Kama ni kweli Ma - DED zaidi ya 100 watapandishwa kizimbani na TAKUKURU kwa Ufisadi basi mfumo wa MagufulI kuteua Makada wa CCM Umefeli

Kama ni kweli Ma - DED zaidi ya 100 watapandishwa kizimbani na TAKUKURU kwa Ufisadi basi mfumo wa MagufulI kuteua Makada wa CCM Umefeli

Nadhan ulikuwa mtt
Acha uwongo,Makada wa CCM wanateuliwa tangu enzi za JK,Tena kwa JK ndiyo ilikuwa balaa,Kuna watu TAMISEMI walikuwa wanapiga Hela za rushwa za watu wanaotaka Ukurugenzi wa Wilaya,ukihitaji U-DED unanunua kwa pesa yako.Jiwe ndiyo alikuja kuwaondoa hao Wahuni.
 
Tujikite kuangalia wapi tunapoelekea na sio wapi tulipotokea.

Magufuli alikuwa binadam kama wewe na mimi. Alipochagua hao makada kuongoza hizo sehemu, hakutegemea kama hayo madudu yangetokea. Waswahili wanasema "moyo wa mtu msitu" na pia "siri ya mtungi ijuae kata".

Ila sasa utawala wa Magufuli umeshapita, sasa tupo katika utawala mungine. Tuangalie njia bora ya kuepuka upigwaji mungine, badala ya kupoteza muda kumjadili mtu ambae alishafariki. Haina maana yoyote mkuu.
JPM alikuwa rais wa nchi na katika muda mfupi wa urais wake amefanya mengi sana,ni ngumu sana kutozungumzwa na pengine itachukua miaka zaidi ya 30 kabla ya kuacha kumzungumza.
 
Bila kujali Itikadi na kuwa mkweli mfumo wa kuteua Makada wa CCM kuwa Wakurugenzi wa Halmashauri DED ulianzishwa na Shujaa MagufulI.

Hata Shirika nyeti la TTCL alipelekwa kada wa CCM aliyefeli kura za Maoni za ubunge.

Nimemsikia Ripoti ya CAG na ile ya Takukuru zikitaja Wizi wa Mabilioni kwenye Halmashauri na kwamba Wakurugenzi zaidi ya 100 wamefunguliwa majalada.

Rais Samia akasema pia Madiwani Ndio Chanzo cha hasara ya tsh 88 bilioni ambazo zingetosha kujenga Zahanati kibao.

Ikumbukwe kuwa Madiwani wote ni wa CCM na Wakurugenzi ni Makada wa CCM na Wakuu wa Wilaya ni Makada wa CCM na mkuu wa mkoa kadhalika.

Katika eneo la Teuzi Shujaa alifeli pakubwa kuwapa uDED Makada wa CCM.

Jumaa kareem!
Uko sahihi kbs, lkn Cha kusikitisha zaidi hata hao TISS waliojazwa kila sekta hawana msaada wwte kwa Taifa, nao wamekuwa wapigaji kuliko hata vibaka... kiukweli kbs hii idara imefeli kuliko, na kinachoifelisha ni undugunaizeshen , wanapointiwa watu ambao hawana uwezo kbs wa kujua mbivu na mbichi .. hv tunaweza kusema au kujivunia kuwa tuna idara ya usalama wa Taifa kweli??? Mhe Rais acha kuteua hao makada wenzio, tafuta watu wenye uwezo hata nje ya chama chako

Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
 
Lazima tujisahishe kwa kuangalia tulipoanguka. Ilikuwa kosa kuteua makada wa CCM kuwa wakurugenzi. Naona Hilo kosa kalirudia Rais Samiah. Tuteue professional s tu kwenye ukurugenzi na sio wanasiasa ambao wanaenda kulinda maslahi ya chama.
Nivigumu ila itawezekana kwasababu makada chimbuko lao ni vyuoni, Raisi ili aweze ni kubomoa mifumo yao kuanzia vyuoni kwakuwa ndiyo wanapopatia nguvu na kuhamini ukijiunga na UVCCM chuoni unakuwa na uwakika wa kupata ajira.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Bila kujali Itikadi na kuwa mkweli mfumo wa kuteua Makada wa CCM kuwa Wakurugenzi wa Halmashauri DED ulianzishwa na Shujaa MagufulI.

Hata Shirika nyeti la TTCL alipelekwa kada wa CCM aliyefeli kura za Maoni za ubunge.

Nimemsikia Ripoti ya CAG na ile ya Takukuru zikitaja Wizi wa Mabilioni kwenye Halmashauri na kwamba Wakurugenzi zaidi ya 100 wamefunguliwa majalada.

Rais Samia akasema pia Madiwani Ndio Chanzo cha hasara ya tsh 88 bilioni ambazo zingetosha kujenga Zahanati kibao.

Ikumbukwe kuwa Madiwani wote ni wa CCM na Wakurugenzi ni Makada wa CCM na Wakuu wa Wilaya ni Makada wa CCM na mkuu wa mkoa kadhalika.

Katika eneo la Teuzi Shujaa alifeli pakubwa kuwapa uDED Makada wa CCM.

Jumaa kareem!
Siku zote waliokuwa wanateuliwa makada kuwa Ma DED; kusema kwa uhakika kabisa kuna wakati katika serikali kila mtu alikuwa mwana CCM; kama hujui hili basi wewe umemaliza la 12 mwaka jana ulichonacho ni kujua kutumia mitandao tu
 
Siku zote waliokuwa wanateuliwa makada kuwa Ma DED; kusema kwa uhakika kabisa kuna wakati katika serikali kila mtu alikuwa mwana CCM; kama hujui hili basi wewe umemaliza la 12 mwaka jana ulichonacho ni kujua kutumia mitandao tu
Walikuwa wanatolewa Lumumba direct Kuwa maded?

Akili za Sukuma gang bhana!
 
Hili ni jambo baya sana.

Mtu anaiba na inafahamika kuwa kaiba lakini bado anaachwa kwenye public office.
 
Walikuwa wanatolewa Lumumba direct Kuwa maded?

Akili za Sukuma gang bhana!
Sawa kwa hiyo hoja isiwe ukada ila iwe ni kutolewa Lumumba- unataka uhuru wa kutoa mawazo ila hujui kujieleza na hiyo ni hatari sana
 
Bila kujali Itikadi na kuwa mkweli mfumo wa kuteua Makada wa CCM kuwa Wakurugenzi wa Halmashauri DED ulianzishwa na Shujaa MagufulI.

Hata Shirika nyeti la TTCL alipelekwa kada wa CCM aliyefeli kura za Maoni za ubunge.

Nimemsikia Ripoti ya CAG na ile ya Takukuru zikitaja Wizi wa Mabilioni kwenye Halmashauri na kwamba Wakurugenzi zaidi ya 100 wamefunguliwa majalada.

Rais Samia akasema pia Madiwani Ndio Chanzo cha hasara ya tsh 88 bilioni ambazo zingetosha kujenga Zahanati kibao.

Ikumbukwe kuwa Madiwani wote ni wa CCM na Wakurugenzi ni Makada wa CCM na Wakuu wa Wilaya ni Makada wa CCM na mkuu wa mkoa kadhalika.

Katika eneo la Teuzi Shujaa alifeli pakubwa kuwapa uDED Makada wa CCM.

Jumaa kareem!
Kumbe Ma DED wa sasa hivi waliteuliwa na Magufuli!!????
 
Sawa kwa hiyo hoja isiwe ukada ila iwe ni kutolewa Lumumba- unataka uhuru wa kutoa mawazo ila hujui kujieleza na hiyo ni hatari sana
Ni mjinga tu asiyejua Wateule huwa ni wanaccm

Ila ni Ujinga zaidi kumchukua uvccm pale Lumumba na kumpa uDED badala ya uDC

Nyie ndio mnadhalilisha Sukuma Gang!
 
Ni mjinga tu asiyejua Wateule huwa ni wanaccm

Ila ni Ujinga zaidi kumchukua uvccm pale Lumumba na kumpa uDED badala ya uDC

Nyie ndio mnadhalilisha Sukuma Gang!
Tulipopata uhuru walichukuliwa watu kwenye africanization wakapewa nafasi na nchi ikaenda- leo hii kinachowasumbua ni wivu, roho mbaya, na akili mbovu
 
Tulipopata uhuru walichukuliwa watu kwenye africanization wakapewa nafasi na nchi ikaenda- leo hii kinachowasumbua ni wivu, roho mbaya, na akili mbovu
Nchi ilienda wapi wakati mzee Mwinyi alikufa Hazina iko tupu na Wananchi wanavaa Kaniki na Katambuga!

Halafu Shujaa Maguful akataka kuturudisha kulekule!
 
Nchi ilienda wapi wakati mzee Mwinyi alikufa Hazina iko tupu na Wananchi wanavaa Kaniki na Katambuga!

Halafu Shujaa Maguful akataka kuturudisha kulekule!
Huwezi elewa, hukuwepo, na hujifunzi
 
Back
Top Bottom