Kama ni kweli hii ndiyo sababu siku nyingine wanatutaka tumalize haraka

Sikuizi hakuna huo ugwadu, ulikuwepo kabla ya majira na ndiomaana ubakaji umekuwa mwingi kwa wanandoa.Waulize ke waliowengi anakwambia nawezamaliza hata mwaka bila sex.
 
πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹
 
Sory nakufananisha we ni internal ouditor?
 
Wanawake hawa breed bali wana bleed sawa? Tutumieni tu Kiswahili chetu inatosha na tutaeleweka kuliko Kujishongondoa ( Kujimwambafai ) kutumia Kiingereza ambacho unaweza ukawa hukijui kama ambavyo GENTAMYCINE nae hakijui ( sikijui )
 
Wanawake hawa breed bali wana bleed sawa? Tutumieni tu Kiswahili chetu inatosha na tutaeleweka kuliko Kujishongondoa ( Kujimwambafai ) kutumia Kiingereza ambacho unaweza ukawa hukijui kama ambavyo GENTAMYCINE nae hakijui ( sikijui )
Tulia basi mwanetu GENTAMYCIME asubuhi umechafukwa hivi shemu alikunyima mbususu nini usiku? 🀣🀣🀣. Utani tu.

Thanks bro I stand to be corrected πŸ™πŸ™πŸ™
 
Ovulation hiyo.

Mwanamke hayupo after sex
Sisi wanaume ndio tupo hivyo.

Na wanawake wengi hutoa sex Kwa lengo la kumridhisha mwanaume sio kwaajili yao
Lakini wana enjoy sana tu...mleta uzi anachanganya kata ya viumbe wa menstrual na estrous cycle wanyama wa menstrual ambaye ni binadamu ana enjoy sex muda wote.

Hao wa estrous cycle hupata hamu ya sex wakiwa katika joto...ndio mana huwezi kuta mbwa wanasex kila wakati only if jike likiwa kwenye kipindi cha joto.

#MaendeleoHayanaChama
 
Tulia basi mwanetu GENTAMYCIME asubuhi umechafukwa hivi shemu alikunyima mbususu nini usiku? 🀣🀣🀣. Utani tu.

Thanks bro I stand to be corrected πŸ™πŸ™πŸ™
Siitwi GENTAMYCIME huyu Tapeli aliyeiiga hii Brand ID yangu ya GENTAMYCINE ili Kusafiria Nyota yangu Kali ya Kiumaarufu na Kiuwasilishaji hapa JamiiForums sawa?

Kila siku nalitolea hili Ufafanuzi na sijui ni kwanini huwa mnasahau au hamsikii tu.

Jamani siitwi GENTAMYCIME huyu Tapeli aliyejiunga hapa JamiiForums mwaka huu wa 2022, bali Mimi ni ( naitwa ) GENTAMYCINE niliyejiunga JamiiForums hapa mwaka 2013 Mwezi July sawa?
 
Mtajuana wenyewe msituchoshe, kumbe wenzetu mko hapa jf kutafuta umaarufu
 
Hizi tafiki nazo tuziangalie vizuri wengine mbona ndo wanataka wenyewe
Akili za mwenzio changanya na zako
 
Mkuu GENTAMYCINE GENTAMYCINE ni hivi: Sisi wanadamu kwa sababu ya utombi wetu ndio maana tunafanya mapenzi ovyoovyo. Tulipaswa kuwa kama wanyama wanaofanya mapenzi kwa lengo la kuzaa (reproduction) tu. Hata wanyama wanatuzidi akili.....wao hufanya mapenzi pale tu wanapotaka kuzaa na kuongezeka. Sisi wanadamu kama tungekuwa na akili nzuri kama wanyama tulitakiwa kufanya mapenzi kwa siku 6 tu kwa mwezi pale tunapoweza kumjaza mimba mke/mchepuko kwa lengo la kuijaza dunia kama tulivyoagizwa na Mungu (Tazama mchoro ufuatao). Badala yake sisi tumekuwa tukishinda vifuani mwa wake/michepuko yetu tukidhani tunawakomesha kumbe tunajiumiza wenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…