Uislam unasema mwanamme ampe nguvu (empower) mwanamke. (Arrijalu Kawammuna ala Nnissai".Kwani uislamu na Allah unasemaje kuhusu mwanamke kuwa na mamlaka ya kiutawala juu ya wanaume?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa kwetu shida ipo kwenye mfumo wa kuhesabu kura.,Matokeo ya uchaguzi wa Congo yamenifanya nijue kumbe hapa kwetu tume ya uchaguzi sio tatizo, tatizo lipo kwetu wenyewe kuilea ile tume mbovu huku tukilalamika kila siku tunaibiwa kura, siku tukiamua kuwa serious hatutaki ujinga wao tena, naamini tume hiyo hiyo ya Samia itamtangaza mshindi mgombea wa upinzani.
Haya mambo ya mabadiliko ya sheria ya tume na mengine ni kupotezeana muda tu, tunauzunguka ukweli kujidai hatuuoni, kumuachia aliyetengeneza tatizo alimalize ni ujinga wetu mkubwa sana, wakati mwingine waharibifu hutakiwa kupewa msaada wa kurekebisha pale walipokosea.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
I think wewe ndo rubbish, hujielewi. Huyu wa kwetu ame prove kuwa hawako tayari. Unahitaji nini zaid.Magreth Thatcher(Iron lady), alikuwa mwanaume? Angel Merkel je, na yule wa Liberia? Km kwenu wanawake ni wapumbavu na malaya siyo hali halisi huku duniani, kinachoongoza siyo mapumbu we lofa. Kwanza ujue mwanamke ana akili 2 na mwanaume moja. Just rubbish post ever!
Bahati mbaya mimi sio CCM na sijawahi kuwa...Naona CCM mmeanza kupigana mapanga wenyewe
U.S.A wenyewe wanajiita wanademokrasia lakini walimchinjia Baharini Hilary Clinton,wakaona bora waingize chizi Trump Ikulu kuliko kuongozwa na Mwanamke.1. Mimi natambua kuwa, kama hakutakuwa na mabadiliko ya kikatiba na kisheria comes 2025 General Election, uwezekano wa CCM kutumia uhuni kushinda uchaguzi tena ili kuendelea kuongoza serikali na nchi hii ni mkubwa..
Hata hivyo nina ushauri huu. Kwamba, msituletee mwanamke tena kwenye nafasi hii nyeti. Ni afadhali tuwe na Rais mwanaume incompetent lakini kuliko kuwa na mwanamke.
Ni kwa sababu incompetence ya mwanaume is far better than ya mwanamke.
2. Mimi msimamo wangu siku zote ni kutoamini ktk kumpa madaraka mwanamke yeyote kushika wadhifa wa kiongozi mkuu wa nchi - Rais. Ni makosa na haitakiwi kabisa and I have genuine reasons to support my refutation.
3. Sijali watakaonipinga (hususani wanawake wenyewe) watasema nini. Lakini mwanamke ndiye aliyedanganywa na nyoka akauuza ulimwengu wote kwa shetani - Ibilisi hata kusababisha shida na mahangaiko yote ambazo ulimwengu huu una - suffer leo.
Kama ukweli ni huu,mwanamke mwenye mamlaka ya kiongozi mkuu wa nchi ni wa kazi gani? Na tunadhani atashindwa vipi kudanganywa tena na tena hata kuiuza nchi?
4. Kwangu mimi kama ni lazima tupate Rais toka CCM mwaka 2025, basi ni msifanye kosa mara ya pili kutuletea mwanamke tena. Shida na taabu alizoleta huyu Samia Suluhu Hassan kwa kipindi kifupi alichokalia kiti hicho zinatosha!
Yaani ni afadhali hata afufuke John P. Magufuli aendelee kuwa Rais kuliko kuendelea kuwa na mama huyu.
Na tena ni afadhali hata yule mwehu, muhuni, fisadi na muuaji Paul Makonda a.k.a Albert Bashite akawa mgombea wenu na kisha awe Rais wa nchi hii kuliko kuendelea kuwa na huyu mwanamke!!
Tusubiri labda after 50yrs ahead baada ya mifumo kukaa vyema ndipo tunaweza kufikiri kumjaribu mwanamke katika position hiyo. But for now, it's BIG NO!
Asante usiku mwema
Wapo Wanawake smart mfano wa akina Angel Merkel,Christine Largade,Okonjo nk,walikuwa na misimamo kwenye uongozi.Mwafrika, halafu hajastaarabika, aongozwe na mwanamke tena Muislam?
Mwenyezi Mungu mkubwa.
Kiongozi bora kuwahi kutokea Tanzania hii baada ya Kikwete ni mama Samia. Anafanya maajabu, sema una macho lakini hayaoni, una masikio lakini hayasikii.Wapo Wanawake smart mfano wa akina Angel Merkel,Christine Largade,Okonjo nk,walikuwa na misimamo kwenye uongozi.
Samia is incompetent ila kinachombeba ni kuwa anaongoza taifa la Wanafiki wasiojielewa ndiyo maana anadumu!
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Sasa hiyo miamba unailinganisha na huyu incompetent Mama Samia.Una akili sawasawa kweli!Magreth Thatcher(Iron lady), alikuwa mwanaume? Angel Merkel je, na yule wa Liberia? Km kwenu wanawake ni wapumbavu na malaya siyo hali halisi huku duniani, kinachoongoza siyo mapumbu we lofa. Kwanza ujue mwanamke ana akili 2 na mwanaume moja. Just rubbish post ever!
Kaka Pascal kuna Uzi wako humu,ulisema 2025 twende na Mwanaume na siyo lazima Mwanamke,ulimaanisha nini na leo unataka kuoneshwa how incompetent Samia is!!Kutakuwa na mabadiliko ya katiba, sheria na Tume ya uchaguzi kabla ya uchaguzi mkuu wa 2025, hivyo uchaguzi mkuu wa 2025 utakuwa ni uchaguzi huru na wa haki, na utaendeshwa na kusimamiwa na Tume huru na Shirikishi ya Uchaguzi.
Tutakushukuru sana kama utatuwekea ushahidi wowote usiotia shaka au uthibitisho kuwa CCM hutumia uhuni kushinda uchaguzi ili kuendelea kuongoza serikali na nchi hii.
Kuna tatizo gani mwanamke akiwa Rais wa nchi?. Tafadhalini sana msitake kutuletea mambo yenu ya mfumo dume.
Ukituorodheshea incompetence ya rais mwanamke aliyepo, ili na sisi tuione hiyo incompetence yake, tutakushukuru sana.
Can you please substantiate how incompetence ya mwanaume is better than incompetence ya mwanamke?.
Ukitupa hizo genuine reasons zako kuwa mwanamke kushika wadhifa wa urais ni makosa.
Duh...!.
Duh...!
Sii lazima tupate rais kutoka CCM, ila kwa Tanzania, ni CCM only and only CCM, ndicho chama pekee chenye uwezo wa kutupatia rais bora.
Duh...!.
Ukiweza kutuorodheshea hizo shida na taabu alizoleta huyu mama, tutakushukuru sana.
Duh...!
Kumbe bandiko hili Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze... I was right
Duh...!.
P
Kuruani yenyewe inakataza Mwanamke kuwa Kiongozi!Sasa kama unasikia ya uzushi na uongo, mimi nikusaidie nini?
Nakushauri jisomee Qur'an, ipo kwa walimwengu wote, wenzako wengi wameanza kujisomea na wanaiona nuru ya Uislam.
Usiendeshwe na chuki bila ya sababu, Uislam umekukosea nini?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kiongozi bora kuwahi kutokea Tanzania hii baada ya Kikwete ni mama Samia. Anafanya maajabu, sema una macho lakini hayaoni, una masikio lakini hayasikii.
ππππ€£ππMakafirMwafrika, halafu hajastaarabika, aongozwe na mwanamke tena Muislam?
Mwenyezi Mungu mkubwa.
πππWe huwezi kumshauri hata nzi
Lissu awe rais?Bahati mbaya mimi sio CCM na sijawahi kuwa...
Mimi ni shabiki na mpenzi wa CHADEMA na nataka Tundu Lissu ndiye awe Rais wa nchi hii leo..
Hata hivyo, nimetoa angalizo hili kwa kuwa uhuni wa CCM wa 2020 unaweza kufanyika tena comes 2025 General Election..
Na hivyo, ikitokea tena waamue kufanya uhuni na wakafanikiwa, then wasituletee mwanamke tena ktk position hiyo..
Yes ni kweli nilipandisha bandiko lenye sauti HII humu ambalo nilisema nimeisikia tuu sauti wala siijui ni sauti ya nani ikiniambia 2025 twende na mwanaume bila kuelezwa sababu kuwa ni incompetence.Kaka Pascal kuna Uzi wako humu,ulisema 2025 twende na Mwanaume na siyo lazima Mwanamke,ulimaanisha nini na leo unataka kuoneshwa how incompetent Samia is!!
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Mmmhπ€π€π€ aisee!1. Mimi natambua kuwa, kama hakutakuwa na mabadiliko ya kikatiba na kisheria comes 2025 General Election, uwezekano wa CCM kutumia uhuni kushinda uchaguzi tena ili kuendelea kuongoza serikali na nchi hii ni mkubwa..
Hata hivyo nina ushauri huu. Kwamba, msituletee mwanamke tena kwenye nafasi hii nyeti. Ni afadhali tuwe na Rais mwanaume incompetent lakini kuliko kuwa na mwanamke.
Ni kwa sababu incompetence ya mwanaume is far better than ya mwanamke.
2. Mimi msimamo wangu siku zote ni kutoamini ktk kumpa madaraka mwanamke yeyote kushika wadhifa wa kiongozi mkuu wa nchi - Rais. Ni makosa na haitakiwi kabisa and I have genuine reasons to support my refutation.
3. Sijali watakaonipinga (hususani wanawake wenyewe) watasema nini. Lakini mwanamke ndiye aliyedanganywa na nyoka akauuza ulimwengu wote kwa shetani - Ibilisi hata kusababisha shida na mahangaiko yote ambazo ulimwengu huu una - suffer leo.
Kama ukweli ni huu,mwanamke mwenye mamlaka ya kiongozi mkuu wa nchi ni wa kazi gani? Na tunadhani atashindwa vipi kudanganywa tena na tena hata kuiuza nchi?
4. Kwangu mimi kama ni lazima tupate Rais toka CCM mwaka 2025, basi ni msifanye kosa mara ya pili kutuletea mwanamke tena. Shida na taabu alizoleta huyu Samia Suluhu Hassan kwa kipindi kifupi alichokalia kiti hicho zinatosha!
Yaani ni afadhali hata afufuke John P. Magufuli aendelee kuwa Rais kuliko kuendelea kuwa na mama huyu.
Na tena ni afadhali hata yule mwehu, muhuni, fisadi na muuaji Paul Makonda a.k.a Albert Bashite akawa mgombea wenu na kisha awe Rais wa nchi hii kuliko kuendelea kuwa na huyu mwanamke!!
Tusubiri labda after 50yrs ahead baada ya mifumo kukaa vyema ndipo tunaweza kufikiri kumjaribu mwanamke katika position hiyo. But for now, it's BIG NO!
Asante usiku mwema
Mwanaume ni kiongozi kwa mwanamke1. Mimi natambua kuwa, kama hakutakuwa na mabadiliko ya kikatiba na kisheria comes 2025 General Election, uwezekano wa CCM kutumia uhuni kushinda uchaguzi tena ili kuendelea kuongoza serikali na nchi hii ni mkubwa..
Hata hivyo nina ushauri huu. Kwamba, msituletee mwanamke tena kwenye nafasi hii nyeti. Ni afadhali tuwe na Rais mwanaume incompetent lakini kuliko kuwa na mwanamke.
Ni kwa sababu incompetence ya mwanaume is far better than ya mwanamke.
2. Mimi msimamo wangu siku zote ni kutoamini ktk kumpa madaraka mwanamke yeyote kushika wadhifa wa kiongozi mkuu wa nchi - Rais. Ni makosa na haitakiwi kabisa and I have genuine reasons to support my refutation.
3. Sijali watakaonipinga (hususani wanawake wenyewe) watasema nini. Lakini mwanamke ndiye aliyedanganywa na nyoka akauuza ulimwengu wote kwa shetani - Ibilisi hata kusababisha shida na mahangaiko yote ambazo ulimwengu huu una - suffer leo.
Kama ukweli ni huu,mwanamke mwenye mamlaka ya kiongozi mkuu wa nchi ni wa kazi gani? Na tunadhani atashindwa vipi kudanganywa tena na tena hata kuiuza nchi?
4. Kwangu mimi kama ni lazima tupate Rais toka CCM mwaka 2025, basi ni msifanye kosa mara ya pili kutuletea mwanamke tena. Shida na taabu alizoleta huyu Samia Suluhu Hassan kwa kipindi kifupi alichokalia kiti hicho zinatosha!
Yaani ni afadhali hata afufuke John P. Magufuli aendelee kuwa Rais kuliko kuendelea kuwa na mama huyu.
Na tena ni afadhali hata yule mwehu, muhuni, fisadi na muuaji Paul Makonda a.k.a Albert Bashite akawa mgombea wenu na kisha awe Rais wa nchi hii kuliko kuendelea kuwa na huyu mwanamke!!
Tusubiri labda after 50yrs ahead baada ya mifumo kukaa vyema ndipo tunaweza kufikiri kumjaribu mwanamke katika position hiyo. But for now, it's BIG NO!
Asante usiku mwema