Gerald .M Magembe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,496
- 1,800
Malipo ya serikali yapo wazi ofisi ya Paymaster General lakini sio busara hata kidogo kuweka public masuala ya malipo ya pesa.Kama una ushahidi wa transactions za account yao weka wazi Bwashee.
Msimlazimishe mgawa Ruzuku, Msajili wa vyama, atoke kuongeaKwanza kabisa nitoe pongezi za awali kama ni kweli CHADEMA haijagusa ruzuku itokanayo na wabunge 19 wa viti maalumu kwa kuamini wale siyo wabunge halali.
Hapo CHADEMA inaweza kujitofautisha na ACT wazalendo kwa ukomavu na kujiamini.
Maendeleo hayana vyama!
Kwanza kabisa nitoe pongezi za awali kama ni kweli CHADEMA haijagusa ruzuku itokanayo na wabunge 19 wa viti maalumu kwa kuamini wale siyo wabunge halali.
Hapo CHADEMA inaweza kujitofautisha na ACT wazalendo kwa ukomavu na kujiamini.
Maendeleo hayana vyama!
Ruzuku ni mali ya dikteta au ni kodi za watanzania? kwa hiyo ukifungwa kwa uonevu utagoma kula kisa umefungwa kwa uonevu?Tuonyeshe kifungu hicho cha katiba, vinginevyo ni utoporo tu.
2: kwa hiyo mnatambua kuwa ushindi wa magufuli ni halali na nyie mlifikisha zaidi ya hiyo % 5? Na kama hamkubali ushindi huo kwa nini mkubali hiyo % ili mpate ruzuku?
Lete majibu hayo mawili zidi ya hapo ni njaa inawasumbua mkikubali kula ruzuku kwa namna yoyote.
Ila mkuu tuwe wakweli,ktk kujenga hoja ww ni low sana.umekaa kiumbea mbea,udaku so udaku.Sijui hata mkeo km unae anamudu vipi kuishi na mwanamme mbea. Mtu usiyejua hata mambo ya msingi,ya maana muda wote ni mtu wa hoja nyepesi nyepesi. Upuuzi upuuzi tu.Sasa kama hata mambo madogo tu ya ruzuku huyajui unafanya nini hapo Ufipa?
Nyie ndio mh Naibu waziri Katambi aliwaita " Bavicha makarai"
Ife Mara ngapi?Hii CHADEMA siku ikifa sasa naamini hata na nyie huko Lumumba mtakufa pia, mnapenda kuiimba sana, kwa siku mara ngapi vile?
Hela ya ruzuku hutokana na idadi yakura au idadi ya wabunge?Naomba ujibu kwa reference,siyo kukariri.Kwanza kabisa nitoe pongezi za awali kama ni kweli CHADEMA haijagusa ruzuku itokanayo na wabunge 19 wa viti maalumu kwa kuamini wale siyo wabunge halali.
Hapo CHADEMA inaweza kujitofautisha na ACT wazalendo kwa ukomavu na kujiamini.
Maendeleo hayana vyama!
Huwa najitahidi kukuamini hata unapocheza nje ya mstari. Aliyekwambia Ruzuku inatokana na Wabunge wa viti maalum ni nani?Kwanza kabisa nitoe pongezi za awali kama ni kweli CHADEMA haijagusa ruzuku itokanayo na wabunge 19 wa viti maalumu kwa kuamini wale siyo wabunge halali.
Hapo CHADEMA inaweza kujitofautisha na ACT wazalendo kwa ukomavu na kujiamini.
Maendeleo hayana vyama!
Watu mnapata mkate wenu wa siku kwa kuiandika Chadema useme imekufa! Utakuwa na mtindio wa ubongo wewe si bureIfe Mara ngapi?
Hata uchaguzi pamoja na bunge ni vitu ambavyo vipo kikatiba na si mali wala matakwa ya Dikteta.Ruzuku ni mali ya dikteta au ni kodi za watanzania? kwa hiyo ukifungwa kwa uonevu utagoma kula kisa umefungwa kwa uonevu?
Kwa nini uchukuwe asilimia 5 ambayo hukupataRuzuku haitokani na idadi ya wabunge inatokana kama mmepata 5% ya kura za Rais, sijui upo nchi gani?
Ndio ilipungua ndugu, fanya homeworkKwa akili yako unadhani wabunge hao walipoondoka na ruzuku ilipungua?
Soma ueleweKwa nini uchukuwe asilimia 5 ambayo hukupata
Hao wabunge wameteuliwa na CHADEMA?Hata uchaguzi pamoja na bunge ni vitu ambavyo vipo kikatiba na si mali wala matakwa ya Dikteta.
Nimegoogle na kukuta taarifa hiyo iliyoandikwa na gazeti la mwananchi kwamba kufuata ile hamahama CCM iliongeza ruzuku kea takriban one billion. Kweli kwamba Wabunge nao huchangia ruzuku inayopatikana chamaniKama ndivyo,inamaana CDM ruzuku ilipungua nusu nzima!Kitu ambacho si kweli!
Asili ya kura za urais unazopata ndizo huamua kiwango cha ruzuku!Ndio maana NEC ikaja na sheria kuwa kama vyama vitasimamisha mgombea mmoja wa urais basi waandae mkataba wa namna gani watagawana ruzuku!
Hiyo ruzuku inayoongelewa hapa ni wabunge wa kutoka majimboni wale waliokuwa wananunuliwa kama njugu na siyo hao wa viti maalum.Nimegoogle na kukuta taarifa hiyo iliyoandikwa na gazeti la mwananchi kwamba kufuata ile hamahama CCM iliongeza ruzuku kea takriban one billion. Kweli kwamba Wabunge nao huchangia ruzuku inayopatikana chamani
Nazungumzia hali ya kususa.Hao wabunge wameteuliwa na CHADEMA?