Kama ni hivyo, susieni na Simu na Dreamliner maana huwezi jua wameweka nini!

JPM viatu alivyovaa sio size yake.
Akifunga kamba vitamtosha? Naona vyaweza. Ushauri wangu asiwe msemaji wa kila jambo, matokeo anajipa sifa mbaya. Asome hotuba, hana uwezo wa kutunga toka kichwani bila kuboronga. Juzi corona haipo, jana watanzania walio channels nje wameleta corona ya ajabu, kama kwamba wageni na watalii awaitao ana uhakika hawajachanjwa. Lock down hapana, namuunga mkono. Kuingia wageni kiholela, big NO! Kuwasifu wageni kwa kutovaa barakoa, inashangaza.
 
Dunia inaenda kasi sana, plz driver nishushe kituo kinachofuata.
 
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...




Cc: mahondaw
Si wabishi, akili imepanuka. Akili iliofungwa haiwezi kuhoji. Ukitaka hao binadamu warudi kama wa zamani, yaani wasiwe wabishi, funga shule na vyuo vyote. Baada ya miaka 100 waliopo leo wote watakuwa wameondoka, watabaki na wasio na elimu na wataenda kama unavyo taka, japo nawe hutakuwepo kutoa mrejesho.
 
Tena wewe utakua ni carrier wa korona, tutakumata tukuchome sindano ya chanjo utosini ili usiendelee kuambukiza korona kwa watu wasio na hatia.
Kwa taarifa, chanjo haimkingi alie chanjwa kuwaambukiza wengine. Lawama kubwa kwa watawala ni kuwa danganya watu kuwa corona haipo na kufanya wengi kujiachia. Taarifa sahihi ni muhimu.
 
Nimemsikiliza Museven kaongea kwa hekima sana, tena ana encourage watu wake waendelee na sio kumuachia Mungu, sasa njoo hapa kwetu[emoji3]
Naamini Mungu wetu ni tofauti na wao.
 
Mkuu umeongea vyema sana
 
Ujinga wake ni nini?
kanaongea pumba tu, wazungu wangekua na uwezo wangekua walishapata chanjo ya UKIMWI, chanjo ya MARALIA, hizo chanjo zao zitawekwa vitu ndani ili wote mbaki mnaumwaga tu na kuzaa kizazi chenye afya duni
 
Hiki kisa, ingawaje ni cha kufikirika, kina message mbaya sana na isiyo sahihi. Kwanza Ayatollah ni daraja ya kidini, na siyo kitu cha kubeza. Pili: ni dhahiri stori yako imeathiriwa na mtazamo wa Marekani na Mayahudi (na pengine Ukristo, maana Wakristo wengi kwa kutojua wadhani Wayahudi ni rafiki zao, au wanatetea Ukristo. Nilikuwa Tel Aviv. Hebu nenda ujaribu kuhubiri Biblia barabarani uone!)
Tatu: wewe hujui kabisa historia, si ya ulimwengu wala ya Middle East.
Kwa ufupi, kama utaelewa, Wayahudi wanadai eneo la Palestina ni lao kwa sababu 'Mungu aliwaahidi' na kwamba baada ya wao kufukuzwa zaidi ya miaka elfu mbili na Warumi.....sasa wamepata uwezo wa kuejea na inabidi warudishiwe eneo hilo na watu waliokuwepo. Lakini hawa ni Wayahudi walioishi Poland, Ujerumani, Ukraine miaka elfu na elfu na kuwa raia kamili katika jamii za nchi hizo. Ni kama vile Wazulu waliowahi kuishi sehemu kubwa ya Tanzania miaka zaidi ya mia 200 iliyopita, warudi leo wawafukuze wakazi wote wa Tabora, Mtwara, Shinyanga kwa maana ya kuwa wamerudi wenyewe! Ungekubali? Na tangu lini Mungu akawa mgawa viwanja?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…