Kama ni kweli haya yanayosemwa Le Mutuz badilika haraka sana

Kama ni kweli haya yanayosemwa Le Mutuz badilika haraka sana

Why are there sick people??! That's why we can never judge another persons actions! We just don't know know what they ve been through!!!
 
Si bure Le Mutuz atakuwa anaumwa mahututi yaani hapa kuna zaidi ya page 5 lakini bado hatokei
 
Mi nauliza huyu mtu anajiita Lemutuz, kwanza kabisa umri wake, elimu yake na kazi amayofanya. Mana vitu anavyofanya, ninavyokadiria umri wake, elimu anayodai anayo, exposure anayodai anayo haviendani kabisa na mambo anayoyafanya.

Nachoshangaa anajilinganisha na watu ambao haendani nao hata kwa kitu kimoja, anadai ana Degree 3, sasa degree ni inputs you have to ultilize it to produce outputs unless otherwise ni useless, labda mi simjui vizuri kuna mtu anaweza kunisaidia huyu mtu kafanya nini tangible na kina manufaa gani kwa jamii mpaka ajilinganishe na vijana ambao kweli tunajua wanachokifanya na hata wanatoa ajira kwa vijana wengine wengi tu au ndio ameajiri mpiga picha anampiga picha za kuweka kwenye social media?

Niliona eti anauliza maswali kisha anatoa zawadi za vigauni kwa watoto wa kike. Huwa naona anapiga picha na watu kama Joseph Kusaga, Erick Shigongo, Yusuph Bhakresa, Salum Lussasi, na wengineo eti ansema ndege wa rangi moja huruka pamoja. watu hawa wamefanya vitu ambavyo vimeonekana na jamii na wamesaidia kuongeza nafasi za ajira kwa vijana kisha huyu mtu anajiita Lemutuz anajilinganisha nao sijui anafanya nini mpaka anajiilinganisha na hawa watu au ni hivyo vigauni anavyotoa zawadi, Si bora Diamond anaimba kutuburudisha na kuitangaza nchi yetu.

Kwanza anafanya kazi gani mana hayuko busy muda wote hupiga picha na watu especially watoto wa kike na watu anaotudanganya ni rafiki zake (lakini nazani wengine huomba tu kupiga nao picha mana hawaendani hata kidogo) kwenye tafrija mbalimbali zingine nazani huwa hajaalikwa pia, mana mtu huwezi kuwa na marafiki wote hawa labda huna misimamo na ni mnafiki.

Ukiongea nae sana atakuambia oooh mi baba yangu alikua balozi, alikua waziri wa mambo nje, ooh nakaa see view ambako pia nazani ni kwa baba yake hivi kweli mtu wa umri wake anapaswa kuongea hayo, niliona siku moja kapiga picha na Wema Sepetu eti anasema baba zetu walikua mabalozi tumekula wote bata osterbay sasa sijui mtu wa umri wake bado ana haja ya kujisifia kupitia baba yake badala watoto wake kujisifia kupitia jina lake, mbona baba yake kwa umri wake tayari alikua kiongozi wa nchi hii, kwa kweli huyu mtu ananishangaza sana haya mambo ni ya watoto wa miaka 16.

Sasa hivi anasema nafatilia vyeti vya Sitti Mtemvu ili avuliwe taji mi nazani kwanza tufatilie hivyo vyeti anavyodai ana degree tatu.

NAOMBENI MNISAIDIE LABDA MI SIMJUI VIZURI HUYI MTU ILA ANANISHANGAZA SANA!

Hehehegehhee le mutuz aka umaarufu mavi
 
Huyu amekaa marekan over 30yrs anaosha wazee mavi nakufanya kwenye kazi yakuosha vyombo kwenye migahawa..amekimbia amerika nakuacha watoto na mama wakizungu kule boston ameshindwa walea akakimbilia bongo, ikumbukwe hakula vizur ujana kutokana kuosha wazee mavi 24/7 ndo mana kurud bongo anafanya upuuz ambao wenzake wakina Kinje waliufanya kitambo kutembea club zote akipiga picha na vitoto vya kike na mashat yake makubwa kama bendera ya chama.

Hahahaaaaa akija atakujibu lione hili li super gadem mburulazzz
Kumbe ndio kazi uliyokua unaifanya huko sasa ukadhani ni wote...
 
Mi nauliza huyu mtu anajiita Lemutuz, kwanza kabisa umri wake, elimu yake na kazi amayofanya. Mana vitu anavyofanya, ninavyokadiria umri wake, elimu anayodai anayo, exposure anayodai anayo haviendani kabisa na mambo anayoyafanya.

Nachoshangaa anajilinganisha na watu ambao haendani nao hata kwa kitu kimoja, anadai ana Degree 3, sasa degree ni inputs you have to ultilize it to produce outputs unless otherwise ni useless, labda mi simjui vizuri kuna mtu anaweza kunisaidia huyu mtu kafanya nini tangible na kina manufaa gani kwa jamii mpaka ajilinganishe na vijana ambao kweli tunajua wanachokifanya na hata wanatoa ajira kwa vijana wengine wengi tu au ndio ameajiri mpiga picha anampiga picha za kuweka kwenye social media?

Niliona eti anauliza maswali kisha anatoa zawadi za vigauni kwa watoto wa kike. Huwa naona anapiga picha na watu kama Joseph Kusaga, Erick Shigongo, Yusuph Bhakresa, Salum Lussasi, na wengineo eti ansema ndege wa rangi moja huruka pamoja. watu hawa wamefanya vitu ambavyo vimeonekana na jamii na wamesaidia kuongeza nafasi za ajira kwa vijana kisha huyu mtu anajiita Lemutuz anajilinganisha nao sijui anafanya nini mpaka anajiilinganisha na hawa watu au ni hivyo vigauni anavyotoa zawadi, Si bora Diamond anaimba kutuburudisha na kuitangaza nchi yetu.

Kwanza anafanya kazi gani mana hayuko busy muda wote hupiga picha na watu especially watoto wa kike na watu anaotudanganya ni rafiki zake (lakini nazani wengine huomba tu kupiga nao picha mana hawaendani hata kidogo) kwenye tafrija mbalimbali zingine nazani huwa hajaalikwa pia, mana mtu huwezi kuwa na marafiki wote hawa labda huna misimamo na ni mnafiki.

Ukiongea nae sana atakuambia oooh mi baba yangu alikua balozi, alikua waziri wa mambo nje, ooh nakaa see view ambako pia nazani ni kwa baba yake hivi kweli mtu wa umri wake anapaswa kuongea hayo, niliona siku moja kapiga picha na Wema Sepetu eti anasema baba zetu walikua mabalozi tumekula wote bata osterbay sasa sijui mtu wa umri wake bado ana haja ya kujisifia kupitia baba yake badala watoto wake kujisifia kupitia jina lake, mbona baba yake kwa umri wake tayari alikua kiongozi wa nchi hii, kwa kweli huyu mtu ananishangaza sana haya mambo ni ya watoto wa miaka 16.

Sasa hivi anasema nafatilia vyeti vya Sitti Mtemvu ili avuliwe taji mi nazani kwanza tufatilie hivyo vyeti anavyodai ana degree tatu.

NAOMBENI MNISAIDIE LABDA MI SIMJUI VIZURI HUYI MTU ILA ANANISHANGAZA SANA!
Ni Engineer wa Meli kama anavyodai mkuu!
 
Mi nauliza huyu mtu anajiita Lemutuz, kwanza kabisa umri wake, elimu yake na kazi amayofanya. Mana vitu anavyofanya, ninavyokadiria umri wake, elimu anayodai anayo, exposure anayodai anayo haviendani kabisa na mambo anayoyafanya.

Nachoshangaa anajilinganisha na watu ambao haendani nao hata kwa kitu kimoja, anadai ana Degree 3, sasa degree ni inputs you have to ultilize it to produce outputs unless otherwise ni useless, labda mi simjui vizuri kuna mtu anaweza kunisaidia huyu mtu kafanya nini tangible na kina manufaa gani kwa jamii mpaka ajilinganishe na vijana ambao kweli tunajua wanachokifanya na hata wanatoa ajira kwa vijana wengine wengi tu au ndio ameajiri mpiga picha anampiga picha za kuweka kwenye social media?

Niliona eti anauliza maswali kisha anatoa zawadi za vigauni kwa watoto wa kike. Huwa naona anapiga picha na watu kama Joseph Kusaga, Erick Shigongo, Yusuph Bhakresa, Salum Lussasi, na wengineo eti ansema ndege wa rangi moja huruka pamoja. watu hawa wamefanya vitu ambavyo vimeonekana na jamii na wamesaidia kuongeza nafasi za ajira kwa vijana kisha huyu mtu anajiita Lemutuz anajilinganisha nao sijui anafanya nini mpaka anajiilinganisha na hawa watu au ni hivyo vigauni anavyotoa zawadi, Si bora Diamond anaimba kutuburudisha na kuitangaza nchi yetu.

Kwanza anafanya kazi gani mana hayuko busy muda wote hupiga picha na watu especially watoto wa kike na watu anaotudanganya ni rafiki zake (lakini nazani wengine huomba tu kupiga nao picha mana hawaendani hata kidogo) kwenye tafrija mbalimbali zingine nazani huwa hajaalikwa pia, mana mtu huwezi kuwa na marafiki wote hawa labda huna misimamo na ni mnafiki.

Ukiongea nae sana atakuambia oooh mi baba yangu alikua balozi, alikua waziri wa mambo nje, ooh nakaa see view ambako pia nazani ni kwa baba yake hivi kweli mtu wa umri wake anapaswa kuongea hayo, niliona siku moja kapiga picha na Wema Sepetu eti anasema baba zetu walikua mabalozi tumekula wote bata osterbay sasa sijui mtu wa umri wake bado ana haja ya kujisifia kupitia baba yake badala watoto wake kujisifia kupitia jina lake, mbona baba yake kwa umri wake tayari alikua kiongozi wa nchi hii, kwa kweli huyu mtu ananishangaza sana haya mambo ni ya watoto wa miaka 16.

Sasa hivi anasema nafatilia vyeti vya Sitti Mtemvu ili avuliwe taji mi nazani kwanza tufatilie hivyo vyeti anavyodai ana degree tatu.

NAOMBENI MNISAIDIE LABDA MI SIMJUI VIZURI HUYI MTU ILA ANANISHANGAZA SANA!

Mind your business .Mbona ata na wewe mbea tu upo humu unataka kumjua le mutuz .Get a job
 
itabidi le mutuz atuwekee vyeti vyake hapa maana simuamini kabisa kama kweli ana degree 3
 
Degree za mafungu, kwa hisani ya watu wa marekani
 
Mwingine uchokozi sasa kama hayo ndo maisha yake. Wayawingiani?
 

Attachments

  • 1414773347284.jpg
    1414773347284.jpg
    40.5 KB · Views: 796
  • 1414773380827.jpg
    1414773380827.jpg
    42.5 KB · Views: 787
Last edited by a moderator:
Hapo alipo ndio ana degree 3 kama anavyosema,je angekuwa hana hata moja angekuwaje?inawezekana ana degree za kupewa na yaasisi za wazazi!
 
Le mutuzi ni usalama wa taifa.😀😀😀😀😀😀
 
Akina mfano wa Kardashians mnaoshinda mnaangaliabpicha na vipindi vyao wamefanya nini kujulikana hivyo.

Mwacheni wenzenu na bahati na nyota yake.

Mie sioni inawahusu nini kumponda na nyie mmefanyia nini jamii.

Mnapenda ku mfollow na mambo yake then unaleta mada kuuliza hii imekaa ki wivu.com

Kama ana degree hana atajiju, wewe inakuhuuuu nini?
 
Back
Top Bottom