Kama ni hivyo, susieni na Simu na Dreamliner maana huwezi jua wameweka nini!

Kama ni hivyo, susieni na Simu na Dreamliner maana huwezi jua wameweka nini!

hatuna imani na wazungu! Ni wauaji inavyoelekea. Basi kama ni hivyo tususie kila kitu.
1. Hizi simu almost 90%(stand to be corrected) watanzania tunazitumia. Si ajabu wameweka mionzi ya kuua brain after some yrs wote tunakuwa na kansa ya ubongo
2. Mandege yao yanawezekana yamewekwa mionzi. Viongozi wetu wanaozisafiria kwa wingi wataambukiza kansa
3. Namalizia, tena ARVs .... na chanjo zote za watoto wengi tunazitumia au wapendwa wetu , tuzisusie

Hii ya mzee baba na genge lake inaitwa sizitaki mbichi hizi.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Hatuna imani na wazungu! Ni wauaji inavyoelekea. Basi kama ni hivyo tususie kila kitu.

1. Hizi simu almost 90%(stand to be corrected) watanzania tunazitumia. Si ajabu wameweka mionzi ya kuua brain after some yrs wote tunakuwa na kansa ya ubongo

2. Mandege yao yanawezekana yamewekwa mionzi. Viongozi wetu wanaozisafiria kwa wingi wataambukiza kansa

3. Namalizia, tena ARVs .... na chanjo zote za watoto wengi tunazitumia au wapendwa wetu , tuzisusie
Msameheni bure halijui atendalo
 
Kabla ya kuja hizo tekenologia za wazungu babu zetu waliishi namna gani??
 
Kikwete probably hakujua au Kulikuwa na kundi lilikuwa linamzidi nguvu au alilisikiliza sana.

Na hilo kundi ndio lilikwamisha katiba ya Warioba.
Exactly, I do agree with your contention. LAKINI In administration/ management, we say that there is NO GROUP power. Power is invariably personal! Kikwete kama angelikuwa siyo DHAIFU, ultimate power ilikuwa kwake in stupid African systems of governance! Akimkataa mtu amemkataa! maana anaweza kukataa kuachia madaraka na akasimama, hivyo watamkubalia chaguo lake. Sasa kwa UDHAIFU wake wakamzidi nguvu akatuletea MAUTI!
 
Back
Top Bottom