungechukulia kama fursa ukawa unauza nguo za watu wanene Kwa bei mbaya
hauko makini ktk kutoa maonNyie wanawake huwa mnahangaima na vitu vidogo sana na wivu sometimes. Hapo wewe utakuwa kimbaumbau unaona wenzio wana mavitu ya maana chini ya mgongo unaumia. Sisi wanaume wengi tunapenda shape za kibantu. Nyie wembamba labda itokee tu....
Leo nmegundua kumbe wewe ni mnene/big/overweight/Bonge/Minyamauzembe/Kitukunya/Tinkinya/Fuso/Puto.Nyie wanawake huwa mnahangaima na vitu vidogo sana na wivu sometimes. Hapo wewe utakuwa kimbaumbau unaona wenzio wana mavitu ya maana chini ya mgongo unaumia. Sisi wanaume wengi tunapenda shape za kibantu. Nyie wembamba labda itokee tu....[emoji23]tafuta pesa usitafute watu dada.
Sawa sister.Leo nmegundua kumbe wewe ni mnene/big/overweight/Bonge/Minyamauzembe/Kitukunya/Tinkinya/Fuso/Puto.
Nyie ndo huwa mnaambiwa "Tafadhali abiria tunakuomba ushuke, Gari linaenda mzani" [emoji23]
Nyie ndo mnalipishwa nauli za watu wawili kwenye siti.
Nyie ndo mkipanda mzani kupima uzito unasoma 'to be continued'
Mbona huna unene mkuu
Ndiyo maana nimesema uzito unachangiwa na mifupa na mafuta kwa kiasi kikubwa na siyo nyamaMbona huna unene mkuu
Yeah sure,..hongera kwa mwiliNdiyo maana nimesema uzito unachangiwa na mifupa mafuta kwa kiasi kikubwa na siyo nyama
Naomba Nitumie pic yako PM. Hide your face 🙏🏼Yeah sure,..hongera kwa mwili
Mkuu una urefu futi ngapi?, kama upo chini ya futi 6 basi jua una uzito mkubwa sana na hiyo ni dalili ya unene usi relax Mkuu, kata mwili ucheze kwenye kg 70-75 hapo ndio angalau utasema sio mnene.Ndiyo maana nimesema uzito unachangiwa na mifupa na mafuta kwa kiasi kikubwa na siyo nyama
Katk watot waliozaliwa na kilo nyongi bas ni mm kilo 5 sas ajabu leo hii mm ni mwembamba sanBila shaka kisu kilitumika(sio kwa ubaya, nawaza tu maana hizo kilo ni za mtoto wa miezi 3 Duniani)
Njia ya kawaidaBila shaka kisu kilitumika(sio kwa ubaya, nawaza tu maana hizo kilo ni za mtoto wa miezi 3 Duniani)
Weekend nakimbia jumla 50km plus other tough exercisesUnakulaga tizi, japo km 5 hivi
Urefu futi 5.8, kila weekend nakimbia jumla 50km plus other touch exercises. Niliwahi kufyeka na kung'oa visiki ekari 5 kwa mwezi mmoja. Nasomba maji kwa mikono kwa kubebe madumu mawili ya 20ltrs jumla pipa tatuMkuu una urefu futi ngapi?, kama upo chini ya futi 6 basi jua una uzito mkubwa sana na hiyo ni dalili ya unene usi relax Mkuu, kata mwili ucheze kwenye kg 70-75 hapo ndio angalau utasema sio mnene.
Kama pia hauwezi kutembea km 5+ jua kipengele unacho Mkuu.
Sikatai kuna watu wana yzito mkubwa kuliko muonekano wa kujaa kwa miili yao ila amini kuwa huo uzito ukiwa mkubwa tofauti na uwiano wa urefu wao bado ni tatizo.
Kwa kg zako unatakiwa uwe mrefu vyakutosha angalau futi 6.2+, sasa hapo jipime mwenyewe Mkuu ujikadirie.
Shida kubwa ya hawa watu wanakuwa na apetite ya ajabu sana,inafikia mahali anaweza kuamka hata saa 6 usiku au saa 8 akala msosi mzito,na kingine wengi wao huwa ni wavivu sana kwahiyo hata mazoezi kwao huwa ni mzigo...Karibia wanene wote wana lugha hii. Unene wa asili. HAKUNA UNENE WA ASILI MTU ASIKUDANGANYE. Wengi ni ksbb ya kula sana. Hapo utasikia nakula kidogo au nakula mara mbili kwa siku. Unakuta hiyo kula kidogo ni sahani nzima ya wali na nyama. Hiyo haisaidii kupunguza unene.
Angalia ni chakula gani unakula. Na ni kwa kiasi gani. Mazoezi lazima kila siku
Umri miaka 29, 91kg, Urefu futi 5.8, kila weekend nakimbia jumla 50km plus other touch exercises. Niliwahi kufyeka na kung'oa visiki ekari 5 kwa mwezi mmoja. Nasomba maji kwa mikono kwa kubebe madumu mawili ya 20ltrs jumla pipa tatuShida kubwa ya hawa watu wanakuwa na apetite ya ajabu sana,inafikia mahali anaweza kuamka hata saa 6 usiku au saa 8 akala msosi mzito,na kingine wengi wao huwa ni wavivu sana kwahiyo hata mazoezi kwao huwa ni mzigo...
unaonekana kama unaelekea arobain
Ni kweli muonekano wangu na jinsi ninavyo behave nakadiriwa kuwa mtu mzimaunaonekana kama unaelekea arobain