Kama ni kweli ninapinga kwa Papi Ousmane Sakho 'Kutemwa' Simba SC

Umesahau nguvu ni muhimu sana
 
Nikimwangalia Pape ousmane sakho aina yake ya uchezaji na spirit ya upambanaji anapokua uwanjani, inanijia taswira ya Jose Luis miquissone. Simba wasifanye makosa ya kumuacha huyu mwamba anahitaji muda kidogo tu kuprove uwezo wake.
Hakuna kitu apo
 
Wanakujua sababu unawapaga tako
 
Ingekua football is always about speed and sharpness busquet asingecheza mpira
 
Aiseee apo kwenye viongozi panakera sanaaa yaani unakuta kiongozi mkubwa kama Mangungu anaongea maneno ya khanga mbele ya waandishi wa habari kitendo icho kinakera sanaaaa, kiongozi anapaswa kuongea vitu vya msingi kuhusu timu sio makelele kelele tu utadhani shabiki.
 
Kumbuka nae pia ni Binadamu na kuna muda TFF wanafanya Mambo ya Kipumbavu ( Kipopoma ) kiasi kwamba hata huwezi Kuwavumilia.

Tena afadhali Yeye Mwenyekiti Mangungu huwa akikasirika anaishia tu kutoa hayo maneno ya katika Khanga ila ningekuwa ni Mimi GENTAMYCINE kwa Hasira zangu Kali na Mbaya za Kizanaki na Kimakuwa ( bila kusahau na zile za Kitutsi ) ningekuwa nawapiga mno Ngumi na Kuwawamba sana Vibao.

Wanakera!!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aiseeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…