Kama ni mboga, hawa wanadada wa JF ungewafananisha na mboga gani?

Ni mboga lakini sio mboga...
Yanauzwa bei rahisi, kila nyumba lazima ukute kilo tano za maharage [emoji3][emoji3][emoji3]. Mambo yakibana watu huyafululiza 24/7.
Sasa ubaya wake uko wapi?

Em suggest awe mboga gani huyu Sakayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…