Uchaguzi 2020 Kama ni kweli basi Kamati ya Roho Mbaya ya CCM hasa Jimbo la Kigamboni mkimaliza Kumlima Mtu mnione

Mie simuamini kbs jiwe, Bashite mwanakujipendekeza hawezi kutia nia Kigamboni bila kumshirikisha God Father!.

kifupi wanatuchezea shere, lao ni moja!.

itoshe tu kusema Bashite ni Mbunge MTEULE wa kigamboni!!!.
It is a strategy to winning the game. Makonda knows what is doing. He is assured to remain "muntu juu".
 
Mnajifanya mna access na habari nyeti kumbe ujinga mtupu.Mtayameza maneno yenu ya kipuuzi.
 
Tarehe 08 ulitabirije mkuu🀣🀣🀣

Na tarehe 12 July 2020 nilitabiri nini katika ' Kariakoo Derby ' ya Simba SC na Yanga SC? Kaangalie Uzi wangu kisha uje unipe Jibu nimeongopa?
 
Aaagh ANTIBIOTIC wee MRONGO km tumba mbichiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ hakika una kipaji Cha kutengeneza MOVIE ndotoni.........
Duuuh
 
😞😞😞
 
Aliyekuwa Mkuu Wa Mkoa Wetu Kipenzi,kijana mwenzetu Mh.Makonda Jana Alipopanda Pale Stejini katika Show ya Zuchu alisema maneno matatu tu....Mimi Nitazungumzia Ya Mwisho;
1.............…..........
2....…...................
3.KILA MTU ANA NDOTO NA
NI VYEMA "kila" MTU KUSIMAMIA NDOTO ZAKE NA KUTOKATA TAMAA.


Karibuni Al Kasus Majohe Hapa.
 
Daaah kweli dunia watu na viatu...PCM km mtu mzuri hakosi pia kuchukiwa.....

As a Fellow African ( Black ) Don't you know or aren't you aware that We have an old ' Adage ' that says One Man's Meet is another Man's Poison?
 
Kuna mdau kamtabilia atakuwa waziri wa mambo ya ndani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…