Kama ni kweli Barbara alisaini na Azam mbona hawaonyeshi huko Rabat?

Kama ni kweli Barbara alisaini na Azam mbona hawaonyeshi huko Rabat?

Azam TV wana umuhimu sana kwenye content za mpira wetu, tuende mbele, turudi nyuma ukweli lazima usemwe

Yanga wanapata coverage kubwa now kutoka Azam na ni haki mashabiki kujua kinachoendelea katika kambi ya timu yake
Timu kubwa duniani hazioneshagi training sessions zao. Labda baada ya kuwa zimechujwa.
 
Azam TV wana umuhimu sana kwenye content za mpira wetu, tuende mbele, turudi nyuma ukweli lazima usemwe

Yanga wanapata coverage kubwa now kutoka Azam na ni haki mashabiki kujua kinachoendelea katika kambi ya timu yake
Timu kubwa duniani hazioneshagi training sessions zao. Labda baada ya kuwa censored!
 
Timu kubwa duniani hazioneshagi training sessions zao. Labda baada ya kuwa zimechujwa.
Sijazungumzia kuhusu training sessions Ila nimeeleza kuhusu general information from their camp or what's going on for both teams in their camp
 
Timu kubwa duniani hazioneshagi training sessions zao. Labda baada ya kuwa censored!
Kujua kinachoendelea katika camp in general na sio training sessions wewe mbumbumbu

Camp is not about training only coz Kuna taarifa mbalimbali za usajili zilikuwa zinaendelea kule Morroco, exclusive news and e.t.c
 
Wivu wa boss wenu Mo dewji wenu ni wa level za kichawi na kishirikina
Kama ushirikina na wivu ndio umemfanya akawa tajiri kijana namba 1 Afrika basi inapasa kumuiga.
Wewe ndio unuonea wivu Mo na wewe ndio mshirikina mkuu. Bakhresa hajawahi kumuona Mo kama mwenye wivu ila wewe unayeweka bundle la buku umemgundua.
 
Kujua kinachoendelea katika camp in general na sio training sessions wewe mbumbumbu

Camp is not about training only coz Kuna taarifa mbalimbali za usajili zilikuwa zinaendelea kule Morroco, exclusive news and e.t.c
Hizo news zinamfaidisha nani?
 
Nadhani si lazima Azam waingie mkataba na Simba, kuna television stations nyingine, zione hiyo fursa waweke dau mezani kwa Simba na hata timu nyingine.
 
  • Thanks
Reactions: mmh
Kama ushirikina na wivu ndio umemfanya akawa tajiri kijana namba 1 Afrika basi inapasa kumuiga.
Wewe ndio unuonea wivu Mo na wewe ndio mshirikina mkuu. Bakhresa hajawahi kumuona Mo kama mwenye wivu ila wewe unayeweka bundle la buku umemgundua.
Sawa msemaji wa familia ya Gabachori
 
Kujua kinachoendelea katika camp in general na sio training sessions wewe mbumbumbu

Camp is not about training only coz Kuna taarifa mbalimbali za usajili zilikuwa zinaendelea kule Morroco, exclusive news and e.t.c
Hata sijaelewa kama unaelewa umejibu nini!
 
Hapa je
IMG_20210826_102448.jpg
 
Unajichekesha kama shoga, siku hizi Nisha acha kufiler mashoooga nenda katafute mabasha wengine, Tena ukae kwa kutulia
Kama mtu wa akili kubwa unaandika hivyo, sijui mamaako atakuwa na akili gani! Ahahahahahah!!
 
Azam TV wana umuhimu sana kwenye content za mpira wetu, tuende mbele, turudi nyuma ukweli lazima usemwe

Yanga wanapata coverage kubwa now kutoka Azam na ni haki mashabiki kujua kinachoendelea katika kambi ya timu yake
Mo kama mfanya biashara aliyefanikiwa nimemuelewa sana katika hili la haki za Matangazo ni ukweli ulo wazi kwamba SIMBA ndo imeitangaza sana ligi kuu yetu kwa hii miaka ya karibuni na kwa Sasa ni moja kati ya vilabu bora kabisa Africa iweje CONTENT YETU IWE NA GHARAMA SAWA na wenzetu ambao hata 40 bora ya vilabu Africa hawapo?...HAIWEZEKANIII
 
Azam TV wana umuhimu sana kwenye content za mpira wetu, tuende mbele, turudi nyuma ukweli lazima usemwe

Yanga wanapata coverage kubwa now kutoka Azam na ni haki mashabiki kujua kinachoendelea katika kambi ya timu yake
Then kama wao wanapata Coverage kwa ajili tu y mkataba na Azam sisi tutapata kwa matokeo ya uwanjani amini hilo.
 
Back
Top Bottom