Kama ni kweli Bodi ya Ligi wamemzuia CEO wa Simba kuingia kwenye derby basi huu ni uhuni mkubwa

Kama ni kweli Bodi ya Ligi wamemzuia CEO wa Simba kuingia kwenye derby basi huu ni uhuni mkubwa

Watoto hawaitaji kadi za kuingilia na lile ni eneo maalumu la VVIP uwezi kuleta watoto wako. Kwani ao VVIP wengine awakua na watoto wao?
Kitendo Cha kuchukua kadi za mwaliko za VVIP na badala ya kuwapa viongozi waandamizi au wanachama wenye sifa iyo na kuzitumia kwaajili ya watoto wako iyo tafsiri yake ni dharau na ubinafsi kwa aliyetoa izo kadi maalumu.
 
Watoto hawaitaji kadi za kuingilia na lile ni eneo maalumu la VVIP uwezi kuleta watoto wako. Kwani ao VVIP wengine awakua na watoto wao?
Kitendo Cha kuchukua kadi za mwaliko za VVIP na badala ya kuwapa viongozi waandamizi au wanachama wenye sifa iyo na kuzitumia kwaajili ya watoto wako iyo tafsiri yake ni dharau na ubinafsi kwa aliyetoa izo kadi maalumu.
Umemjibu vizuri maana uyo babra anatafuta huruma wakati yeye ndo kafanya mambo ya ovyo, alafu anajificha kwenye kichaka cha mambo ya gsm na tff, uyu binti ni mpumbavu anataka umaarufu kila eneo sasa wamemkomesha
 
Umesoma taarifa ya TFF?
Mfundisheni huyo mwanamke kuheshimu utaratibu aache kuamini kwamba kila sehemu atakuwa maarufu
TFF wapumbavu ,mechi ya Simba halafu ndo yuko nyumbani halafu Babra ahitaji mwaliko tena?akili za wapi hizo
 
Sio Uhuni tu, ni Unyanyasaji wa Jinsia vile vile
Alicho fanya Barbara ni ushamba na ulimbukeni ata Kama una mahusiano na mwekezaji wa iyo timu. Zile tiket za VVIP Tff uzitoa kwa kila timu free inayocheza mechi Ile kwaajili ya baadhi ya staff wa Timu au watu mnao ona Wana sifa iyo kwenye timu yenu.
Alicho fanya Barbara kuja na watoto wake na kuingianao kupitia ticket zile ni aibu Kama kiongozi.
 
Alicho fanya Barbara ni ushamba na ulimbukeni ata Kama una mahusiano na mwekezaji wa iyo timu. Zile tiket za VVIP Tff uzitoa kwa kila timu free inayocheza mechi Ile kwaajili ya baadhi ya staff wa Timu au watu mnao ona Wana sifa iyo kwenye timu yenu.
Alicho fanya Barbara kuja na watoto wake na kuingianao kupitia ticket zile ni aibu Kama kiongozi.
Basi wajumbe wa TFF mumsamehe yule Dada ni msomi na NI mgeni ktk tasnia ya kandanda lkn ana impact kubwa ....

Shida ya mfumo wa vigego huwa hampendi kumpokea mtu mpya ili awape changamoto mpya
 
Yule Barbara yupo pale si kwakua ana ujuzi wowote kuhusu soka, yupo pale kwakua amewekwa na MO. Mtu anaye operate ni Magori.
 
Nimesoma na kupokea kwa masikitiko taarifa ya kuzuiwa kuingia uwanjani kuangalia mechi ya leo Barbara Gonzales CEO wa Simba.

Kusema kweli niliaminishwa shuleni kwamba wazungu walituita Waafrika (washenzi) yaani watu wasio wastaarabu kuwa walitunyanyasa kwa kutuita hivyo.
Ila nimejifunza na kujiridhisha sana kwamba sisi watu weusi ni kweli ni "washenzi"

Huwezi kutarajia jambo kama hilo kufanywa na watu ninaoamini angalau wanajua kusoma na kuandika, tena wamepewa dhamana kubwa namna hiyo.

Jambo hili halipaswi kuvumiliwa na mambo kama haya ndiyo yanazaa viongozi wanaoweza kuyazuia kwa namna ile ile ya kishenzi.
CEO wa Makolo hana nidhamu, anatukana na kutupa kadi, TFF chukueni hatua atazoea.
 
Kama wamemzuwia kweli wamefanya Jambo la maana,haiwezekani watu wanahaha kutafuta wawekezaji kwenye mpira ili kuuboresha,we unaleta wakingese ngese,wamzuwie ligi yote
Huyo CEO wa Makolo hana nidhamu, anataka kuigeuza TFF kuwa ya Familia ya Dewji, kama alivyoigeuza Simba kuwa timu ya familia ya Dewji. Hatua zichukuliwe, asiachwe tazoea.
 
Alicho fanya Barbara ni ushamba na ulimbukeni ata Kama una mahusiano na mwekezaji wa iyo timu. Zile tiket za VVIP Tff uzitoa kwa kila timu free inayocheza mechi Ile kwaajili ya baadhi ya staff wa Timu au watu mnao ona Wana sifa iyo kwenye timu yenu.
Alicho fanya Barbara kuja na watoto wake na kuingianao kupitia ticket zile ni aibu Kama kiongozi.
Watu dizaini yako uwa nawaona kama mashoga na wajinga,kiujumla sipati jina maalumu linalo wastahili,ila aliewaita utopolo na yule aliewaita nyani hakukosea.
 
TFF watuambie pia nafasi za watoto kuja viwanjani ni zipi?

Kama walikuwa na tiketi bila kujali uwepo wa majina yao ilikuwa inaleta athari gani kwa wao kuingia VVIP?

Hili TFF kupitia bodi ya ligi wamejivua nguo kuweka bifu na Simba.

CEO tena wa timu kubwa ambayo ndiyo mwenyeji wa mchezo. Hata kama kulikuwa na gaps, wao kama wasimamizi wa mchezo walipaswa "kumaccomodate" jambo lipite.

Hiki kisasi walichokifanya,nadhani timing imekuwa mbovu sana,ukizingatia wametoka kusigana kwenye mambo ya wadhamini.
 
Alicho fanya Barbara ni ushamba na ulimbukeni ata Kama una mahusiano na mwekezaji wa iyo timu. Zile tiket za VVIP Tff uzitoa kwa kila timu free inayocheza mechi Ile kwaajili ya baadhi ya staff wa Timu au watu mnao ona Wana sifa iyo kwenye timu yenu.
Alicho fanya Barbara kuja na watoto wake na kuingianao kupitia ticket zile ni aibu Kama kiongozi.
Mkuu umekomaa na mahusiano ya watu unataka upigwe pumbu wewe
 
Jukwaa la VVIP huwa kuna nafasi za maofisa wa bodi na kamati tendaji na wanapewa ticket maalum

Huyo demu wenu ametoka na familia yake huko kwao na tickets ambazo Inabidi zitumiwe na maofisa anataka zitumiwe na watoto wake

Hizo akili zake za kipumbavu aendelee kuwaonesha makolo wenzake na asijikute yy ni mjuaji muda wote

Chamsingi swala lake limefika kwenye mamlaka husika basi atashughulikiwa na kuleta vuruga pale uwanjani
 
Huyo CEO wa Makolo hana nidhamu, anataka kuigeuza TFF kuwa ya Familia ya Dewji, kama alivyoigeuza Simba kuwa timu ya familia ya Dewji. Hatua zichukuliwe, asiachwe tazoea.
Hata utopolo wenzako wanalaani hicho kitendo,, wewe ni utopolo yupi???
 
Watu dizaini yako uwa nawaona kama mashoga na wajinga,kiujumla sipati jina maalumu linalo wastahili,ila aliewaita utopolo na yule aliewaita nyani hakukosea.
Wewe tukana tusi lolote Ila uwo ndio ukweli, Barbara kuwa na Mahusiano na MO hakumfanyi yeye kuwa juu ya Taratibu zilizo wekwa na waratibu wa Mchezo. Mambo Kama ayo ya kuwaburuza watendaji anaweza kuya fanya ndani ya Simba sio nje ya Simba.
Jambo ambalo Barbara ameonyesha uwezo binafsi Kama msomi ni kupakarangi ya mdomo kwa ufanisi, na kupiga picha na watu maarufu. Kwenye Soka yeye ni rimot ya Magori.
 
TFF watuambie pia nafasi za watoto kuja viwanjani ni zipi?

Kama walikuwa na tiketi bila kujali uwepo wa majina yao ilikuwa inaleta athari gani kwa wao kuingia VVIP?

Hili TFF kupitia bodi ya ligi wamejivua nguo kuweka bifu na Simba.

CEO tena wa timu kubwa ambayo ndiyo mwenyeji wa mchezo. Hata kama kulikuwa na gaps, wao kama wasimamizi wa mchezo walipaswa "kumaccomodate" jambo lipite.

Hiki kisasi walichokifanya,nadhani timing imekuwa mbovu sana,ukizingatia wametoka kusigana kwenye mambo ya wadhamini.
VVIP tickets zinatolewa na TFF ni kwa ajili ya maofisa wa bodi na kamati tendaji tu, kama umekuja na ndg zako wengine basi nenda kawakatie tickets nyingine
 
Back
Top Bottom