Kama ni kweli Bodi ya Ligi wamemzuia CEO wa Simba kuingia kwenye derby basi huu ni uhuni mkubwa

Kama ni kweli Bodi ya Ligi wamemzuia CEO wa Simba kuingia kwenye derby basi huu ni uhuni mkubwa

Cashman

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2018
Posts
3,017
Reaction score
5,294
Nimesoma na kupokea kwa masikitiko taarifa ya kuzuiwa kuingia uwanjani kuangalia mechi ya leo Barbara Gonzales CEO wa Simba.

Kusema kweli niliaminishwa shuleni kwamba wazungu walituita Waafrika (washenzi) yaani watu wasio wastaarabu kuwa walitunyanyasa kwa kutuita hivyo.
Ila nimejifunza na kujiridhisha sana kwamba sisi watu weusi ni kweli ni "washenzi"

Huwezi kutarajia jambo kama hilo kufanywa na watu ninaoamini angalau wanajua kusoma na kuandika, tena wamepewa dhamana kubwa namna hiyo.

Jambo hili halipaswi kuvumiliwa na mambo kama haya ndiyo yanazaa viongozi wanaoweza kuyazuia kwa namna ile ile ya kishenzi.
 
Mpira wa tanzania na africa yote unaendeshwa na magenge ya wahuni na matapeli,wauza drugs na wahujumu uchumi,ndio maana umejaa mizengwe,fitna na umafia wa kila namna.

Bahati nzuri kwa sasa mwanga umeanza kuonekana angalau new generation ya vijana wasomi wanajaribu kuingia kwenye uongozi wa mpira hivyo wanakuja na weredi katika utendaji wa kazi na mifumo ya kisasa,changamoto kubwa wanayokutana nayo ni aina ya watu waliomo kwenye taasisi za mpira kwa muda mrefu ambao ndio hao majangiri, mafias,matapeli nk hawataki kukubali mabadiliko maana wanajua mbinu zao zitafika kikomo.

Babra atapigwa vita sana na dizaini ya watu kama kasongo,Nyamlani, Mwakalebela,Rage,Kaburu n.k ambao wameugeuza mpira kama sehemu ya kuchota tu pesa,na bahati mbaya kwa Babra hatapata sapoti yeyote ya watanzania maana watanzania asilimia kubwa ni wajinga na wafuata mkumbo tu,
 
Is this true?

Kama ni kweli nazidi kuamini baadhi ya viongozi wa TFF na bodi ya ligi ni wahuni, hawa wajinga wanatakiwa kuwajibishwa, kama walikula pesa za GSM Barbara akawaharibia dili wajue watakavyozirudisha.
 
Yes lazima wamekula pesa. Wachunguzwe na kusimamishwa kazi Mara moja.

Akina kasongo wapuuzi sana na ni washenzi.

Wamekula pesa kwa kuahidi yanga iwe bingwa.

Wate TFF na bodi ya league watimuliwe.
 
Nimesoma na kupokea kwa masikitiko taarifa ya kuzuiwa kuingia uwanjani kuangalia mechi ya leo Barbara Gonzales CEO wa Simba.

Kusema kweli niliaminishwa shuleni kwamba wazungu walituita Waafrika (washenzi) yaani watu wasio wastaarabu kuwa walitunyanyasa kwa kutuita hivyo.
Ila nimejifunza na kujiridhisha sana kwamba sisi watu weusi ni kweli ni "washenzi"

Huwezi kutarajia jambo kama hilo kufanywa na watu ninaoamini angalau wanajua kusoma na kuandika, tena wamepewa dhamana kubwa namna hiyo.

Jambo hili halipaswi kuvumiliwa na mambo kama haya ndiyo yanazaa viongozi wanaoweza kuyazuia kwa namna ile ile ya kishenzi.
Sababu za kumzuia umezisoma kwenye bandiko la bodi ya ligi au unakurupuka tu, kasome kwanza hilo bandiko ndo uje apa kulalamika
 
Kama wamemzuwia kweli wamefanya Jambo la maana,haiwezekani watu wanahaha kutafuta wawekezaji kwenye mpira ili kuuboresha,we unaleta wakingese ngese,wamzuwie ligi yote
 
Sababu za kumzuia umezisoma kwenye bandiko la bodi ya ligi au unakurupuka tu, kasome kwanza hilo bandiko ndo uje apa kulalamika

Huo upuuzi ndiyo wakawadanganye watoto wao nyumbani.Barbra shikilia hapo hapo hadi waziteme pesa za GSM walizokula
 
Nimesoma na kupokea kwa masikitiko taarifa ya kuzuiwa kuingia uwanjani kuangalia mechi ya leo Barbara Gonzales CEO wa Simba.

Kusema kweli niliaminishwa shuleni kwamba wazungu walituita Waafrika (washenzi) yaani watu wasio wastaarabu kuwa walitunyanyasa kwa kutuita hivyo.
Ila nimejifunza na kujiridhisha sana kwamba sisi watu weusi ni kweli ni "washenzi"

Huwezi kutarajia jambo kama hilo kufanywa na watu ninaoamini angalau wanajua kusoma na kuandika, tena wamepewa dhamana kubwa namna hiyo.

Jambo hili halipaswi kuvumiliwa na mambo kama haya ndiyo yanazaa viongozi wanaoweza kuyazuia kwa namna ile ile ya kishenzi.

Umesoma taarifa ya TFF?
Mfundisheni huyo mwanamke kuheshimu utaratibu aache kuamini kwamba kila sehemu atakuwa maarufu
 
Ni uhuni tu.
Hawawezi kushindwa kutunga sababu.
Tatizo huenda ni mlungula kutoka kwa GSM kwenye ule mkataba wa ligi.

TAKUKURU sijui wako wapi?Au hadi muagizwe na Rais?

Hii michezo ya kihuni Jiwe alishaimaliza naona imeanza kurudi kwa kasi.
Ilikuwa ni kuwaminya kimya kimya ili waseme ujinga wote uliotokea
Sababu za kumzuia umezisoma kwenye bandiko la bodi ya ligi au unakurupuka tu, kasome kwanza hilo bandiko ndo uje apa kulalamika
 
Uwezi kuchukua kadi za mwaliko wa kukaa eneo la VVIP zilizo tolewa na Tff ukawapa watoto wako wakati zile ziliwahusu watu maalumu. Icho nikitendo Cha ubinafsi wa Hali ya juu na hakikubaliki. Ata Kama wewe unamahusiano na mwekezaji wa Timu husika.
 
Ulitaka watoto wake wakakae wapi?
Unajielewa kweli wewe?

Uwezi kuchukua kadi za mwaliko wa kukaa eneo la VVIP zilizo tolewa na Tff ukawapa watoto wako wakati zile ziliwahusu watu maalumu. Icho nikitendo Cha ubinafsi wa Hali ya juu na hakikubaliki. Ata Kama wewe unamahusiano na mwekezaji wa Timu husika.
 
Back
Top Bottom