boyson onlye
JF-Expert Member
- Sep 13, 2015
- 1,108
- 1,397
Habari,
Ninaandika huu uzi nikiwa na masikitiko makubwa mno yanayozidi kiasi; natamani kuukana uzalendo kabisa
Nilienda kupokea mzigo wangu pale airport kg 63 personal effect ambao ulichukua siku nne mpaka kuutoa pale ndani
Kwa ufupi airport cargo kuna mapungufu makubwa mno na gharama ambazo si za msingi
1. Ili upate mzigo lazima uwe na agent ambaye unatakiwa umlipe sijui kwa. Nini wameweka huu mfumo?
2. Mzigo unakagulia na taasisi kama tano hivi na zote unatakiwa ulipie TRA, TBS, hearth care, TFDA n.k
Hizo taasisi utakuta kuna agent mmoja mmoja ambae anakagua mizigo na kuingiza data
Nimesikitishwa kuona TBS wana fees kubwa kuliko TRA nililipa TRA 41,000/- TBS 180,000/- (personal effect )
Gharama za storage zipo juu ya mteja japo uzembe wa kutoa mzigo ni wa mamlaka husika
Mwisho
Rafiki yangu alituma mzigo kupia Kenya mpaka Tanzania alilipa laki mbili mpaka kuupata mimi nimemaliza laki saba
Mamlaka husika boresheni huduma za Airport mnakosa mapato mengi kizembe
Ninaandika huu uzi nikiwa na masikitiko makubwa mno yanayozidi kiasi; natamani kuukana uzalendo kabisa
Nilienda kupokea mzigo wangu pale airport kg 63 personal effect ambao ulichukua siku nne mpaka kuutoa pale ndani
Kwa ufupi airport cargo kuna mapungufu makubwa mno na gharama ambazo si za msingi
1. Ili upate mzigo lazima uwe na agent ambaye unatakiwa umlipe sijui kwa. Nini wameweka huu mfumo?
2. Mzigo unakagulia na taasisi kama tano hivi na zote unatakiwa ulipie TRA, TBS, hearth care, TFDA n.k
Hizo taasisi utakuta kuna agent mmoja mmoja ambae anakagua mizigo na kuingiza data
Nimesikitishwa kuona TBS wana fees kubwa kuliko TRA nililipa TRA 41,000/- TBS 180,000/- (personal effect )
Gharama za storage zipo juu ya mteja japo uzembe wa kutoa mzigo ni wa mamlaka husika
Mwisho
Rafiki yangu alituma mzigo kupia Kenya mpaka Tanzania alilipa laki mbili mpaka kuupata mimi nimemaliza laki saba
Mamlaka husika boresheni huduma za Airport mnakosa mapato mengi kizembe