cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Ila wee mtu hapana lol [emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila wee mtu hapana lol [emoji23][emoji23][emoji23]
Akifunga kamba vitamtosha? Naona vyaweza. Ushauri wangu asiwe msemaji wa kila jambo, matokeo anajipa sifa mbaya. Asome hotuba, hana uwezo wa kutunga toka kichwani bila kuboronga. Juzi corona haipo, jana watanzania walio channels nje wameleta corona ya ajabu, kama kwamba wageni na watalii awaitao ana uhakika hawajachanjwa. Lock down hapana, namuunga mkono. Kuingia wageni kiholela, big NO! Kuwasifu wageni kwa kutovaa barakoa, inashangaza.JPM viatu alivyovaa sio size yake.
Si wabishi, akili imepanuka. Akili iliofungwa haiwezi kuhoji. Ukitaka hao binadamu warudi kama wa zamani, yaani wasiwe wabishi, funga shule na vyuo vyote. Baada ya miaka 100 waliopo leo wote watakuwa wameondoka, watabaki na wasio na elimu na wataenda kama unavyo taka, japo nawe hutakuwepo kutoa mrejesho.
Kwa taarifa, chanjo haimkingi alie chanjwa kuwaambukiza wengine. Lawama kubwa kwa watawala ni kuwa danganya watu kuwa corona haipo na kufanya wengi kujiachia. Taarifa sahihi ni muhimu.Tena wewe utakua ni carrier wa korona, tutakumata tukuchome sindano ya chanjo utosini ili usiendelee kuambukiza korona kwa watu wasio na hatia.
Ukweli unauma, wapumbavu huziba masikio.Ujinga wake ni upi? Labda kusema ukweli kwa kutumia maneno makali sana yasiyo na staha ila tofauti na hivyo yuko sawa kabisa.
Naamini Mungu wetu ni tofauti na wao.Nimemsikiliza Museven kaongea kwa hekima sana, tena ana encourage watu wake waendelee na sio kumuachia Mungu, sasa njoo hapa kwetu[emoji3]
Kawaulize waliko.Kabla ya kuja hizo tekenologia za wazungu babu zetu waliishi namna gani??
Mkuu umeongea vyema sanaHapo Zamani za Kale kulikuwa na Mtu Mwenye Cheo cha Ayatollah Nadhani wenyeji wa Jamii forums Watakuwa Wanamfahamu zaidi Huyo Ayatollah. Alikuwa akikaa tu anaanzisha Ugomvi na Mtu Yeyote!
Siku Moja alikaa Chini Akakuta Watu wawili Wanapigana Myahudi na Mpalestina basi akatizama lile pambano huku akichagua upande wake wa Ushindi uangukie kwa Mpalestina pia akawa anampa siri Mpalestina awe anapiga sana ngumi za Kushtukiza Myahudi. Basi Myahudi alivyoona Mpalestina kapata kocha ghafla kaka yake wa Kambo Muingereza katika pita pita zake akaukuta huo ugomvi ndipo Myahudi akamuomba Brother wake Muingereza amuambie Ankal wake Mmarekani kuwa Amepata adui anamchokoza na ana kocha mzuri yule mwenye sifa ya kupindua na aliyempiga baba yake akatawala mali zote za Ghuba ya Ajemi.
Mjomba kusikia alikuja faster akampa ujuzi mwingi Myahudi.. Ngumi basi zikapigwa na Mara Ghafla Mpalestina akachemka akanyoosha Mikono Juu huku mchuzi wa damu ukimiminika kutokea mdomoni Masikini kumbe ngumi moja kali aliyopigwa ilmpata barah-barah Meno matano ya mbele yametoka akawa kibogoyo hadi leo hii...
Ayatollah alikasirika sana akatoa Tangazo kwa Jamii yake na Majirani wake Pamoja na Majirani wa Myahudi kuwa Myahudi ni Hatari kwake hadi Majirani zake hivyo wamtenge kabisa la sivyo atawafitinisha wao kwa Wao pia hakuishia hapo akatoa Tangazo lingine kali zaidi kuwa Chochote anachotengeneza na Kuuza kwenye Duka la Myahudi kisinunuliwe na kama Tayari wameshakinunua basi kitupwe jalalani.
Mara Ghafla Ayatollah akaugua akashikwa na Maumivu Makali sana Madaktari walishindwa kupunguza Maumivu yake.. akakasirika sana akawaambia nini maana yake hii.. Masikini Madakatari wakamuambia Hospital zetu hazina Dawa ya Maumivu Insulin Akawauliza why sababu Nchi yetu ilikuwa na hazina ya Kutosha ya Insulin.. Kwa Masikitiko Madaktari Wakamuambia Ayatollah Zile Insurin zote zimetengenezwa na Myahudi na zinapatikana katika duka la Myahudi pekee pamoja na vifaa muhimu hadi unavyotumia wewe hapo ulipo hadi chumbani mwako vimetokea kwa myahudi na wewe ndio ulipitisha Sheria kitupwe chochote cha Myahudi na wala tusifanye nae Biashara hivyo tunaomba uugue pole jikaze...
Ayatollah Alijikaza ila uzalendo ukamshinda akasema nataka ''DAWA'' kwa herufi kubwa kabisa Ikawaambie Nenda kwa Jirani muambie akakununulie Dawa dukani kwa myahudi ila asijue kama nimewatuma Mimi Ayatollah haya hebu nendeni faster kwanza hamkunielewa vizuri nilisema msinunue kwa myahudi ila kama anayeuza vitu hivyo hivyo ni mtu asiye myahudi basi ni Halal hata kama katengeneza myahudi sawa sawa... akaomba list ya vitu vinavyotengenezwa na Myahudi akaki ameduwaa...
Hii Tabia ya Ayatollah imewaingia wengi ila wanapopatwa na Shida hula Matapishi yao
Hao hao ni Mabeberu hao hao ndio Wanaume hao hao hawana nia njema na sisi hao hao Tunawaomba misaada na kutusamehe madeni yetu, Hao hao tunawaomba Madawa hao hao tunanunua vifaa tiba kutoka kwao.... Sasa ni bora ukubali tu kama Ayatollah...
Ujinga wake ni nini?huyu manzi mjinga sana huyu.
kanaongea pumba tu, wazungu wangekua na uwezo wangekua walishapata chanjo ya UKIMWI, chanjo ya MARALIA, hizo chanjo zao zitawekwa vitu ndani ili wote mbaki mnaumwaga tu na kuzaa kizazi chenye afya duniUjinga wake ni nini?
Hiki kisa, ingawaje ni cha kufikirika, kina message mbaya sana na isiyo sahihi. Kwanza Ayatollah ni daraja ya kidini, na siyo kitu cha kubeza. Pili: ni dhahiri stori yako imeathiriwa na mtazamo wa Marekani na Mayahudi (na pengine Ukristo, maana Wakristo wengi kwa kutojua wadhani Wayahudi ni rafiki zao, au wanatetea Ukristo. Nilikuwa Tel Aviv. Hebu nenda ujaribu kuhubiri Biblia barabarani uone!)Hapo Zamani za Kale kulikuwa na Mtu Mwenye Cheo cha Ayatollah Nadhani wenyeji wa Jamii forums Watakuwa Wanamfahamu zaidi Huyo Ayatollah. Alikuwa akikaa tu anaanzisha Ugomvi na Mtu Yeyote!
Siku Moja alikaa Chini Akakuta Watu wawili Wanapigana Myahudi na Mpalestina basi akatizama lile pambano huku akichagua upande wake wa Ushindi uangukie kwa Mpalestina pia akawa anampa siri Mpalestina awe anapiga sana ngumi za Kushtukiza Myahudi. Basi Myahudi alivyoona Mpalestina kapata kocha ghafla kaka yake wa Kambo Muingereza katika pita pita zake akaukuta huo ugomvi ndipo Myahudi akamuomba Brother wake Muingereza amuambie Ankal wake Mmarekani kuwa Amepata adui anamchokoza na ana kocha mzuri yule mwenye sifa ya kupindua na aliyempiga baba yake akatawala mali zote za Ghuba ya Ajemi.
Mjomba kusikia alikuja faster akampa ujuzi mwingi Myahudi.. Ngumi basi zikapigwa na Mara Ghafla Mpalestina akachemka akanyoosha Mikono Juu huku mchuzi wa damu ukimiminika kutokea mdomoni Masikini kumbe ngumi moja kali aliyopigwa ilmpata barah-barah Meno matano ya mbele yametoka akawa kibogoyo hadi leo hii...
Ayatollah alikasirika sana akatoa Tangazo kwa Jamii yake na Majirani wake Pamoja na Majirani wa Myahudi kuwa Myahudi ni Hatari kwake hadi Majirani zake hivyo wamtenge kabisa la sivyo atawafitinisha wao kwa Wao pia hakuishia hapo akatoa Tangazo lingine kali zaidi kuwa Chochote anachotengeneza na Kuuza kwenye Duka la Myahudi kisinunuliwe na kama Tayari wameshakinunua basi kitupwe jalalani.
Mara Ghafla Ayatollah akaugua akashikwa na Maumivu Makali sana Madaktari walishindwa kupunguza Maumivu yake.. akakasirika sana akawaambia nini maana yake hii.. Masikini Madakatari wakamuambia Hospital zetu hazina Dawa ya Maumivu Insulin Akawauliza why sababu Nchi yetu ilikuwa na hazina ya Kutosha ya Insulin.. Kwa Masikitiko Madaktari Wakamuambia Ayatollah Zile Insurin zote zimetengenezwa na Myahudi na zinapatikana katika duka la Myahudi pekee pamoja na vifaa muhimu hadi unavyotumia wewe hapo ulipo hadi chumbani mwako vimetokea kwa myahudi na wewe ndio ulipitisha Sheria kitupwe chochote cha Myahudi na wala tusifanye nae Biashara hivyo tunaomba uugue pole jikaze...
Ayatollah Alijikaza ila uzalendo ukamshinda akasema nataka ''DAWA'' kwa herufi kubwa kabisa Ikawaambie Nenda kwa Jirani muambie akakununulie Dawa dukani kwa myahudi ila asijue kama nimewatuma Mimi Ayatollah haya hebu nendeni faster kwanza hamkunielewa vizuri nilisema msinunue kwa myahudi ila kama anayeuza vitu hivyo hivyo ni mtu asiye myahudi basi ni Halal hata kama katengeneza myahudi sawa sawa... akaomba list ya vitu vinavyotengenezwa na Myahudi akaki ameduwaa...
Hii Tabia ya Ayatollah imewaingia wengi ila wanapopatwa na Shida hula Matapishi yao
Hao hao ni Mabeberu hao hao ndio Wanaume hao hao hawana nia njema na sisi hao hao Tunawaomba misaada na kutusamehe madeni yetu, Hao hao tunawaomba Madawa hao hao tunanunua vifaa tiba kutoka kwao.... Sasa ni bora ukubali tu kama Ayatollah...