Kama ni kweli hii ndiyo sababu siku nyingine wanatutaka tumalize haraka

Kama ni kweli hii ndiyo sababu siku nyingine wanatutaka tumalize haraka

Hii ni kwasababu kibiolojia, ngono kazi yake mahususi ni kuzaliana. Ndiyo maana hata kwa wanyama wakipata joto ndo wanapelekewa moto hivyo kupelekea wao kupata mimba.

Sasa kwetu binadamu baada ya kugundua utamu wa mbususu, tumelazimika kuiongezea matumizi na kuifanya tendo la starehe.

Mwanamke akiwa katika zile siku hatari au akikaribia siku hatari, anakuwa na ugwadu sana, kuna wengine wanaweza hata kumbaka mwanaume.

Hii ipo kibaolojia hivyo siyo taarifa ngeni. Ndiyo maana wanawake wanakuja na ile hoja ya ubakaji ndani ya ndoa.
Sikuizi hakuna huo ugwadu, ulikuwepo kabla ya majira na ndiomaana ubakaji umekuwa mwingi kwa wanandoa.Waulize ke waliowengi anakwambia nawezamaliza hata mwaka bila sex.
 
Okay basi ni hivii Mimi nikoo tofautii kdgooo...nikimpendaa mtuu na akianzaa kunichombezaa kwa manenoo mazurii mapemaa na manenoo ya kunibembelezaaa..na akifikaa karibu yanguu akanipaaa hug nzuriii ileee yenyeweee😅😅😅jamani hapoo Sina ujanjaa kabisaaaa mwili unakuwaa wa motoo kbsaaa nakuwaa hot yaaani..na ninalowaaa kbsaaaa...napendaaa kubembelezwaaa yaan hapoo utafurahiaaa mamboo anytimee..NB zingatiaaa nenooo nimekupendaaa sanaaaa😅😅😅..nimetoaaa Siri yanguuuuu
😋😋😋
 
Okay basi ni hivii Mimi nikoo tofautii kdgooo...nikimpendaa mtuu na akianzaa kunichombezaa kwa manenoo mazurii mapemaa na manenoo ya kunibembelezaaa..na akifikaa karibu yanguu akanipaaa hug nzuriii ileee yenyeweee😅😅😅jamani hapoo Sina ujanjaa kabisaaaa mwili unakuwaa wa motoo kbsaaa nakuwaa hot yaaani..na ninalowaaa kbsaaaa...napendaaa kubembelezwaaa yaan hapoo utafurahiaaa mamboo anytimee..NB zingatiaaa nenooo nimekupendaaa sanaaaa😅😅😅..nimetoaaa Siri yanguuuuu
Sory nakufananisha we ni internal ouditor?
 
Kweli mkuu wanakuwa na ugwadu sana

Mi kuna demu mmoja aliwahi kulipia hadi lodge nikamgegede

Nilikuwa ndo kwanza nimeanza mchakato wa kumtongoza na alikuja Dar kipindi cha likizo ya sensa kikazi yuko Dom. Kwa hiyo nilikuwa najua mbususu si rahisi kupewa ilikuwa bado mapema kumbee naye alikuwa anakaribia period alikuwa na nyege hatari

Alhamisi usiku akanitext kesho jioni Ijumaa ukitoka mishe zako naomba unitembelee alikuwa amefikia kwa wazazi wake. Meseji zake zilionyesha anataka kugegedwa, mzee Ijumaa ilipofika nikajikoki nikajiweka safi nikabeba zana

Midaa ya saa 2 usiku nikatinga mitaa ya kwao. Story mbili tatu na vinywaji kumbe kashabook lodge. Katikati ya mazungumzo akaniambia G twende huku kuna kitu nikuonyeshe kumbe lodge moja safi kbs vyumba full AC

Niligegeda mpaka saa 5 usiku aliniambia natamani tukeshe ila si unajua nimefikia kwa wazazi itakuwa si jambo la heshima nikirudi asubuhi au usiku sana.

Hawa viumbe uwakute na nyege zao ni watamu sana utaenjoy asee

Nikasema poa nikajipa moyo kesho yake Jmosi nitamgonga tena cha mwishomwisho cha kumuaga na alikuwa amesharidhia ombi langu ili Jpli asubuhi aanze safari.

Daaah! Jumamosi akaanza breed ikashindikana niliumia sana basi tukaishia tu kutoka outing Jpili asubuhi akarudi Dom
Wanawake hawa breed bali wana bleed sawa? Tutumieni tu Kiswahili chetu inatosha na tutaeleweka kuliko Kujishongondoa ( Kujimwambafai ) kutumia Kiingereza ambacho unaweza ukawa hukijui kama ambavyo GENTAMYCINE nae hakijui ( sikijui )
 
Wanawake hawa breed bali wana bleed sawa? Tutumieni tu Kiswahili chetu inatosha na tutaeleweka kuliko Kujishongondoa ( Kujimwambafai ) kutumia Kiingereza ambacho unaweza ukawa hukijui kama ambavyo GENTAMYCINE nae hakijui ( sikijui )
Tulia basi mwanetu GENTAMYCIME asubuhi umechafukwa hivi shemu alikunyima mbususu nini usiku? 🤣🤣🤣. Utani tu.

Thanks bro I stand to be corrected 🙏🙏🙏
 
Ovulation hiyo.

Mwanamke hayupo after sex
Sisi wanaume ndio tupo hivyo.

Na wanawake wengi hutoa sex Kwa lengo la kumridhisha mwanaume sio kwaajili yao
Lakini wana enjoy sana tu...mleta uzi anachanganya kata ya viumbe wa menstrual na estrous cycle wanyama wa menstrual ambaye ni binadamu ana enjoy sex muda wote.

Hao wa estrous cycle hupata hamu ya sex wakiwa katika joto...ndio mana huwezi kuta mbwa wanasex kila wakati only if jike likiwa kwenye kipindi cha joto.

#MaendeleoHayanaChama
 
Tulia basi mwanetu GENTAMYCIME asubuhi umechafukwa hivi shemu alikunyima mbususu nini usiku? 🤣🤣🤣. Utani tu.

Thanks bro I stand to be corrected 🙏🙏🙏
Siitwi GENTAMYCIME huyu Tapeli aliyeiiga hii Brand ID yangu ya GENTAMYCINE ili Kusafiria Nyota yangu Kali ya Kiumaarufu na Kiuwasilishaji hapa JamiiForums sawa?

Kila siku nalitolea hili Ufafanuzi na sijui ni kwanini huwa mnasahau au hamsikii tu.

Jamani siitwi GENTAMYCIME huyu Tapeli aliyejiunga hapa JamiiForums mwaka huu wa 2022, bali Mimi ni ( naitwa ) GENTAMYCINE niliyejiunga JamiiForums hapa mwaka 2013 Mwezi July sawa?
 
Siitwi GENTAMYCIME huyu Tapeli aliyeiiga hii Brand ID yangu ya GENTAMYCINE ili Kusafiria Nyota yangu Kali ya Kiumaarufu na Kiuwasilishaji hapa JamiiForums sawa?

Kila siku nalitolea hili Ufafanuzi na sijui ni kwanini huwa mnasahau au hamsikii tu.

Jamani siitwi GENTAMYCIME huyu Tapeli aliyejiunga hapa JamiiForums mwaka huu wa 2022, bali Mimi ni ( naitwa ) GENTAMYCINE niliyejiunga JamiiForums hapa mwaka 2013 Mwezi July sawa?
Mtajuana wenyewe msituchoshe, kumbe wenzetu mko hapa jf kutafuta umaarufu
 
Wataalam wa Saikolojia ya Mapenzi (mibanduano) wanasema kuwa ndani ya mwezi ni siku sita ambazo wanawake hutamani kupenziwa (kubanduliwa) na wanaume ila siku zingine zote huwa hawajisikii hamu. hivyo ni kama vile wanaume wengi huwa tunapiga punyeto tu ndani ya mbunye zilizo mbele yetu.

Sasa suala liko katika kuzijua hizi siku zao sita, kwani wanasema usipokuwa mtafiti na mbobezi wa mbunye na mibanduano huwezi kuzijua.

Kazi ipo!
Hizi tafiki nazo tuziangalie vizuri wengine mbona ndo wanataka wenyewe
Akili za mwenzio changanya na zako
 
Wataalam wa Saikolojia ya Mapenzi (mibanduano) wanasema kuwa ndani ya mwezi ni siku sita ambazo wanawake hutamani kupenziwa (kubanduliwa) na wanaume ila siku zingine zote huwa hawajisikii hamu. hivyo ni kama vile wanaume wengi huwa tunapiga punyeto tu ndani ya mbunye zilizo mbele yetu.

Sasa suala liko katika kuzijua hizi siku zao sita, kwani wanasema usipokuwa mtafiti na mbobezi wa mbunye na mibanduano huwezi kuzijua.

Kazi ipo!
Mkuu GENTAMYCINE GENTAMYCINE ni hivi: Sisi wanadamu kwa sababu ya utombi wetu ndio maana tunafanya mapenzi ovyoovyo. Tulipaswa kuwa kama wanyama wanaofanya mapenzi kwa lengo la kuzaa (reproduction) tu. Hata wanyama wanatuzidi akili.....wao hufanya mapenzi pale tu wanapotaka kuzaa na kuongezeka. Sisi wanadamu kama tungekuwa na akili nzuri kama wanyama tulitakiwa kufanya mapenzi kwa siku 6 tu kwa mwezi pale tunapoweza kumjaza mimba mke/mchepuko kwa lengo la kuijaza dunia kama tulivyoagizwa na Mungu (Tazama mchoro ufuatao). Badala yake sisi tumekuwa tukishinda vifuani mwa wake/michepuko yetu tukidhani tunawakomesha kumbe tunajiumiza wenyewe.
1667043509382.png
 
Back
Top Bottom