Kama ni kweli haya yanayosemwa Le Mutuz badilika haraka sana

Kama ni kweli haya yanayosemwa Le Mutuz badilika haraka sana

Hapa namuangalia mrembo wake wa ilala Jihan....ni mrembo kwelikweli alifaa kuwa miss tz walimuonea Le Mutuzz
Atakua anafanya marekebisho ya mwisho kwenye apartment yake mpya ya ukweli amechoka kukaa nyumbani,ila natumai ina nafasi ya kutosha asije geuza sebule gym na kiwanja cha samasoti...
 
Atakua anafanya marekebisho ya mwisho kwenye apartment yake mpya ya ukweli amechoka kukaa nyumbani,ila natumai ina nafasi ya kutosha asije geuza sebule gym na kiwanja cha samasoti...

Hahahaaa unapenda sana kumuonea Le Mutuz jamani....
 
Hahahaaa unapenda sana kumuonea Le Mutuz jamani....

Ha ha ha...hapana bwana,yeye anasema kadiri anavozungumziwa anatengeneza pesa,sasa mie nia yangu ni kuona jina lake linatajwa Forbes kuwa yeye ni billionea pia
 
Ha ha ha...hapana bwana,yeye anasema kadiri anavozungumziwa anatengeneza pesa,sasa mie nia yangu ni kuona jina lake linatajwa Forbes kuwa yeye ni billionea pia

Wewe subiri tuu,siku atakayotajwa ndio mtamkubali...mimi nampenda Le Mutuz hana shida na mtu kabisa...he is so funny..
 
Wewe subiri tuu,siku atakayotajwa ndio mtamkubali...mimi nampenda Le Mutuz hana shida na mtu kabisa...he is so funny..
isipokua ana shida na sitti mtemvu tuu. yaani ukishinda umiss bila ridhaa yake lazima akupe shida aiseeee hata kuacha kabisaaaa.
 
Mkuu acha kujipendekeza kwa sana, mtoto wa kiume wewe. :cool2:

Mkuu ni samehe sana kama na kukera!

Hivi kipimo cha uanaume kwako ni kutoandika unacho ona kinafaa?

Kuto andika kwa kuhofia wengine watasema sio mtoto wa kiume?

Kutosema kweli hata kama ni kweli?

Kutosema wazi kuwa Una wakubali au kufurahishwa na wanao kufurahisha?

Mimi mwanzo nilidhani kuwa uanaume wa mtu tunaweza kuupima hata kwenye uwezo wa kuvumilia wengine!

Mimi mwanzo nilifikiri uanaume tunaweza kuupima hata kwenye uwezo wa mtu hasa mwanaume kujiuliza mara mbili kabla ya kuandika!

Mimi nilifikiri uanaume wa mtu tunaweza kuupima hata kwenye uchaguzi wa maneno ya kuandika kwa wengine!

Samahani lakini!
 
Wewe subiri tuu,siku atakayotajwa ndio mtamkubali...mimi nampenda Le Mutuz hana shida na mtu kabisa...he is so funny..

Hahahahaha uknw huyu jamaa is so funny sana Mimi niki kumbuka vituko vyake huwa nacheka sana...uknw mabebiz wakarez wana nizimikia hahahahaha
 

Attachments

  • 1414866580390.jpg
    1414866580390.jpg
    58.2 KB · Views: 446
Akina mfano wa Kardashians mnaoshinda mnaangaliabpicha na vipindi vyao wamefanya nini kujulikana hivyo.

Mwacheni wenzenu na bahati na nyota yake.

Mie sioni inawahusu nini kumponda na nyie mmefanyia nini jamii.

Mnapenda ku mfollow na mambo yake then unaleta mada kuuliza hii imekaa ki wivu.com

Kama ana degree hana atajiju, wewe inakuhuuuu nini?

well said. ..This is the most honest
genuine comment on JF
Fanyeni na nyie muone kama
Mtaonekana
 
Lemutuz was a rich kid. ..grew up
As a kid from a well of family
Kwenda kupiga box states was a choice of him being a man and independent. .
Angependa kubaki bongo na kuuza sura kama kina kinje na kula hela za baba angefanya ila he chose not to..
Haya nyie mnaomponda mna maisha gani. .
 
Back
Top Bottom