GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
GENTAMYCINE sijawahi Kukosea nikimpenda na Kumkubali Mtu kwani nina Jicho la Uhakika na la Kuona mbali pamoja na Ubora wa Mtu / Kitu.
Simba SC koseeni kote ila msithubutu Kumuacha (Kumtema) Mchezaji Raia wa Senegal Ousmane Papi Sakho kwani mtakuja Kujuta na Kunikumbuka hadi Kumkubuka na Yeye pia.
Sakho ni Mshambuliaji na Winga aliyekamilika karibia 90% ya Mtu ambaye Simba SC inamuhitaji ila tu Majeruhi na 'Miba' anayopigwa na Wachezaji Wawili Wazawa ndiyo vinamtesa na Kumkwamisha kutupa kile ambacho Wadau na 'Scouts' tulikiona Kwake.
Chonde Chonde Uongozi wangu wa Simba SC msimteme (msimuache) huyu Sakho bali mpeni mwaka Mmoja zaidi wa kuwa nae na naamini mtakuja kunipigia 'Salute' GENTAMYCINE hapa JamiiForums.
Huyu Sakho ni zaidi ya Jose Luis Miquissone ndiyo maana hata wakati anakuja Simba SC 'African Football Pundits' wengi waliipongeza Simba SC kwa Kumsajili kwani tayari alikuwa njiani kuelekea nchini Ufaransa kusajiliwa na moja ya Vilabu Shindani katika Ligi Daraja la Pili huko.
Ninasisitiza Ousmane Sakho asiachwe!!!
Simba SC koseeni kote ila msithubutu Kumuacha (Kumtema) Mchezaji Raia wa Senegal Ousmane Papi Sakho kwani mtakuja Kujuta na Kunikumbuka hadi Kumkubuka na Yeye pia.
Sakho ni Mshambuliaji na Winga aliyekamilika karibia 90% ya Mtu ambaye Simba SC inamuhitaji ila tu Majeruhi na 'Miba' anayopigwa na Wachezaji Wawili Wazawa ndiyo vinamtesa na Kumkwamisha kutupa kile ambacho Wadau na 'Scouts' tulikiona Kwake.
Chonde Chonde Uongozi wangu wa Simba SC msimteme (msimuache) huyu Sakho bali mpeni mwaka Mmoja zaidi wa kuwa nae na naamini mtakuja kunipigia 'Salute' GENTAMYCINE hapa JamiiForums.
Huyu Sakho ni zaidi ya Jose Luis Miquissone ndiyo maana hata wakati anakuja Simba SC 'African Football Pundits' wengi waliipongeza Simba SC kwa Kumsajili kwani tayari alikuwa njiani kuelekea nchini Ufaransa kusajiliwa na moja ya Vilabu Shindani katika Ligi Daraja la Pili huko.
Ninasisitiza Ousmane Sakho asiachwe!!!