- Thread starter
- #41
Kwamba kwenye ndege engineers can not design how to install high energy destructive waves emitting gadget on "YOU"
Picha yako hapo juu form one wa leo wanaijua!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba kwenye ndege engineers can not design how to install high energy destructive waves emitting gadget on "YOU"
hatuna imani na wazungu! Ni wauaji inavyoelekea. Basi kama ni hivyo tususie kila kitu.
1. Hizi simu almost 90%(stand to be corrected) watanzania tunazitumia. Si ajabu wameweka mionzi ya kuua brain after some yrs wote tunakuwa na kansa ya ubongo
2. Mandege yao yanawezekana yamewekwa mionzi. Viongozi wetu wanaozisafiria kwa wingi wataambukiza kansa
3. Namalizia, tena ARVs .... na chanjo zote za watoto wengi tunazitumia au wapendwa wetu , tuzisusie
Tupige nyunguIle Tufe au
Bavicha ni wagumu sana kuelewa!
Hahahaahahhaaa..... kwa kweli.
Aliwekwa na Mkapa.huyu bwana ana akili ndogo hadi unajiuliza hiyo nafasi aliipataje
Huyo ni black, anatumia tu hiyo parody kuelezea hisia zakemjinga tu huyo manzi hakana lolote kila mtu anaweza kuzungumza chochote apendacho sema ni hekima tu tunaona tuwe tunanyamaza.
Kulinganisha nyungu na chanjo ya Beberu ni uzwazwa uliopitiliza.Tupige nyungu
Msameheni bure halijui atendaloHatuna imani na wazungu! Ni wauaji inavyoelekea. Basi kama ni hivyo tususie kila kitu.
1. Hizi simu almost 90%(stand to be corrected) watanzania tunazitumia. Si ajabu wameweka mionzi ya kuua brain after some yrs wote tunakuwa na kansa ya ubongo
2. Mandege yao yanawezekana yamewekwa mionzi. Viongozi wetu wanaozisafiria kwa wingi wataambukiza kansa
3. Namalizia, tena ARVs .... na chanjo zote za watoto wengi tunazitumia au wapendwa wetu , tuzisusie
Hivi jiwe co alikuwa mwalimu?kupatwa kwa tz...kiongozi tena mwanasayansi (?!) anayekataa / anayeponda njia za kukabiliana na tatizo la kiafya zilizothibitishwa na jopo la wanasayansi.
Wa kumlaumu ni Kikwete!Aliwekwa na Mkapa.
Hata watu aliowafundisha wanaona aibu kujitokeza. Hata waliomfundisha tu hawajitokezi.Ni AibuHivi jiwe co alikuwa mwalimu?
Hebu tueleweshe basi bwashehhBavicha ni wagumu sana kuelewa!
Kikwete probably hakujua au Kulikuwa na kundi lilikuwa linamzidi nguvu au alilisikiliza sana.Wa kumlaumu ni Kikwete!
Exactly, I do agree with your contention. LAKINI In administration/ management, we say that there is NO GROUP power. Power is invariably personal! Kikwete kama angelikuwa siyo DHAIFU, ultimate power ilikuwa kwake in stupid African systems of governance! Akimkataa mtu amemkataa! maana anaweza kukataa kuachia madaraka na akasimama, hivyo watamkubalia chaguo lake. Sasa kwa UDHAIFU wake wakamzidi nguvu akatuletea MAUTI!Kikwete probably hakujua au Kulikuwa na kundi lilikuwa linamzidi nguvu au alilisikiliza sana.
Na hilo kundi ndio lilikwamisha katiba ya Warioba.
😂😂😂😂 hiyo ni zaidi ya oversize
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] duuuh