Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Tena wewe utakua ni carrier wa korona, tutakumata tukuchome sindano ya chanjo utosini ili usiendelee kuambukiza korona kwa watu wasio na hatia.Gonga tangawizi gonga malimao yako kwisha habari..msipende mteremko
Na chato hatoki, sisi tulime tu tule viazi magimbi ili tupate nguvu korona ikija ikwame ikose njia ya kuingia kwenye mwili wetu
Kwa hiyo mtatumia chanjo ya china?Anza wewe kuacha kutumia hata hako la simu kako, kwanaza , asilimia kubwa ya watanzani hawatumii simu za huko unakotaka wenginwanatumia kutoka asia kwa wachina na nduguze
Na chato hatoki, sisi tulime tu tule viazi magimbi ili tupate nguvu korona ikija ikwame ikose njia ya kuingia kwenye mwili wetu
huyu manzi mjinga sana huyu.
Ujinga wake ni upi? Labda kusema ukweli kwa kutumia maneno makali sana yasiyo na staha ila tofauti na hivyo yuko sawa kabisa.huyu manzi mjinga sana huyu.
hatuna imani na wazungu! Ni wauaji inavyoelekea. Basi kama ni hivyo tususie kila kitu.
1. Hizi simu almost 90%(stand to be corrected) watanzania tunazitumia. Si ajabu wameweka mionzi ya kuua brain after some yrs wote tunakuwa na kansa ya ubongo
2. Mandege yao yanawezekana yamewekwa mionzi. Viongozi wetu wanaozisafiria kwa wingi wataambukiza kansa
3. Namalizia, tena ARVs .... na chanjo zote za watoto wengi tunazitumia au wapendwa wetu , tuzisusie
Sema kijani kibichi ni ngumu kusikia hata jua.Bavicha ni wagumu sana kuelewa!
Ujinga ni mzigo.JPM viatu alivyovaa sio size yake.
kikwete alikosea sana kuingia na majina ya mfukoni,wa kulaumiwa ni kikwete ,kikwete ndio muharibifu wa hili taifahatuna imani na wazungu! Ni wauaji inavyoelekea. Basi kama ni hivyo tususie kila kitu.
1. Hizi simu almost 90%(stand to be corrected) watanzania tunazitumia. Si ajabu wameweka mionzi ya kuua brain after some yrs wote tunakuwa na kansa ya ubongo
2. Mandege yao yanawezekana yamewekwa mionzi. Viongozi wetu wanaozisafiria kwa wingi wataambukiza kansa
3. Namalizia, tena ARVs .... na chanjo zote za watoto wengi tunazitumia au wapendwa wetu , tuzisusie
Wao hawatumii nguvu kulima, huyu jamaa aliwahi kusema tutalimia meno. Naona ndio utekelezaji wa sera yake🤣kwahiyo wazungu lishe yao ni mbovu?
mjinga tu huyo manzi hakana lolote kila mtu anaweza kuzungumza chochote apendacho sema ni hekima tu tunaona tuwe tunanyamaza.Ujinga wake ni upi? Labda kusema ukweli kwa kutumia maneno makali sana yasiyo na staha ila tofauti na hivyo yuko sawa kabisa.
Acha mawazo ya kulalamika, fanya mambo yako mwache mzee afanye shughuli zake ukitaka nawewe gombea sio kulalamika lalamika tu utafikiri nyumbani kwenu mlishawai toa hata, mwenyekiti wa kijiji. fanya yako.kikwete alikosea sana kuingia na majina ya mfukoni,wa kulaumiwa ni kikwete ,kikwete ndio muharibifu wa hili taifa
Ni wajinga wa CCM tu huelewa ujinga wa mwanaCCm mwenzao ndo maana hata wewe unaelewa.Bavicha ni wagumu sana kuelewa!
Bila kusahau chanjo ya Poliohatuna imani na wazungu! Ni wauaji inavyoelekea. Basi kama ni hivyo tususie kila kitu.
1. Hizi simu almost 90%(stand to be corrected) watanzania tunazitumia. Si ajabu wameweka mionzi ya kuua brain after some yrs wote tunakuwa na kansa ya ubongo
2. Mandege yao yanawezekana yamewekwa mionzi. Viongozi wetu wanaozisafiria kwa wingi wataambukiza kansa
3. Namalizia, tena ARVs .... na chanjo zote za watoto wengi tunazitumia au wapendwa wetu , tuzisusie
POlio waislamu wa Nigeria walihamasishana wakaisusia, sasa visa vya polio Nigeria inaongoza Africa /dunianiBila kusahau chanjo ya Polio