Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Mimi namuombea AWE MBUNGE aaamin,uspika kwa muda huu abaki nao mh.Ndugai,aaaamin rabbil aaalamin🤲🤲🤲🤲
Kiukweli kutoka ndani ya vilindi vya Moyo wangu nafarijika Sana kuona makonda anenda kuwa mbunge wangu na spika mpya wa bunge la Tz.