Kama ni lazima sana CCM iendelee kuongoza serikali na nchi hii by 2025, basi wazingatie ushauri huu kuhusu mgombea wao....

Kama ni lazima sana CCM iendelee kuongoza serikali na nchi hii by 2025, basi wazingatie ushauri huu kuhusu mgombea wao....

Kwani uislamu na Allah unasemaje kuhusu mwanamke kuwa na mamlaka ya kiutawala juu ya wanaume?

Sent using Jamii Forums mobile app
Uislam unasema mwanamme ampe nguvu (empower) mwanamke. (Arrijalu Kawammuna ala Nnissai".

Pia unasema Mwanamke ni stara kwa mwanamme na mwanamme ni stara kwa mwanamke.

Uislam ni mwema sana.

Kwanini haujisomei Qur'an utayapata mengi sana mema, hakuna aliyeisoma Qur'an ikaacha kumshangaza na mkumuongezea upana wa fikra, jisomee tafsiri ya Kiswahili hapa:

 
Matokeo ya uchaguzi wa Congo yamenifanya nijue kumbe hapa kwetu tume ya uchaguzi sio tatizo, tatizo lipo kwetu wenyewe kuilea ile tume mbovu huku tukilalamika kila siku tunaibiwa kura, siku tukiamua kuwa serious hatutaki ujinga wao tena, naamini tume hiyo hiyo ya Samia itamtangaza mshindi mgombea wa upinzani.

Haya mambo ya mabadiliko ya sheria ya tume na mengine ni kupotezeana muda tu, tunauzunguka ukweli kujidai hatuuoni, kumuachia aliyetengeneza tatizo alimalize ni ujinga wetu mkubwa sana, wakati mwingine waharibifu hutakiwa kupewa msaada wa kurekebisha pale walipokosea.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Hapa kwetu shida ipo kwenye mfumo wa kuhesabu kura.,

--Anayelinda kura ndy huyo huyo anayehesabu kura,
--Na ndy huyo huyo anayetoa matokeo ya Kura.
--Na.ndy huyo huyo aliyeteuliwa na mamlaka ya kusimamia zoezi zima la uchaguzi na mgombea uraisi aliyepo mdarakani .


Unadhani kuna uchaguzi au kiini macho...

Tume wa uchaguzi wanapaswa wawe watu huru ambao hawahusiki na chama chochote na wala hawateuliwi na watawala waliopo madarakani.
 
Magreth Thatcher(Iron lady), alikuwa mwanaume? Angel Merkel je, na yule wa Liberia? Km kwenu wanawake ni wapumbavu na malaya siyo hali halisi huku duniani, kinachoongoza siyo mapumbu we lofa. Kwanza ujue mwanamke ana akili 2 na mwanaume moja. Just rubbish post ever!
I think wewe ndo rubbish, hujielewi. Huyu wa kwetu ame prove kuwa hawako tayari. Unahitaji nini zaid.

Tumia japo akili kidogo kuwaza
 
Naona CCM mmeanza kupigana mapanga wenyewe
Bahati mbaya mimi sio CCM na sijawahi kuwa...

Mimi ni shabiki na mpenzi wa CHADEMA na nataka Tundu Lissu ndiye awe Rais wa nchi hii leo..

Hata hivyo, nimetoa angalizo hili kwa kuwa uhuni wa CCM wa 2020 unaweza kufanyika tena comes 2025 General Election..

Na hivyo, ikitokea tena waamue kufanya uhuni na wakafanikiwa, then wasituletee mwanamke tena ktk position hiyo..
 
1. Mimi natambua kuwa, kama hakutakuwa na mabadiliko ya kikatiba na kisheria comes 2025 General Election, uwezekano wa CCM kutumia uhuni kushinda uchaguzi tena ili kuendelea kuongoza serikali na nchi hii ni mkubwa..

Hata hivyo nina ushauri huu. Kwamba, msituletee mwanamke tena kwenye nafasi hii nyeti. Ni afadhali tuwe na Rais mwanaume incompetent lakini kuliko kuwa na mwanamke.

Ni kwa sababu incompetence ya mwanaume is far better than ya mwanamke.

2. Mimi msimamo wangu siku zote ni kutoamini ktk kumpa madaraka mwanamke yeyote kushika wadhifa wa kiongozi mkuu wa nchi - Rais. Ni makosa na haitakiwi kabisa and I have genuine reasons to support my refutation.

3. Sijali watakaonipinga (hususani wanawake wenyewe) watasema nini. Lakini mwanamke ndiye aliyedanganywa na nyoka akauuza ulimwengu wote kwa shetani - Ibilisi hata kusababisha shida na mahangaiko yote ambazo ulimwengu huu una - suffer leo.

Kama ukweli ni huu,mwanamke mwenye mamlaka ya kiongozi mkuu wa nchi ni wa kazi gani? Na tunadhani atashindwa vipi kudanganywa tena na tena hata kuiuza nchi?

4. Kwangu mimi kama ni lazima tupate Rais toka CCM mwaka 2025, basi ni msifanye kosa mara ya pili kutuletea mwanamke tena. Shida na taabu alizoleta huyu Samia Suluhu Hassan kwa kipindi kifupi alichokalia kiti hicho zinatosha!

Yaani ni afadhali hata afufuke John P. Magufuli aendelee kuwa Rais kuliko kuendelea kuwa na mama huyu.

Na tena ni afadhali hata yule mwehu, muhuni, fisadi na muuaji Paul Makonda a.k.a Albert Bashite akawa mgombea wenu na kisha awe Rais wa nchi hii kuliko kuendelea kuwa na huyu mwanamke!!

Tusubiri labda after 50yrs ahead baada ya mifumo kukaa vyema ndipo tunaweza kufikiri kumjaribu mwanamke katika position hiyo. But for now, it's BIG NO!

Asante usiku mwema
U.S.A wenyewe wanajiita wanademokrasia lakini walimchinjia Baharini Hilary Clinton,wakaona bora waingize chizi Trump Ikulu kuliko kuongozwa na Mwanamke.
Naunga hoja mkono;Samia is incompetent for presidency!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Mwafrika, halafu hajastaarabika, aongozwe na mwanamke tena Muislam?

Mwenyezi Mungu mkubwa.
Wapo Wanawake smart mfano wa akina Angel Merkel,Christine Largade,Okonjo nk,walikuwa na misimamo kwenye uongozi.
Samia is incompetent ila kinachombeba ni kuwa anaongoza taifa la Wanafiki wasiojielewa ndiyo maana anadumu!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Wapo Wanawake smart mfano wa akina Angel Merkel,Christine Largade,Okonjo nk,walikuwa na misimamo kwenye uongozi.
Samia is incompetent ila kinachombeba ni kuwa anaongoza taifa la Wanafiki wasiojielewa ndiyo maana anadumu!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Kiongozi bora kuwahi kutokea Tanzania hii baada ya Kikwete ni mama Samia. Anafanya maajabu, sema una macho lakini hayaoni, una masikio lakini hayasikii.
 
Magreth Thatcher(Iron lady), alikuwa mwanaume? Angel Merkel je, na yule wa Liberia? Km kwenu wanawake ni wapumbavu na malaya siyo hali halisi huku duniani, kinachoongoza siyo mapumbu we lofa. Kwanza ujue mwanamke ana akili 2 na mwanaume moja. Just rubbish post ever!
Sasa hiyo miamba unailinganisha na huyu incompetent Mama Samia.Una akili sawasawa kweli!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Kutakuwa na mabadiliko ya katiba, sheria na Tume ya uchaguzi kabla ya uchaguzi mkuu wa 2025, hivyo uchaguzi mkuu wa 2025 utakuwa ni uchaguzi huru na wa haki, na utaendeshwa na kusimamiwa na Tume huru na Shirikishi ya Uchaguzi.



Tutakushukuru sana kama utatuwekea ushahidi wowote usiotia shaka au uthibitisho kuwa CCM hutumia uhuni kushinda uchaguzi ili kuendelea kuongoza serikali na nchi hii.

Kuna tatizo gani mwanamke akiwa Rais wa nchi?. Tafadhalini sana msitake kutuletea mambo yenu ya mfumo dume.

Ukituorodheshea incompetence ya rais mwanamke aliyepo, ili na sisi tuione hiyo incompetence yake, tutakushukuru sana.

Can you please substantiate how incompetence ya mwanaume is better than incompetence ya mwanamke?.

Ukitupa hizo genuine reasons zako kuwa mwanamke kushika wadhifa wa urais ni makosa.

Duh...!.

Duh...!

Sii lazima tupate rais kutoka CCM, ila kwa Tanzania, ni CCM only and only CCM, ndicho chama pekee chenye uwezo wa kutupatia rais bora.

Duh...!.

Ukiweza kutuorodheshea hizo shida na taabu alizoleta huyu mama, tutakushukuru sana.

Duh...!

Kumbe bandiko hili Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze... I was right

Duh...!.
P
Kaka Pascal kuna Uzi wako humu,ulisema 2025 twende na Mwanaume na siyo lazima Mwanamke,ulimaanisha nini na leo unataka kuoneshwa how incompetent Samia is!!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Sasa kama unasikia ya uzushi na uongo, mimi nikusaidie nini?

Nakushauri jisomee Qur'an, ipo kwa walimwengu wote, wenzako wengi wameanza kujisomea na wanaiona nuru ya Uislam.

Usiendeshwe na chuki bila ya sababu, Uislam umekukosea nini?
Kuruani yenyewe inakataza Mwanamke kuwa Kiongozi!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Kiongozi bora kuwahi kutokea Tanzania hii baada ya Kikwete ni mama Samia. Anafanya maajabu, sema una macho lakini hayaoni, una masikio lakini hayasikii.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Bahati mbaya mimi sio CCM na sijawahi kuwa...

Mimi ni shabiki na mpenzi wa CHADEMA na nataka Tundu Lissu ndiye awe Rais wa nchi hii leo..

Hata hivyo, nimetoa angalizo hili kwa kuwa uhuni wa CCM wa 2020 unaweza kufanyika tena comes 2025 General Election..

Na hivyo, ikitokea tena waamue kufanya uhuni na wakafanikiwa, then wasituletee mwanamke tena ktk position hiyo..
Lissu awe rais?

All the best
 
Kaka Pascal kuna Uzi wako humu,ulisema 2025 twende na Mwanaume na siyo lazima Mwanamke,ulimaanisha nini na leo unataka kuoneshwa how incompetent Samia is!!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Yes ni kweli nilipandisha bandiko lenye sauti HII humu ambalo nilisema nimeisikia tuu sauti wala siijui ni sauti ya nani ikiniambia 2025 twende na mwanaume bila kuelezwa sababu kuwa ni incompetence.
p
 
1. Mimi natambua kuwa, kama hakutakuwa na mabadiliko ya kikatiba na kisheria comes 2025 General Election, uwezekano wa CCM kutumia uhuni kushinda uchaguzi tena ili kuendelea kuongoza serikali na nchi hii ni mkubwa..

Hata hivyo nina ushauri huu. Kwamba, msituletee mwanamke tena kwenye nafasi hii nyeti. Ni afadhali tuwe na Rais mwanaume incompetent lakini kuliko kuwa na mwanamke.

Ni kwa sababu incompetence ya mwanaume is far better than ya mwanamke.

2. Mimi msimamo wangu siku zote ni kutoamini ktk kumpa madaraka mwanamke yeyote kushika wadhifa wa kiongozi mkuu wa nchi - Rais. Ni makosa na haitakiwi kabisa and I have genuine reasons to support my refutation.

3. Sijali watakaonipinga (hususani wanawake wenyewe) watasema nini. Lakini mwanamke ndiye aliyedanganywa na nyoka akauuza ulimwengu wote kwa shetani - Ibilisi hata kusababisha shida na mahangaiko yote ambazo ulimwengu huu una - suffer leo.

Kama ukweli ni huu,mwanamke mwenye mamlaka ya kiongozi mkuu wa nchi ni wa kazi gani? Na tunadhani atashindwa vipi kudanganywa tena na tena hata kuiuza nchi?

4. Kwangu mimi kama ni lazima tupate Rais toka CCM mwaka 2025, basi ni msifanye kosa mara ya pili kutuletea mwanamke tena. Shida na taabu alizoleta huyu Samia Suluhu Hassan kwa kipindi kifupi alichokalia kiti hicho zinatosha!

Yaani ni afadhali hata afufuke John P. Magufuli aendelee kuwa Rais kuliko kuendelea kuwa na mama huyu.

Na tena ni afadhali hata yule mwehu, muhuni, fisadi na muuaji Paul Makonda a.k.a Albert Bashite akawa mgombea wenu na kisha awe Rais wa nchi hii kuliko kuendelea kuwa na huyu mwanamke!!

Tusubiri labda after 50yrs ahead baada ya mifumo kukaa vyema ndipo tunaweza kufikiri kumjaribu mwanamke katika position hiyo. But for now, it's BIG NO!

Asante usiku mwema
Mmmh🤔🤔🤔 aisee!

For sure, hizi nchi za dunia ya tatu zinahitaji kiongozi mwenye sura ngumu, macho makali na asiyeweza kucheka na kima.

Tanzania kuongozwa na mwanamke bado sana. Huyu mama kuwa pale was a grave mistake at first place. Kosa hili ni kweli kabisa halitakiwi kurudiwa tena inagalau kwa miaka 100 ijayo.

CCM, CHADEMA na wengine chukueni ushauri huu.

Kuna haja ya kumpata Rais John Pombe Magufuli mwingine mpya aliyeboreshwa kidogo.

Li - Magufuli la 2015 - 2021 kiasi chake liliiweza nchi hii. Laiti angekuwa msikivu na akajaribu kurekebisha mwenendo wake na kuwasikiliza kina Tundu Lissu aliokuwa hawapendi, angekuwa hai mpaka leo!

Bahati mbaya kuwa, alijiingiza mwenyewe kwenye midomo ya Simba na akaliwa kichwa
 
Tatizo ni umeme .tuchangishane nchi nzima tuondoe tatizo.
 
1. Mimi natambua kuwa, kama hakutakuwa na mabadiliko ya kikatiba na kisheria comes 2025 General Election, uwezekano wa CCM kutumia uhuni kushinda uchaguzi tena ili kuendelea kuongoza serikali na nchi hii ni mkubwa..

Hata hivyo nina ushauri huu. Kwamba, msituletee mwanamke tena kwenye nafasi hii nyeti. Ni afadhali tuwe na Rais mwanaume incompetent lakini kuliko kuwa na mwanamke.

Ni kwa sababu incompetence ya mwanaume is far better than ya mwanamke.

2. Mimi msimamo wangu siku zote ni kutoamini ktk kumpa madaraka mwanamke yeyote kushika wadhifa wa kiongozi mkuu wa nchi - Rais. Ni makosa na haitakiwi kabisa and I have genuine reasons to support my refutation.

3. Sijali watakaonipinga (hususani wanawake wenyewe) watasema nini. Lakini mwanamke ndiye aliyedanganywa na nyoka akauuza ulimwengu wote kwa shetani - Ibilisi hata kusababisha shida na mahangaiko yote ambazo ulimwengu huu una - suffer leo.

Kama ukweli ni huu,mwanamke mwenye mamlaka ya kiongozi mkuu wa nchi ni wa kazi gani? Na tunadhani atashindwa vipi kudanganywa tena na tena hata kuiuza nchi?

4. Kwangu mimi kama ni lazima tupate Rais toka CCM mwaka 2025, basi ni msifanye kosa mara ya pili kutuletea mwanamke tena. Shida na taabu alizoleta huyu Samia Suluhu Hassan kwa kipindi kifupi alichokalia kiti hicho zinatosha!

Yaani ni afadhali hata afufuke John P. Magufuli aendelee kuwa Rais kuliko kuendelea kuwa na mama huyu.

Na tena ni afadhali hata yule mwehu, muhuni, fisadi na muuaji Paul Makonda a.k.a Albert Bashite akawa mgombea wenu na kisha awe Rais wa nchi hii kuliko kuendelea kuwa na huyu mwanamke!!

Tusubiri labda after 50yrs ahead baada ya mifumo kukaa vyema ndipo tunaweza kufikiri kumjaribu mwanamke katika position hiyo. But for now, it's BIG NO!

Asante usiku mwema
Mwanaume ni kiongozi kwa mwanamke

Upo sahihi mama sada afai

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Umeandika mambo ya msingi sana ila sidhani kama mhusika atakuelewa.
 
Back
Top Bottom