Kama ni kweli hawa wasanii wanapelekwa Dubai kwa mission maalum Dubai Port, hakika inafikirisha!

Ningetegemea katika ziara yake Dubai angetembelea bandarini kujionea uwezo,ufanisi na kuhoji maswali na kudadisi zaidi badala yake akaishia kuendeshwa na vigari.

Your browser is not able to display this video.

waAfrika tuna ubinafsi sana, imagine wanashiriki kuwauza wenzao utumwani kwa vitrip vya Dubai.., hii nguvu kubwa hivi inayotumika mjue tunakuja kuumizwa vibaya sana, maana hizi pesa lazima zirudi
 
Nchi ngumu sana hii, siku watanzania tutakapoamua kuungana bila kujali uvyama, udini wetu ndiyo utakuwa mwisho wa ushenzi huo
Wakati wenzetu Kenya wanateswa na Ukabila na sisi tukiwacheka kwa hilo.
Tanganyika yetu inateswa na uVyama + udini na tupo blind hatuoni namna unavyoliangamiza taifa. Kila linapojitikeza jambo la kutetea nchi. Utaona Uccm upo mbele kuliko nchi, na itachomekwa dini ili mradi tu kuvuruga ajenda!
 
Yaani ukiangalia influencers na role models wa watanzania, unapata picha kwanini nchi inakuwa ya hovyo. Maana hao watu mmewatengeneza nyie, mmewapa umaarufu nyie, mnawapa trnding nyie na mtaji wao mkubwa ni fanbase yao ambayo ni nyie.
Hata akuna DP- World na makampuni mengine yana watumia sababu yanaona ndiyo watanzania wanaofuatiliwa kwa wingi kuliko watanzania wengine
 
Umaskini na ubinafsi ni jambo baya sana!
 
Mnduku mkubwaa
Watu wanahoji aina ya mkataba na baadhi ya vipengele vyenye hila kwenye mkataba.
Wewe unatuletea mavitu ya ajabu eti uislam, uislam, uislam
Uislam wa NYOKWE!
 
Mtamlaum bure Baba Levo, katoka Kigoma kaja mjini, fursa zimemfata atafanya nn? Shida ni moja tunatokea kwenye umasikini mkubwa sana na wengine hawakupata hata hizi exposure za kulala kwenye hotel nzuri, kuona ndege n.k ikiwekwa pesa unachanganyikiwa kabisa.

Ila kiuhalisia, inasikitisha na kufurahiaha sana 😂
 
Watu wa hovyo wanatumika kushawishi serious deal.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…