Kama ni adhabu ya kutoa mzigo pale airport ni hii, poleni wafanyabiashara

Kama ni adhabu ya kutoa mzigo pale airport ni hii, poleni wafanyabiashara

boyson onlye

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2015
Posts
1,108
Reaction score
1,397
Habari,

Ninaandika huu uzi nikiwa na masikitiko makubwa mno yanayozidi kiasi; natamani kuukana uzalendo kabisa

Nilienda kupokea mzigo wangu pale airport kg 63 personal effect ambao ulichukua siku nne mpaka kuutoa pale ndani

Kwa ufupi airport cargo kuna mapungufu makubwa mno na gharama ambazo si za msingi

1. Ili upate mzigo lazima uwe na agent ambaye unatakiwa umlipe sijui kwa. Nini wameweka huu mfumo?
2. Mzigo unakagulia na taasisi kama tano hivi na zote unatakiwa ulipie TRA, TBS, hearth care, TFDA n.k

Hizo taasisi utakuta kuna agent mmoja mmoja ambae anakagua mizigo na kuingiza data

Nimesikitishwa kuona TBS wana fees kubwa kuliko TRA nililipa TRA 41,000/- TBS 180,000/- (personal effect )

Gharama za storage zipo juu ya mteja japo uzembe wa kutoa mzigo ni wa mamlaka husika

Mwisho
Rafiki yangu alituma mzigo kupia Kenya mpaka Tanzania alilipa laki mbili mpaka kuupata mimi nimemaliza laki saba

Mamlaka husika boresheni huduma za Airport mnakosa mapato mengi kizembe
 
Tatizo lako ungempa ajira agent pengine ungelipa laki 2 au 3, nikija kwenye uzalendo mimi sina uzalendo kwasababu Nyumba za serikali wanapewa wadosi wengine sio raia. Na kiongozi akiumwa uzalendo wa kutibiwa nchini hana anakimbilia nchi nyengine. Wakati mimi wanataka nikafie muhimbili kwa uzalendo
 
Tatizo lako ungempa ajira agent pengine ungelipa laki 2 au 3, nikija kwenye uzalendo mimi sina uzalendo kwasababu Nyumba za serikali wanapewa wadosi wengine sio raia. Na kiongozi akiumwa uzalendo wa kutibiwa nchini hana anakimbilia nchi nyengine. Wakati mimi wanataka nikafie muhimbili kwa uzalendo
Maagent pale Airport ndiyo madalali Wa hawa maofisa Wa Serikali. Hupanga pamoja kabisa kuwa huyu lazima tumbane atoe rushwa au tumbandike kodi kubwa.

Kiufupi Ma agent wako kumkandamiza Mwenye mzigo kuliko kumsaidia..
 
Habari,

Ninaandika huu uzi nikiwa na masikitiko makubwa mno yanayozidi kiasi; natamani kuukana uzalendo kabisa

Nilienda kupokea mzigo wangu pale airport kg 63 personal effect ambao ulichukua siku nne mpaka kuutoa pale ndani

Kwa ufupi airport cargo kuna mapungufu makubwa mno na gharama ambazo si za msingi

1. Ili upate mzigo lazima uwe na agent ambaye unatakiwa umlipe sijui kwa. Nini wameweka huu mfumo?
2. Mzigo unakagulia na taasisi kama tano hivi na zote unatakiwa ulipie TRA, TBS, hearth care, TFDA n.k

Hizo taasisi utakuta kuna agent mmoja mmoja ambae anakagua mizigo na kuingiza data

Nimesikitishwa kuona TBS wana fees kubwa kuliko TRA nililipa TRA 41,000/- TBS 180,000/- (personal effect )

Gharama za storage zipo juu ya mteja japo uzembe wa kutoa mzigo ni wa mamlaka husika

Mwisho
Rafiki yangu alituma mzigo kupia Kenya mpaka tanzania alilipa laki mbili mpaka kuupata mimi nimemaliza laki saba

Mamlaka husika boresheni huduma za airport mbakosa mapato mengi kizembe
Siku ingine acha ubahili mlipe agent ahangaike nao mwenyewe!
 
Maagent pale Airport ndiyo madalali Wa hawa maofisa Wa Serikali. Hupanga pamoja kabisa kuwa huyu lazima tumbane atoe rushwa au tumbandike kodi kubwa.

Kiufupi Ma agent wako kumkandamiza Mwenye mzigo kuliko kumsaidia..
Hao ndio wapiga dili ambao wanazungumziwa
 
Habari,

Ninaandika huu uzi nikiwa na masikitiko makubwa mno yanayozidi kiasi; natamani kuukana uzalendo kabisa

Nilienda kupokea mzigo wangu pale airport kg 63 personal effect ambao ulichukua siku nne mpaka kuutoa pale ndani

Kwa ufupi airport cargo kuna mapungufu makubwa mno na gharama ambazo si za msingi

1. Ili upate mzigo lazima uwe na agent ambaye unatakiwa umlipe sijui kwa. Nini wameweka huu mfumo?
2. Mzigo unakagulia na taasisi kama tano hivi na zote unatakiwa ulipie TRA, TBS, hearth care, TFDA n.k

Hizo taasisi utakuta kuna agent mmoja mmoja ambae anakagua mizigo na kuingiza data

Nimesikitishwa kuona TBS wana fees kubwa kuliko TRA nililipa TRA 41,000/- TBS 180,000/- (personal effect )

Gharama za storage zipo juu ya mteja japo uzembe wa kutoa mzigo ni wa mamlaka husika

Mwisho
Rafiki yangu alituma mzigo kupia Kenya mpaka tanzania alilipa laki mbili mpaka kuupata mimi nimemaliza laki saba

Mamlaka husika boresheni huduma za airport mbakosa mapato mengi kizembe
Ila bongo kila kitu kina madalali yani michakato michakato na ndio inayopelekea udalali kuenea kila mahali😂😂😂!

Yani ilimradi iwe ni kitu cha kutaka hela ilipwe tu hapo chain ya watu haikosekani kama unatakiwa lipa laki 1 zitafika 5 zingine zote zimeingia mifukoni mwa watu
 
Habari,

Ninaandika huu uzi nikiwa na masikitiko makubwa mno yanayozidi kiasi; natamani kuukana uzalendo kabisa

Nilienda kupokea mzigo wangu pale airport kg 63 personal effect ambao ulichukua siku nne mpaka kuutoa pale ndani

Kwa ufupi airport cargo kuna mapungufu makubwa mno na gharama ambazo si za msingi

1. Ili upate mzigo lazima uwe na agent ambaye unatakiwa umlipe sijui kwa. Nini wameweka huu mfumo?
2. Mzigo unakagulia na taasisi kama tano hivi na zote unatakiwa ulipie TRA, TBS, hearth care, TFDA n.k

Hizo taasisi utakuta kuna agent mmoja mmoja ambae anakagua mizigo na kuingiza data

Nimesikitishwa kuona TBS wana fees kubwa kuliko TRA nililipa TRA 41,000/- TBS 180,000/- (personal effect )

Gharama za storage zipo juu ya mteja japo uzembe wa kutoa mzigo ni wa mamlaka husika

Mwisho
Rafiki yangu alituma mzigo kupia Kenya mpaka tanzania alilipa laki mbili mpaka kuupata mimi nimemaliza laki saba

Mamlaka husika boresheni huduma za airport mbakosa mapato mengi kizembe
Njoo pm mkuu
 
Habari,

Ninaandika huu uzi nikiwa na masikitiko makubwa mno yanayozidi kiasi; natamani kuukana uzalendo kabisa

Nilienda kupokea mzigo wangu pale airport kg 63 personal effect ambao ulichukua siku nne mpaka kuutoa pale ndani

Kwa ufupi airport cargo kuna mapungufu makubwa mno na gharama ambazo si za msingi

1. Ili upate mzigo lazima uwe na agent ambaye unatakiwa umlipe sijui kwa. Nini wameweka huu mfumo?
2. Mzigo unakagulia na taasisi kama tano hivi na zote unatakiwa ulipie TRA, TBS, hearth care, TFDA n.k

Hizo taasisi utakuta kuna agent mmoja mmoja ambae anakagua mizigo na kuingiza data

Nimesikitishwa kuona TBS wana fees kubwa kuliko TRA nililipa TRA 41,000/- TBS 180,000/- (personal effect )

Gharama za storage zipo juu ya mteja japo uzembe wa kutoa mzigo ni wa mamlaka husika

Mwisho
Rafiki yangu alituma mzigo kupia Kenya mpaka tanzania alilipa laki mbili mpaka kuupata mimi nimemaliza laki saba

Mamlaka husika boresheni huduma za airport mbakosa mapato mengi kizembe
Chini umesema airport au hujala mkuu
 
Habari,

Ninaandika huu uzi nikiwa na masikitiko makubwa mno yanayozidi kiasi; natamani kuukana uzalendo kabisa

Nilienda kupokea mzigo wangu pale airport kg 63 personal effect ambao ulichukua siku nne mpaka kuutoa pale ndani

Kwa ufupi airport cargo kuna mapungufu makubwa mno na gharama ambazo si za msingi

1. Ili upate mzigo lazima uwe na agent ambaye unatakiwa umlipe sijui kwa. Nini wameweka huu mfumo?
2. Mzigo unakagulia na taasisi kama tano hivi na zote unatakiwa ulipie TRA, TBS, hearth care, TFDA n.k

Hizo taasisi utakuta kuna agent mmoja mmoja ambae anakagua mizigo na kuingiza data

Nimesikitishwa kuona TBS wana fees kubwa kuliko TRA nililipa TRA 41,000/- TBS 180,000/- (personal effect )

Gharama za storage zipo juu ya mteja japo uzembe wa kutoa mzigo ni wa mamlaka husika

Mwisho
Rafiki yangu alituma mzigo kupia Kenya mpaka tanzania alilipa laki mbili mpaka kuupata mimi nimemaliza laki saba

Mamlaka husika boresheni huduma za airport mbakosa mapato mengi kizembe
Hawa watu wamelaaniwa, suluhisho ni kuajiri wageni tu,lakini ukiwaachia hawa hakuna kazi inafanyika.
 
Tatizo lako ungempa ajira agent pengine ungelipa laki 2 au 3, nikija kwenye uzalendo mimi sina uzalendo kwasababu Nyumba za serikali wanapewa wadosi wengine sio raia. Na kiongozi akiumwa uzalendo wa kutibiwa nchini hana anakimbilia nchi nyengine. Wakati mimi wanataka nikafie muhimbili kwa uzalendo

Sidhani kama unajua kitu unaongea mzigo kabla ya kuanza process yoyote lazima utoe 187000 kwa ajili form na kodi hiyo haipingiki na malipo yote lazima yalipwe maana wanakuja kukagua wengine kabisa kabla mzigo hujaruhusiwa kutoka
 
Back
Top Bottom