Kama ni kweli haya yanayosemwa Le Mutuz badilika haraka sana

sijakusoma na wala sina time ya kukusoma..haya kachukue posho kwa huyo mmeo

ashakuwa mme, mbona umewaza huko??

y??????

its not normal kwa mwanaume, kumwambia mwanaume mwenzako ana mme!!

you have corroborated my earlier speculations
 
Msonyooooo wewe umeifanyia nini jamii???zaidi ya kukaa behind your computer na kumwaga sumu???get a life u idiot
 
ashakuwa mme, mbona umewaza huko??

y??????

its not normal kwa mwanaume, kumwambia mwanaume mwenzako ana mme!!

you have corroborated my earlier speculations
kuishi kwa shemeji lazima uwe unastrees sana..get a life
 

Hii kali
 
Kwa mtu kama Le Mutuz anayefanya vitu vya kitoto bila kufikiri kwa Tanzania hii lazima awe juu Kwa sababu watu/Vijana wenye mshiko kidogo umualika kubwa jinga ili awapige picha na kuwaonyesha mtandaoni. Hata mademu wanamtumia Le Mutuz picha zao ili awatangaze nao wapate mabwana wa kuwatunza. Angekuwa Lundenga tungesema anawala ila yeye nahisi ni tende halwa!
 
le mutuz ni mtu poa sana,mimi huwa ananifurahisa anaposema anaishi karibu na ikulu,chezea le mutuz ana degree tatu,halafu anahang na kina Mwami Rajabu mabilionea wenzake.

Hahaaha
 

mh. makubwa haya.
 
Hahahaaaaa akija atakujibu lione hili li super gadem mburulazzz
Kumbe ndio kazi uliyokua unaifanya huko sasa ukadhani ni wote...

Hahahahahaha lazima aseme uknw watu wasio na shule hawanisumbui uknw hao ni super gardem mazafanta hahahaha madebe matupu uknw.....i like it
 
Hahahahaha unampatiaje huyu babu????? Yaani ni full burudani

Hahahaha you knw duniani kuna watu wana furahisha Lemutuz ni kiboko aiseee!

Hahahahahahaha! Uknw super gardem madebe tupu hawaniangaishi u knw ....mazafanta .....hahahaha i like it ....Mimi king of all bongo social media hahahahaha !!!!!!!!!!!!!!
 

Attachments

  • 1414830103277.jpg
    55 KB · Views: 607
Hahahahahaha lazima aseme uknw watu wasio na shule hawanisumbui uknw hao ni super gardem mazafanta hahahaha madebe matupu uknw.....i like it

Hahahaaaaa natamani aje kweli yaani...kwa nini ule uzi wa kinje ulifutwa?nilitoka kidogo kurudi sikuukuta tena
 
Hahahaaaaa natamani aje kweli yaani...kwa nini ule uzi wa kinje ulifutwa?nilitoka kidogo kurudi sikuukuta tena

Hahahaha nilijua lazima ufutwe maana kulikuwa na name calling nyingi na matusi hahahaha uknw mabebiz wakarez wanamzimikia king of all social media hahahahahaha!!!!!!! I like it
 

Attachments

  • 1414833303609.jpg
    44.6 KB · Views: 497
Hapo alipo ndio ana degree 3 kama anavyosema,je angekuwa hana hata moja angekuwaje?inawezekana ana degree za kupewa na yaasisi za wazazi!

Hahahaha ngoja zikifika page kumi atakuja kukujibu...hahahahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…