Kama ni kweli hawa wasanii wanapelekwa Dubai kwa mission maalum Dubai Port, hakika inafikirisha!

Kama ni kweli hawa wasanii wanapelekwa Dubai kwa mission maalum Dubai Port, hakika inafikirisha!

Watanzania wenzangu hatima ya ustawi wa Taifa letu upo mikononi mwetu. Ni wajibu wetu kama Watanzania tujizuie kwa namna yeyote ima kununuliwa ama kushawishiwa kwa namna yeyote ile ilmradi tuligawe Taifa na rasilimali zetu.

Safari za namna hiyo za watu maarufu na wasanii wetu kwenda huko Dubai kwa nyakati za SINTOFAHAMU kubwa ihusuyo bandari yetu na wao badala ya kueleweka hakika zinaongeza maswali mengi mno kwa wenzetu wenye mashaka na mradi wetu pendwa tarajiwa.

Nakemea kwa nguvu zote, njia za aina yeyote zifananazo na hiyo ya ushawishi kwa jamii yetu kuhusu hilo!

Vilevile, siamini hao wasanii na watu maarufu wanatumia pesa zao kutoka mfukoni kuhimili gharama za hoteli za aina hiyo ya hapo juu kwa zaidi ya siku nne!

JE, KAMA HAWA WASANII WANATUNZWA KIFALME HIVYO (kama ni kweli) ILIKUWAJE KWA WAWAKILISHI WETU WALE 30?!

NAANZA KUHOFIA PENGINE TUPO KWENYE HATARI TARAJIWA!

Chama changu CCM naomba kama kikombe hicho kinaweza kutuepuka kwa kuzingatia MASLAHI MAPANA kwa Taifa letu tulipendalo na tukiepuke!

Kidumu Chama cha Mapinduzi.
View attachment 2666858
Nchi ina wapumbavu wengi hii
 
Nafikiri huu ndio mwisho wa chama cha mapinduzi hawana nafasi tena ya kuendelea kutawala Tz. Tanzania ni kubwa kuliko fisiemu. 2025 tunawatoa madarakani
 
Watanzania wenzangu hatima ya ustawi wa Taifa letu upo mikononi mwetu. Ni wajibu wetu kama Watanzania tujizuie kwa namna yeyote ima kununuliwa ama kushawishiwa kwa namna yeyote ile ilmradi tuligawe Taifa na rasilimali zetu.

Safari za namna hiyo za watu maarufu na wasanii wetu kwenda huko Dubai kwa nyakati za SINTOFAHAMU kubwa ihusuyo bandari yetu na wao badala ya kueleweka hakika zinaongeza maswali mengi mno kwa wenzetu wenye mashaka na mradi wetu pendwa tarajiwa.

Nakemea kwa nguvu zote, njia za aina yeyote zifananazo na hiyo ya ushawishi kwa jamii yetu kuhusu hilo!

Vilevile, siamini hao wasanii na watu maarufu wanatumia pesa zao kutoka mfukoni kuhimili gharama za hoteli za aina hiyo ya hapo juu kwa zaidi ya siku nne!

JE, KAMA HAWA WASANII WANATUNZWA KIFALME HIVYO (kama ni kweli) ILIKUWAJE KWA WAWAKILISHI WETU WALE 30?!

NAANZA KUHOFIA PENGINE TUPO KWENYE HATARI TARAJIWA!

Chama changu CCM naomba kama kikombe hicho kinaweza kutuepuka kwa kuzingatia MASLAHI MAPANA kwa Taifa letu tulipendalo na tukiepuke!

Kidumu Chama cha Mapinduzi.
View attachment 2666858
TANGU LINI CCM WANAMASIKIO?
 
Tatizo kubwa sana ninalolishuhudia kwa Watanzania wengi ni ujinga mbaya, tuelewane kuwa ujinga siyo tusi, ujinga ni sifa ya kutokuelewa. Sifa inaweza kuwa nzuri au mbaya, sifa ya ujinga mbaya ni ile ya kutokuelewa kuwa huelewi, sifa nzuri ya ujinga ni ile ya kutokuelewa lakini unafahamu kuwa huelewi.

Ukishaelewa kuutofautisha ujinga katika sifa nzuri na mbaya basi itakuwa wepesi sana kutokana na ujinga mbaya mwingi na kubaki na ujinga mzuri mchache wa yale mapya usiyoelewa. Na namna ya kuufuta ujinga mbaya ni kujifunza kile usichokielewa, ukishakielewa ina maan hu mjinga tena kwenye hicho unabaki kuwa mjinga katika kile tu ambacho hujajifunza.

Mfano mzuri tena ni mfano hai, ni huu wa sakata la bandari. Wengi tunajifanya tunaelewa kumbe hatuelewi chochpote, tunakuwa washitaki sisi, watowa hukumu sisi, waadhibuji sisi, wachimba makaburi sisi ya tuliowahukumu sisi. Siyo vibaya yote hayo, si ndiyo tunafanya kazi zote hizo kwa bidii, hatungoji kufanyiwa, au sivyo? Ni sifa kubwa hiyo.

Lakini ni sifa ya ujinga mbaya, sana tena sana. Kwa sababu huyo tunaemhukumu hatumjuwi. Tunamhukumu bila hata ya kumuona. Ujinga mbaya unazidi pale aliyekwenda kumuona, akmjuwa huyu ni nani, anafanya nini, tunamuona yeye ni mjinga. Nadiriki kusema tulionao ni zaidi ya ujinga mbaya, ni uhayawani kabisa.

Anaebisha atwambie, yeye kishafanya biashara ipi inayohusu bandari? Na kishafanya na nani? na kaifanya wapi?

Kama hana qualification hata kidogo za kuyajuwa hayo, na haujafanya hata utafiti japo kidogo wa kupata uelewa wa hayo, basi huna haki ya kunyanyua mdomo. Mao Tse Tung alisema "haujanya tafiti hauna haki ya kuongea". Nyerere alisema mmoja katika maadui zetu ni ujinga. Na mimi nakubaliana nae kwenye hilo 100%, nisichokubaliana nae ni zile sifa nyingine za maadui zetu. Nna sababu yangu moja tu ya kuzikataa hizo. Nayo ni kuuta ujinga, naamini tukifuta ujinga zile sababu zake mbili zingine hazitakuwepo tena.

Ambae hajafanya biashara za kimataifa au hata za kitaifa zinazohusiana bandari na ambae hajafanya japo utafiti wa anachokipinga katika sakata la bandari, hana haki ya kupinga na hana haki hata ya kufunguwa mdomo wake, yeye akubali tu, awawachie waliokwishafanya biashara hizo na au waliokwishafanta tafiti kwenye hilo.


Mimi napinga wajinga wote wanaopinga kijinga kwenye sakata hili. Haya, leta ujinga wako tuupime hapa ni ujinga mzuri au ujinga mbaya.
Unaandika andika sana afu hakuna kitu
 
HAPANA!

Tunao wajibu wa kuelimishana na kukumbushana ndugu yangu.

Huenda (kama ni kweli) ndugu zetu hao wanalipwa kwa minajili hiyo. Lakini swali ni je vipi kuhusu vizazi vyao vijavyo?! Huoni wanajipalilia laana isiyo na ukomo?!

Naogopa!
Acha uhuni, Acha ku editi comments za watu
Paw
 
Tatizo kubwa sana ninalolishuhudia kwa Watanzania wengi ni ujinga mbaya, tuelewane kuwa ujinga siyo tusi, ujinga ni sifa ya kutokuelewa. Sifa inaweza kuwa nzuri au mbaya, sifa ya ujinga mbaya ni ile ya kutokuelewa kuwa huelewi, sifa nzuri ya ujinga ni ile ya kutokuelewa lakini unafahamu kuwa huelewi.

Ukishaelewa kuutofautisha ujinga katika sifa nzuri na mbaya basi itakuwa wepesi sana kutokana na ujinga mbaya mwingi na kubaki na ujinga mzuri mchache wa yale mapya usiyoelewa. Na namna ya kuufuta ujinga mbaya ni kujifunza kile usichokielewa, ukishakielewa ina maan hu mjinga tena kwenye hicho unabaki kuwa mjinga katika kile tu ambacho hujajifunza.

Mfano mzuri tena ni mfano hai, ni huu wa sakata la bandari. Wengi tunajifanya tunaelewa kumbe hatuelewi chochpote, tunakuwa washitaki sisi, watowa hukumu sisi, waadhibuji sisi, wachimba makaburi sisi ya tuliowahukumu sisi. Siyo vibaya yote hayo, si ndiyo tunafanya kazi zote hizo kwa bidii, hatungoji kufanyiwa, au sivyo? Ni sifa kubwa hiyo.

Lakini ni sifa ya ujinga mbaya, sana tena sana. Kwa sababu huyo tunaemhukumu hatumjuwi. Tunamhukumu bila hata ya kumuona. Ujinga mbaya unazidi pale aliyekwenda kumuona, akmjuwa huyu ni nani, anafanya nini, tunamuona yeye ni mjinga. Nadiriki kusema tulionao ni zaidi ya ujinga mbaya, ni uhayawani kabisa.

Anaebisha atwambie, yeye kishafanya biashara ipi inayohusu bandari? Na kishafanya na nani? na kaifanya wapi?

Kama hana qualification hata kidogo za kuyajuwa hayo, na haujafanya hata utafiti japo kidogo wa kupata uelewa wa hayo, basi huna haki ya kunyanyua mdomo. Mao Tse Tung alisema "haujanya tafiti hauna haki ya kuongea". Nyerere alisema mmoja katika maadui zetu ni ujinga. Na mimi nakubaliana nae kwenye hilo 100%, nisichokubaliana nae ni zile sifa nyingine za maadui zetu. Nna sababu yangu moja tu ya kuzikataa hizo. Nayo ni kuuta ujinga, naamini tukifuta ujinga zile sababu zake mbili zingine hazitakuwepo tena.

Ambae hajafanya biashara za kimataifa au hata za kitaifa zinazohusiana bandari na ambae hajafanya japo utafiti wa anachokipinga katika sakata la bandari, hana haki ya kupinga na hana haki hata ya kufunguwa mdomo wake, yeye akubali tu, awawachie waliokwishafanya biashara hizo na au waliokwishafanta tafiti kwenye hilo.


Mimi napinga wajinga wote wanaopinga kijinga kwenye sakata hili. Haya, leta ujinga wako tuupime hapa ni ujinga mzuri au ujinga mbaya.
Leo unamnukuu hadi Nyerere?

Naomba nikuulize swali la kufikiri lakini naomba usijibu ni la kukufanya ufanye reflection tu.

Faiza pamoja na heshima yako ya umri na elimu ya shule hivi kweli huoni fitna ktk hili jambo?
 
Leo unamnukuu hadi Nyerere?

Naomba nikuulize swali la kufikiri lakini naomba usijibu ni la kukufanya ufanye reflection tu.

Faiza pamoja na heshima yako ya umri na elimu ya shule hivi kweli huoni fitna ktk hili jambo?
Nyerere namnukuu na kumuandika sana, hata nyuzi zake nimefunguwa.


Naiona fitna kubwa sana. Lakini sistuki sana kwa hilo, kwa kuwa Uislam umeshaliandika kwenye Qur'an. Fitna kubwa sana ni mali. Na hii ni deal ya karne, ina mali nyingi sana ndani yake, kwa hiyo fitna siyo kubwa tu bali nyingi.

Licha ya hayo, pia Qur'an inatufundisha, kuwa kuna nyakati mnavipenda vitu lakini ndiyo shari yenu na kuna nyakati mnavichukia vitu lakini ndiyo kheri yenu.

Waislam tunaamini kuwa alitakalo Allah hakuna binaadam yeyote anaeweza klizuwia na pia asilolitaka, hakuna binaadam yeyote anaeweza kulifanya.


Kwa aya hizo, hakuna Muislam mwenye kuogopa kufanya chochote cha halali.
 
Watanzania wenzangu hatima ya ustawi wa Taifa letu upo mikononi mwetu. Ni wajibu wetu kama Watanzania tujizuie kwa namna yeyote ima kununuliwa ama kushawishiwa kwa namna yeyote ile ilmradi tuligawe Taifa na rasilimali zetu.

Safari za namna hiyo za watu maarufu na wasanii wetu kwenda huko Dubai kwa nyakati za SINTOFAHAMU kubwa ihusuyo bandari yetu na wao badala ya kueleweka hakika zinaongeza maswali mengi mno kwa wenzetu wenye mashaka na mradi wetu pendwa tarajiwa.

Nakemea kwa nguvu zote, njia za aina yeyote zifananazo na hiyo ya ushawishi kwa jamii yetu kuhusu hilo!

Vilevile, siamini hao wasanii na watu maarufu wanatumia pesa zao kutoka mfukoni kuhimili gharama za hoteli za aina hiyo ya hapo juu kwa zaidi ya siku nne!

JE, KAMA HAWA WASANII WANATUNZWA KIFALME HIVYO (kama ni kweli) ILIKUWAJE KWA WAWAKILISHI WETU WALE 30?!

NAANZA KUHOFIA PENGINE TUPO KWENYE HATARI TARAJIWA!

Chama changu CCM naomba kama kikombe hicho kinaweza kutuepuka kwa kuzingatia MASLAHI MAPANA kwa Taifa letu tulipendalo na tukiepuke!

Kidumu Chama cha Mapinduzi.
View attachment 2666858
Ni masuala ya marketing hayo, masuala ya kulinda mwonekano chanya
 
Nyerere namnukuu na kumuandika sana, hata nyuzi zake nimefunguwa.


Naiona fitna kubwa sana. Lakini sistuki sana kwa hiloi kwa kuwa Uislam umeshaliandika kwenye Qur'an. Fitna kubwa sana ni mali. Na hii ni deal ya karne, ina mali nyingi sana ndani yake, kwa hiyo fitna siyo kubwa tu bali nyingi.

Licha ya hayo, pia Qur'an inatufundisha, kuwa kuna nyakati mnavipenda vitu lakini ndiyo shari yenu na kuna nyakati mnavichukia vitu lakini ndiyo kheri yenu.

Waislam tunaamini kuwa alitakalo Allah hakuna binaadam yeyote anaeweza klizuwia na pia asilolitaka, hakuna binaadam yeyote anaeweza kulifanya.


Kwa aya hizo, hakuna Muislam mwenye kuogopa kufanya chochote cha halali.
Kumtetea mwarabu ngumu sana, naona sasa umehamia kwenye mafundisho ya Quran, kama vile hiyo Quran ndio imewafundisha kuhonga/hongwa ili mpate mnachotaka hapa duniani!.

Kwa hili la mwarabu, bibi utarukia kila tawi la kila mti, lakini mwisho wa siku, utaanguka tu.
 
Shida yao ni kutoelewa mipaka ya propaganda, tukio lipi linahitaji mbinu zipi na what is proportionate.

Wao wanafanya mpaka inakuwa kero ili mradi kuna fungu la kupiga basi huo ni mwanya kwa majizi

Unaanza kuona labda kuna maslahi ya mtu binafsi badala ya nchi.
Mkuu sasa hivi hakuna propaganda za kizalendo,zipo za kimaslahi ya wachache au kundi fulani,kila hatua tunayopiga tunapoteza umoja wetu unameguka ubinafsi umetamalaki.
 
Back
Top Bottom