Yohana Mbatizaji. Je kuiongoza Tanzania na watu wake si ni kazi rahisi pia?,,, Wataanza ia watu wake amani, wametuliaa, tuliiiiiiiNEC na ZEC wapi na wapi?
Kweli kuongoza Chadema ni kazi rahisi sana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yohana Mbatizaji. Je kuiongoza Tanzania na watu wake si ni kazi rahisi pia?,,, Wataanza ia watu wake amani, wametuliaa, tuliiiiiiiNEC na ZEC wapi na wapi?
Kweli kuongoza Chadema ni kazi rahisi sana!
Bwashee mimi ni mstaafu vijana kama David Silinde huu ndio wakati wao wa kushika nafasi za uongozi.Jombaa, magu hateui Tena! Jana kakasimu mamlaka ya uteuzi kwa mkuu wa mkoa tabora hivyo Anza kujikomba kwa wakuu wa mikoa na cdm sio big issue kwa Sasa Bali makusanyo ya Kodi ndio ujikite huko!
Babu una uhakika ruzuku wanayopewa cdm Ina uhusiano na covi d19? Ninaanza kuhisi ww hujui Mambo muhimu.Ya Chadema ilipungua na ya CCM iliongezeka.
Nenda kwa Tumaini Makene ukajifunze siasa toka huko migombani.
Urais siyo kazi ya kukimbilia bwashee.Yohana Mbatizaji. Je kuiongoza Tanzania na watu wake si ni kazi rahisi pia?,,, Wataanza ia watu wake amani, wametuliaa, tuliiiiiii
Kwani wewe hukuwapigia kura hao Covid 19 majimboni!Babu una uhakika ruzuku wanayopewa cdm Ina uhusiano na covi d19? Ninaanza kuhisi ww hujui Mambo muhimu.
2015 kafu haikushiriki uchaguzi mkuu baada ya jecha kufanya yake.2015.CUF ilipata ruzuku kutokana na kura za urais Zanzibar!
Bado CUF ilikuwa kwenye Ballot paper na ikapigiwa kura!2015 kafu haikushiriki uchaguzi mkuu baada ya jecha kufanya yake.
Yohana Mbatizaji. Mfano ikitokea Shindano la Afrika kwa Maraiisi was Afrika kugombania nchi ya kuiongoza katika Afrika, hudhani kuwa Tanzania itachukua nafasi ya kwanza kutokana na utulivu na unyenyekevu wa sisi raia wa Tanzania. Yaani tumetulia tuliiii,Urais siyo kazi ya kukimbilia bwashee.
Kiongozi wa nchi huletwa na Mungu!
Mi niliwapigia wa ccm. Lkn elewa ruzuku ailetwi na hao viti maalum. Ndo maana unaona cdm hawana hofu nao. Ingekuwa wanaleta ruzuki cdm wanavyopenda hela siku ileile wanavyoapishwa ccm ungewaona na cdm.Kwani wewe hukuwapigia kura hao Covid 19 majimboni!
Kumbe wewe kilaza ndiyo maana unatujazia server na nyuzi na post zako za kijuha. Ruzuku haitokani na wabunge wa viti maalum bali hutokana na kura za Urais na idadi ya wabunge wa kutoka majimboni, na kinyume chake idadi ya wabunge wa viti maalum ndiyo hutokana na kura za Urais.Kwanza kabisa nitoe pongezi za awali kama ni kweli CHADEMA haijagusa ruzuku itokanayo na wabunge 19 wa viti maalumu kwa kuamini wale siyo wabunge halali.
Hapo CHADEMA inaweza kujitofautisha na ACT wazalendo kwa ukomavu na kujiamini.
Maendeleo hayana vyama!
Lakini siyo kutokana na wabunge wa viti maalum wewe boya.Ya Chadema ilipungua na ya CCM iliongezeka.
Nenda kwa Tumaini Makene ukajifunze siasa toka huko migombani.
Tuonyeshe kifungu hicho cha katiba, vinginevyo ni utoporo tu.Ruzuku haitokani na idadi ya wabunge inatokana kama mmepata 5% ya kura za Rais, sijui upo nchi gani?
Umenichekesha sana kwa hii coment yako. So una maana hata jiwe kaletwa na Mungu? Watu mna utani sanaUrais siyo kazi ya kukimbilia bwashee.
Kiongozi wa nchi huletwa na Mungu!
Jibu zuri sanaJombaa, magu hateui Tena! Jana kakasimu mamlaka ya uteuzi kwa mkuu wa mkoa tabora hivyo Anza kujikomba kwa wakuu wa mikoa na cdm sio big issue kwa Sasa Bali makusanyo ya Kodi ndio ujikite huko!
Mungu anasingiziwa mambo mengi sanaUmenichekesha sana kwa hii coment yako. So una maana hata jiwe kaletwa na Mungu? Watu mna utani sana
Kwahiyo yale mabirika uliyokuwa unatumia kuuza chai pale Mwanza Railway station nayo bado upo nayo?Bwashee mimi ni mstaafu vijana kama David Silinde huu ndio wakati wao wa kushika nafasi za uongozi.
Tutaendelea kuwaibua nadhani hata J J Mnyika anastahili nafasi za chama tawala siyo ukatibu wa saccos!
Mkuu lakini hata hiyo ruzuku ya % za urais si imepatikana kwenye uchaguzi ambao amuutambui,inakuaje % za kura mlizopata kwenye uchaguzi mnaodai aukua wa haki mnachukua ruzuku halafu wabunge amuwatambui!Huyo hana lolote ajuwalo zaidi ya kupayuka tu jf ili ajiingizie kipato cha buku saba
Wewe kamwe huna haki yoyote ile ya kuwapangia CHADEMA nini wafanye na kupi wasifanye.Mkuu lakini hata hiyo ruzuku ya % za urais si imepatikana kwenye uchaguzi ambao amuutambui,inakuaje % za kura mlizopata kwenye uchaguzi mnaodai aukua wa haki mnachukua ruzuku halafu wabunge amuwatambui!
Mkuu wala sina chama, kinachonishangaza ruzuku za kura za mgombea urais mnachukua halafu wakati huo huo mnapinga uchaguzi uliofanya mkapata hizo % ya kua aukua wa haki,uchaguzi aukua wa haki lakini pesa mnachukua nq covid 19 waliopatikana na kutokana kura mlizopata amuwatambui!nonseseWewe kamwe huna haki yoyote ile ya kuwapangia CHADEMA nini wafanye na kupi wasifanye.
Kama mnawahitaji hao wabunge chukueni tu maana tulishawatimua kutoka kwenye chama chetu pendwa CHADEMA.