Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Kiukweli kutoka ndani ya vilindi vya Moyo wangu nafarijika Sana kuona makonda anenda kuwa mbunge wangu na spika mpya wa bunge la Tz.
Mungu mwenyezi ASIYAPOKEE uyaombayo,aaamin aaaaminMara paap ametemwa Kigamboni, katika kutafuta faraja na kupunguza stress za uchaguzi anaamua kwenda nchi moja hivi visiwani bila kujua nchi hiyo ina makubaliano ya Extradition na nchi ya Pompeo. Hapa ndo utamsikia Mh RC mstaafu yuko Guantanamo kimasihara😀😀
👍👍👍👍👍Kazi kubwa ya Mkuu wa Mkoa ni kusimamia Usalama,Kuhamasisha Wawekezaji/Wadau wa maendeleo kuwekeza au kuchangia shughuli za maendeleo au kusaidia jamii.RC aliyepita Dar amejitahidi kwa hilo,nakumbuka hadi MaRC wengine walikuwa wanasema jamaa kwa vile yupo Mkoa wenye Matajiri ndiyo maana anafanikisha mipango yake.
Kuna shughuli moja alienda Kupokea MagodoroQFL_Dodoma wakati RC wa pale anatumbua tuu macho dogo anatoka na Resource anaenda kuneemesha Mkoa wake.
👏👏👏👏Hivi kwa Nini mnamchukia hivi Makonda? Huku mikoani mbona tunasikia anavyopambana kwa maslahi ya taifa? Au ndio mafisadi na wauza madawa ya kulevya Nini? Gentamicin please declare your interest in this! Otherwise atashinda Kigamboni mbakie na vidondatumbo! Watu wa Dar mbona walalamishi hivyo.. wanaume Kama majike!
Mleta mada jiandae kuaibika Kama ulivyoaibika kwa kumponda Hussein Mwinyi halafu ukajitia kurudi kinafiki kusema ohh nampongeza kwa kuchaguliwa kwa ID yako ile ingine.Makonda atashinda Dua zenu Ni za kuku
Ukisikia majungu mengi yasiyokuwa na msingi, huwezi kukosa kutambua jungu kama hili.Sasa ni rasmi kuwa ' Hesabu ' za nyingi kwa ' Mpuuzi ' Mmoja ' Kumalizwa ' kabisa na Umaarufu wake unaenda ' Kuzimika ' ghafla ndani ya nchi ya Tanzania na kubakia Mtu wa Kawaida sana tena pengine hata Mimi ' Popoma ' GENTAMYCINE nitamzidi Umaarufu kwani ukiwa ' Maarufu ' tu JamiiForums hapa jua umeshakuwa ' Nguli ' ndani ya Mioyo ya Watanzania hata Milioni 30 hapo
Unaambiwa ' Mkakati ' ulianzia mbali sana na Siku nyingi mno baada ya Mtu huyo ambaye namuita Mpuuzi kuweza ' Kuchokwa ' si tu na Taasisi ' Nyeti ' ambazo zimekuwa zikimsaidia Kazi ' Mteule ' waka bali hata ' Mteule ' wake nae alikuwa si tu ' ameshamchoka ' bali ' amekinaiwa ' nae na alibakiza tu ' Kumtapika ' ili apumzike kama alivyofanya hivi Majuzi
Alitafutwa Mtu ( tena Rafiki yake wa karibu ) na Mpuuzi ili ampe ' Bichwa ' kuwa ' anakubalika ' huko ' alikojitosa ' kwenye Fukwe zenye ' Ustaarabu ' mwingi Dar es Salaam nzima ili tu ' Mteuwaji ' wake apate sababu ya ' Kimsingi ' kabisa ya ' Kumtapika ' mazima mazima kama alivyofanya na unaambiwa hakuna Wiki ambayo Mteuwaji ' amepumua ' na ana ' furaha ' kama hii
Ili ' Kummaliza ' kabisa Mpuuzi huyo Kinachoenda Kufanyika Kwake huko ' Ufukweni ' alikokimbilia ni kwamba ile Kamati ya ' Roho Mbaya ' ndani ya Chama chake imeshapewa ' Maagizo ' makubwa kuwa wahakikishe ' Wanamlima ' Mtu mapema kabisa ambapo tayari kuna Mtu ameshaandaliwa huko japo Mpuuzi ' anajiaminisha ' kuwa atapita tu kwakuwa na ' Pesa ' nyingi za Dhuluma
Ama hakika sasa GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE naamini rasmi kuwa Wahenga hawakukosea waliposema LENYE MWANZO LINA MWISHO.
Hii kauli alipotamka Mzee baba nikakimbilia kucheck Cv ya jamaa flani mara pa 1982 nikasema ya aliyekua anaapishwa amezaliwa lini? Bahati mbaya sikuwa na CV ya muapishwa basi nikabaki na maswali mengi je mzee baba anamuongelea former RC au.Mzukulu kama umezaliwa mwaka 1982 uwe unaridhika na unachokipata.
Hapa nina mpango wa kurud dar rasm maana jamaa alikuwa ananikera kweli kujiona yeye ndio top.Sisi tunadhukuru Mungu kwa kupata mkuu wa mkoa mpya hadi hali ya hewa imekua mzuri[emoji1]
View attachment 1509974
Uwo ni uwoga c umtaje jina tuu kwamba uyo mtu unae mzungumzia ni Poul Makonda mkuu wa mkoa mstaafu wa DSM why unafichaficha????
Ni kweli lakini linaweza kuwa na MWISHO MZURI kwa hiyo matumaini makubwa bado yapo maana Chama kina utaratibu kilichojiwekea wa kumpendekeza yeyote bila kujali matokea ndo maana majina ya wote walishiriki lazima yapelekwe mbele kuvipa Vikao vya juu Uhuru wa kumpendekeza wampendae. Kuna mifano hai mingi huu wa mtia nia aliyekuwa wa nne vikao vya chini alipendekezwa kugombea baada ya wa kwanza, wa pili na wa tatu wakitupiliwa mbali na aliyepitishwa alichaguliwa na kupewa Uwaziri. Kwa hiyo tujiandae kisaikolojia wakati ukifika wa wateule wote walioacha kazi zao kukimbilia Ubunge wakapitishwa kugombea, watakao chaguliwa kupewa vyeo vikubwa zaidi kuliko walivyovikimbia na wale watakaoshindwa watapangiwa kazi nyingine. Tutaona mengi Uchaguzi ujao!Sasa ni rasmi kuwa ' Hesabu ' za nyingi kwa ' Mpuuzi ' Mmoja ' Kumalizwa ' kabisa na Umaarufu wake unaenda ' Kuzimika ' ghafla ndani ya nchi ya Tanzania na kubakia Mtu wa Kawaida sana tena pengine hata Mimi ' Popoma ' GENTAMYCINE nitamzidi Umaarufu kwani ukiwa ' Maarufu ' tu JamiiForums hapa jua umeshakuwa ' Nguli ' ndani ya Mioyo ya Watanzania hata Milioni 30 hapo
Unaambiwa ' Mkakati ' ulianzia mbali sana na Siku nyingi mno baada ya Mtu huyo ambaye namuita Mpuuzi kuweza ' Kuchokwa ' si tu na Taasisi ' Nyeti ' ambazo zimekuwa zikimsaidia Kazi ' Mteule ' waka bali hata ' Mteule ' wake nae alikuwa si tu ' ameshamchoka ' bali ' amekinaiwa ' nae na alibakiza tu ' Kumtapika ' ili apumzike kama alivyofanya hivi Majuzi
Alitafutwa Mtu ( tena Rafiki yake wa karibu ) na Mpuuzi ili ampe ' Bichwa ' kuwa ' anakubalika ' huko ' alikojitosa ' kwenye Fukwe zenye ' Ustaarabu ' mwingi Dar es Salaam nzima ili tu ' Mteuwaji ' wake apate sababu ya ' Kimsingi ' kabisa ya ' Kumtapika ' mazima mazima kama alivyofanya na unaambiwa hakuna Wiki ambayo Mteuwaji ' amepumua ' na ana ' furaha ' kama hii
Ili ' Kummaliza ' kabisa Mpuuzi huyo Kinachoenda Kufanyika Kwake huko ' Ufukweni ' alikokimbilia ni kwamba ile Kamati ya ' Roho Mbaya ' ndani ya Chama chake imeshapewa ' Maagizo ' makubwa kuwa wahakikishe ' Wanamlima ' Mtu mapema kabisa ambapo tayari kuna Mtu ameshaandaliwa huko japo Mpuuzi ' anajiaminisha ' kuwa atapita tu kwakuwa na ' Pesa ' nyingi za Dhuluma
Ama hakika sasa GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE naamini rasmi kuwa Wahenga hawakukosea waliposema LENYE MWANZO LINA MWISHO.
Unaelewa maana ya kustaafu kweli au unaandika tu?Uwo ni uwoga c umtaje jina tuu kwamba uyo mtu unae mzungumzia ni Poul Makonda mkuu wa mkoa mstaafu wa DSM why unafichaficha????
Huwezi ukatenganisha tv na remote hizo Ni sarakasi.Chai bila sukari si chai tena.
Mkuu weka huo uzi hapa!Wewe Ni mpiga Ramli Kama waganga wengine was Hadi tu.
Si uliandika akichaguliwa Hussein Mwinyi Kama mgombea Zanzibar nchi itawaka Moto , wewe ni kukupuuza tu huna unalojua.
Sio kweli acha kuota ndoto za mchana za kutuhadaa wenye akili.Sasa ni rasmi kuwa ' Hesabu ' za nyingi kwa ' Mpuuzi ' Mmoja ' Kumalizwa ' kabisa na Umaarufu wake unaenda ' Kuzimika ' ghafla ndani ya nchi ya Tanzania na kubakia Mtu wa Kawaida sana tena pengine hata Mimi ' Popoma ' GENTAMYCINE nitamzidi Umaarufu kwani ukiwa ' Maarufu ' tu JamiiForums hapa jua umeshakuwa ' Nguli ' ndani ya Mioyo ya Watanzania hata Milioni 30 hapo
Unaambiwa ' Mkakati ' ulianzia mbali sana na Siku nyingi mno baada ya Mtu huyo ambaye namuita Mpuuzi kuweza ' Kuchokwa ' si tu na Taasisi ' Nyeti ' ambazo zimekuwa zikimsaidia Kazi ' Mteule ' waka bali hata ' Mteule ' wake nae alikuwa si tu ' ameshamchoka ' bali ' amekinaiwa ' nae na alibakiza tu ' Kumtapika ' ili apumzike kama alivyofanya hivi Majuzi
Alitafutwa Mtu ( tena Rafiki yake wa karibu ) na Mpuuzi ili ampe ' Bichwa ' kuwa ' anakubalika ' huko ' alikojitosa ' kwenye Fukwe zenye ' Ustaarabu ' mwingi Dar es Salaam nzima ili tu ' Mteuwaji ' wake apate sababu ya ' Kimsingi ' kabisa ya ' Kumtapika ' mazima mazima kama alivyofanya na unaambiwa hakuna Wiki ambayo Mteuwaji ' amepumua ' na ana ' furaha ' kama hii
Ili ' Kummaliza ' kabisa Mpuuzi huyo Kinachoenda Kufanyika Kwake huko ' Ufukweni ' alikokimbilia ni kwamba ile Kamati ya ' Roho Mbaya ' ndani ya Chama chake imeshapewa ' Maagizo ' makubwa kuwa wahakikishe ' Wanamlima ' Mtu mapema kabisa ambapo tayari kuna Mtu ameshaandaliwa huko japo Mpuuzi ' anajiaminisha ' kuwa atapita tu kwakuwa na ' Pesa ' nyingi za Dhuluma
Ama hakika sasa GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE naamini rasmi kuwa Wahenga hawakukosea waliposema LENYE MWANZO LINA MWISHO.
Wewe mwisho wako unaujuaKweli lenye MWANZO LINA MWISHO ila huyu Mpuuzi Bado mwisho wake sio huo
Si wote wenye kuwezapata asali,pia asali ni ghali kuliko sukarikwenye chai unaweza usitumie sukari ukatumia Asali
Kabisa yaani hivi sasa nadhani kitu kinachomumizaa Ridhiwani kumpa pande Bashite tena kipindi kile cha lala salamaa.Angekua kweli ni mtu wa shukurani hasingethubutu kusimama hadharani na kumpakazia Rizwani kikwete kashfa ya kuuza madawa ya kulevya Huku akiwa hana ushaidi wa kutosha
Ikumbukwe Ridhwani ndio aliemuokota Makonda anatanga tanga UVCMM wakampa cheo
Sana sana akipita tusubili majigambo na mipasho