Kama ni adhabu ya kutoa mzigo pale airport ni hii, poleni wafanyabiashara

Kama ni adhabu ya kutoa mzigo pale airport ni hii, poleni wafanyabiashara

Habari,

Ninaandika huu uzi nikiwa na masikitiko makubwa mno yanayozidi kiasi; natamani kuukana uzalendo kabisa

Nilienda kupokea mzigo wangu pale airport kg 63 personal effect ambao ulichukua siku nne mpaka kuutoa pale ndani

Kwa ufupi airport cargo kuna mapungufu makubwa mno na gharama ambazo si za msingi

1. Ili upate mzigo lazima uwe na agent ambaye unatakiwa umlipe sijui kwa. Nini wameweka huu mfumo?
2. Mzigo unakagulia na taasisi kama tano hivi na zote unatakiwa ulipie TRA, TBS, hearth care, TFDA n.k

Hizo taasisi utakuta kuna agent mmoja mmoja ambae anakagua mizigo na kuingiza data

Nimesikitishwa kuona TBS wana fees kubwa kuliko TRA nililipa TRA 41,000/- TBS 180,000/- (personal effect )

Gharama za storage zipo juu ya mteja japo uzembe wa kutoa mzigo ni wa mamlaka husika

Mwisho
Rafiki yangu alituma mzigo kupia Kenya mpaka Tanzania alilipa laki mbili mpaka kuupata mimi nimemaliza laki saba

Mamlaka husika boresheni huduma za Airport mnakosa mapato mengi kizembe
Kutumia Agent ipo kimataifa sio tu Tanzania, hili ni sawa coz kuna taratibu za kiforodha lazima zifuatwe.
Mzigo kukaguliwa na taasisi zaidi ya moja inataegemea na HS CODE ya mzigo/items. Ila TRA na TBS lazima wakague. Hao TFDA, HEALTH CARE, TBS nk wapo hapo coz HS CODE ya mzigo zimewahitaji kwenye system.

TBS wamekuchaji 180,000 kwa sababu ni DI(destination inspection) ambayo lazima wachukue sample wakapime then wakupe permit. Ila ingekuwa COC usingechajiwa hivyo au ingekuwa ni physical tu ungechajiwa 30000. Kwa person effects lazima kuna items zilihitaji sample..


Yes, storage lazima ulipe kwasababu mtunza mzigo hausiki na hizo taratibu zenu agent wako anapaswa kukimbiziana na muda kuokoa hiyo storage charges. kwa airport una cku4 free zakutoa mzigo wako bila storage,. Kwa seaport ni siku7(inahesabiwa container inaposhuka kwenye meli).
Hivyo agent wako lazima aassess mapema coz system zenyewe(TANCIS/TeSWs) zinazinguaga sometimes.
 
Huu ni ukweli kwa asilimia 100, kuna mahali nilifanya kazi nikawa nalipwa 400k(kama extra) na mzungu ila kupitia viongozi wetu waafrika, ukafika muda tukamface mzungu tukamuomba atuongezee hata kidogo akasema, "nina uwezo wa kuwalipa 1.5mil kila mmoja ila uongozi wenu walikataa, nendeni mkawambie mimi nipo tayari kuwalipa pesa yoyote". Alitupatia pesa ya kujikimu siku hiyo na akatuonea huruma sana akidai watanzania wenzetu ndio kikwazo.
Hatari sana, sijui hii chuki aliyeipandikiza ni nani

Nimetafakari sana mimi nikaja kugundua nyuma ya yote haya ni CCm wanafikiri wakitufanya Mafukara watatuwala kwa urahisi
 
Nilikuwa na kilo 63 tu mkuu
Duh wewe hukuingia front. Mimi yule agent nlikua nakula nae sahani moja ananiingiza mpk kwa mabosi nalia kama mtoto
Nlikua na kilo mara 3 ya za kwako. finally nkalipa tu laki tano something. Washenz Sana.
ujinga ni kua personal effects ukipita nazo ukisafiri nazo no free lkn ukizileta km cargo msala.
 
Tanzania kuna usumbufu sana yaani wanaonekana wapo kukwamisha watu wasipate bidhaa kutoka nje ya Nchi wakati wapo kwenye mlango wa Dunia mbaya sana kwa kweli...
 
Nchi ngumu sana hii na Adui wa Mtanzania ni Mtanzania mwenzake
Nikipata hela ya kununua apartment nje around 2.4B TZS hii nchi nawaachia yaani kuwa na gari ni anasa jamani.
Nchi ambayo ukiwa na bilioni zako kadhaa benki zinakombwa.
Lake zone wahujumu uchumi walikuwa ni kabila fulani tu.
Kuna mzee alichukuliwa 20Bn mpaka akapata stroke.yaani naogopa Sana jamani kumiliki bilions of money
 
Habari,

Ninaandika huu uzi nikiwa na masikitiko makubwa mno yanayozidi kiasi; natamani kuukana uzalendo kabisa

Nilienda kupokea mzigo wangu pale airport kg 63 personal effect ambao ulichukua siku nne mpaka kuutoa pale ndani

Kwa ufupi airport cargo kuna mapungufu makubwa mno na gharama ambazo si za msingi

1. Ili upate mzigo lazima uwe na agent ambaye unatakiwa umlipe sijui kwa. Nini wameweka huu mfumo?
2. Mzigo unakagulia na taasisi kama tano hivi na zote unatakiwa ulipie TRA, TBS, hearth care, TFDA n.k

Hizo taasisi utakuta kuna agent mmoja mmoja ambae anakagua mizigo na kuingiza data

Nimesikitishwa kuona TBS wana fees kubwa kuliko TRA nililipa TRA 41,000/- TBS 180,000/- (personal effect )

Gharama za storage zipo juu ya mteja japo uzembe wa kutoa mzigo ni wa mamlaka husika

Mwisho
Rafiki yangu alituma mzigo kupia Kenya mpaka Tanzania alilipa laki mbili mpaka kuupata mimi nimemaliza laki saba

Mamlaka husika boresheni huduma za Airport mnakosa mapato mengi kizembe
Maccm yatabisha
 
Kutumia Agent ipo kimataifa sio tu Tanzania, hili ni sawa coz kuna taratibu za kiforodha lazima zifuatwe.
Mzigo kukaguliwa na taasisi zaidi ya moja inataegemea na HS CODE ya mzigo/items. Ila TRA na TBS lazima wakague. Hao TFDA, HEALTH CARE, TBS nk wapo hapo coz HS CODE ya mzigo zimewahitaji kwenye system.

TBS wamekuchaji 180,000 kwa sababu ni DI(destination inspection) ambayo lazima wachukue sample wakapime then wakupe permit. Ila ingekuwa COC usingechajiwa hivyo au ingekuwa ni physical tu ungechajiwa 30000. Kwa person effects lazima kuna items zilihitaji sample..


Yes, storage lazima ulipe kwasababu mtunza mzigo hausiki na hizo taratibu zenu agent wako anapaswa kukimbiziana na muda kuokoa hiyo storage charges. kwa airport una cku4 free zakutoa mzigo wako bila storage,. Kwa seaport ni siku7(inahesabiwa container inaposhuka kwenye meli).
Hivyo agent wako lazima aassess mapema coz system zenyewe(TANCIS/TeSWs) zinazinguaga sometimes.

Hakuna sample imechukuliwa ya kitu chochote kwenda kupima mzigo umefunguliwa ukakaguliwa na kufungwa

Then mamlaka husika yaangalie namna ya wakaguzi watarahisisha maana ukaguzi unachukua mpaka masaa matano, mtu mmoja anakagua anaingiza data anazituma data kwa nini wasweke mkaguzi then anapeleka file kwa muingiza data kuna vitu haviko sawa pale
 
Hakuna sample imechukuliwa ya kitu chochote kwenda kupima mzigo umefunguliwa ukakaguliwa na kufungwa

Then mamlaka husika yaangalie namna ya wakaguzi watarahisisha maana ukaguzi unachukua mpaka masaa matano, mtu mmoja anakagua anaingiza data anazituma data kwa nini wasweke mkaguzi then anapeleka file kwa muingiza data kuna vitu haviko sawa pale
Sawa, tutalifanyia kazi
 
Kutumia Agent ipo kimataifa sio tu Tanzania, hili ni sawa coz kuna taratibu za kiforodha lazima zifuatwe.
Mzigo kukaguliwa na taasisi zaidi ya moja inataegemea na HS CODE ya mzigo/items. Ila TRA na TBS lazima wakague. Hao TFDA, HEALTH CARE, TBS nk wapo hapo coz HS CODE ya mzigo zimewahitaji kwenye system.

TBS wamekuchaji 180,000 kwa sababu ni DI(destination inspection) ambayo lazima wachukue sample wakapime then wakupe permit. Ila ingekuwa COC usingechajiwa hivyo au ingekuwa ni physical tu ungechajiwa 30000. Kwa person effects lazima kuna items zilihitaji sample..


Yes, storage lazima ulipe kwasababu mtunza mzigo hausiki na hizo taratibu zenu agent wako anapaswa kukimbiziana na muda kuokoa hiyo storage charges. kwa airport una cku4 free zakutoa mzigo wako bila storage,. Kwa seaport ni siku7(inahesabiwa container inaposhuka kwenye meli).
Hivyo agent wako lazima aassess mapema coz system zenyewe(TANCIS/TeSWs) zinazinguaga sometimes.

Umejibu ki TAFFA zaidi, ma HS code, ma physical verificiation, DI, safi tunawaacha watu kwenye flyover ubungo. Nikusaidie kdogo Kwenye hiyo 180,000 ya TBS huwa ni mzigo wa ambao HS CODE yake IPO REGULATED na TBS ambapo hufanyika physical verification tu hakuna kuchukua sampo, ikichukuliwa sampo itazidi hiyo kulingana na test fee ya sampo hiyo / hizo na 30,000 huwa ni mizigo ya PVoC exempted ambayo mteja huchajiwa service fee tu au mizigo ya Non Regulated lakn mteja anakua am lodge kwa matakwa ya ulazima kwa TeSWS ila kwa TANCIS sio lazma alodge
 
Kutumia Agent ipo kimataifa sio tu Tanzania, hili ni sawa coz kuna taratibu za kiforodha lazima zifuatwe.
Mzigo kukaguliwa na taasisi zaidi ya moja inataegemea na HS CODE ya mzigo/items. Ila TRA na TBS lazima wakague. Hao TFDA, HEALTH CARE, TBS nk wapo hapo coz HS CODE ya mzigo zimewahitaji kwenye system.

TBS wamekuchaji 180,000 kwa sababu ni DI(destination inspection) ambayo lazima wachukue sample wakapime then wakupe permit. Ila ingekuwa COC usingechajiwa hivyo au ingekuwa ni physical tu ungechajiwa 30000. Kwa person effects lazima kuna items zilihitaji sample..


Yes, storage lazima ulipe kwasababu mtunza mzigo hausiki na hizo taratibu zenu agent wako anapaswa kukimbiziana na muda kuokoa hiyo storage charges. kwa airport una cku4 free zakutoa mzigo wako bila storage,. Kwa seaport ni siku7(inahesabiwa container inaposhuka kwenye meli).
Hivyo agent wako lazima aassess mapema coz system zenyewe(TANCIS/TeSWs) zinazinguaga sometimes.
Hivi kwanini hao healthcare na tfda wasiwe maafisa walioajiriwa ndani ya tbs ili kuokoa muda?

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom