Mtanzatozo
JF-Expert Member
- Mar 2, 2016
- 971
- 1,165
100% bro.unaonekana umeandika ujinga lkn huo ni ukweli unaoweza kusaidia kwa zaidi ya 80%...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
100% bro.unaonekana umeandika ujinga lkn huo ni ukweli unaoweza kusaidia kwa zaidi ya 80%...
Hakuna mwanaume wa hivyo au nasema uongo ndugu zangu?Wale wote waliopo kwenye ndoa na mahusiano ambayo yanapumulia mashine muda wowote yanaenda kuzimu basi leo kuna mwarobaini wa tatizo lenu hapa.
Ukitaka kuishi na mke wako bila ugomvi inabidi ufanye kitu kimoja rahisi sana. Wala usipate shida maongezi yenu inabidi yawe kama ifuatavyo:
ASUBUHI
mkeo: baby leo ninajisikia kuchokachoka hata sijisikii kunywa chai
Wewe: usijali baby ngoja nitakuandalia maziwa na mkate siunajua jana nilirudi na siagi naimani utaenjoy tea leo
mkeo: baby huyu mtangazaji wa kipindi hiki cha magazeti simpendi sijui yupoje hajui hata kutangaza mie ananiboa
Wewe: umeona eeh dia, siku hizi mtu ukiwa muongeaji tu basi unaajiriwa tu redioni yani mimi mwenyewe huyu mtangazaji simpendi
Mkeo: baby naomba unifumue nywele nataka nikanyoe sikuhizi sipendipendi manywele
Wewe: umeona eeeh baby yani nywele siku hizi zinazingua mimi mwenyewe zangu sizipendi
MCHANA
mkeo: my husband leo najisikia tutoke nimemiss kwenda beach sana
Wewe : unataka twende beach gani ? Yani kama ulikuwa kwenye kichwa changu mimi mwenyewe nimemiss kwenda beach kinoma.
mkeo: baby mi sipendi upepo wa leo unatoka west kuelekea east mi napendaga ule upepo unaotokea east bhana
Wewe: basi baby, kitu kidogo tu unanuna usijali soon utabadili direction
USIKU
mkeo: baby leo sitaki kunywa mirinda ina sukari nyingi
Wewe: umeona mke wangu yani hii soda bhana masukari kibao utazani asali bhanaa
Mkeo: baby hivi nyie simba viporo vyenu mnamaliza lini sie yanga hatuna kiporo hata kimoja
Wewe: umeona baby yani timu ikiwa na kiporo inaniuzi yani mi mwenyewe nataka nihamie yanga
Mkeo: baby njoo tulale basi acha kuingia Instagram mi nakereka bhana
Wewe: kweli baby yanii insta sometimes inakera
Basi ndo kama hivyo, ukitaka kuishi na hivi viumbe we mkubalie tu kila kitu utaona kama ndoa yako au mahusiano yako yatayumba tena
MSISAHAU KUJA KUTUPA MREJESHO
Hahahahaha ukiendelea hivyo mwanamke atakunyea kichwani.tupo bhaana! wasema uroongo..
FRESH TUU MAVI YAKE NDO MAVI YANGU...Hahahahaha ukiendelea hivyo mwanamke atakunyea kichwani.
Duuuuh wewe umeshapewa libwata sio bureFRESH TUU MAVI YAKE NDO MAVI YANGU...
Wapo mbona mimi nipo hivyoHakuna mwanaume wa hivyo au nasema uongo ndugu zangu ?
Mwambie huyo kazoea kubishanatupo bhaana! wasema uroongo..
Akikunyea unamwambia yana harufu mzuri hahahahahahhahahaaahHahahahaha ukiendelea hivyo mwanamke atakunyea kichwani.
Ndo mapenzi yenyewe sasaMapenzi haya ya kufikirika na yakifilipino.
Utashindwaje kirahisi ivyoAiseeee! Basi nimeshindwa mie...
Kipindi cha MALENGA WETU kinaanza saa ngapi? Tusiikilize mashairi
Naona umemsapoti mke wakoUnaonekana umeandika ujinga lkn huo ni ukweli unaoweza kusaidia kwa zaidi ya 80%...
Mashaah Allah 😍