Kama ni muhimu kuwa na cheo cha Naibu Waziri Mkuu, kwanini hakiwekwi kwenye Katiba na mafao yake yakafahamika?

Kama ni muhimu kuwa na cheo cha Naibu Waziri Mkuu, kwanini hakiwekwi kwenye Katiba na mafao yake yakafahamika?

Cheo cha Naibu Waziri kuu hakipo kwenye katiba iliyopo lakini Marais waliotangulia waliwahi kumteua hayati Mrema na Salim Ahmed Salim kukitumikia cheo hicho.

Jana Rais Samia kamteua Doto Biteko kuwa Naibu Waziri Mkuu cheo ambacho hakipo kwenye Katiba. Najiuliza kama cheo hiki cha Unaibu Waziri Mkuu kina tija kiutendaji kwanini hakiingizwi kwenye katiba?

Nauliza hivyo kwa sababu hata mafao ya cheo hicho hayajulikani na mwisho wa siku mhusika baada ya kukitumikia cheo hicho anapodai mafao yake huyakosa na huambiwa aonyeshe wapi katiba inayataja. Mfano mzuri ni hayati Augustino Mrema aliyadai bila mafanikio.
Umeuliza vizuri
 
Sijamsikia popote Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Wakili msomi Tundu Lissu akihoji Uteuzi wa Naibu Waziri Mkuu.

Kwa maana hiyo hakuna kipengere chochote cha Katiba kilichokiukwa

Mlale unono 😀😀
Kwamba akipinga Lissu basi nawe unapinga?!
 
Sijamsikia popote Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Wakili msomi Tundu Lissu akihoji Uteuzi wa Naibu Waziri Mkuu.

Kwa maana hiyo hakuna kipengere chochote cha Katiba kilichokiukwa

Mlale unono 😀😀
Kwamba akipinga Lissu basi nawe unapinga?!
 
Cheo cha Naibu Waziri kuu hakipo kwenye katiba iliyopo lakini Marais waliotangulia waliwahi kumteua hayati Mrema na Salim Ahmed Salim kukitumikia cheo hicho.

Jana Rais Samia kamteua Doto Biteko kuwa Naibu Waziri Mkuu cheo ambacho hakipo kwenye Katiba. Najiuliza kama cheo hiki cha Unaibu Waziri Mkuu kina tija kiutendaji kwanini hakiingizwi kwenye katiba?

Nauliza hivyo kwa sababu hata mafao ya cheo hicho hayajulikani na mwisho wa siku mhusika baada ya kukitumikia cheo hicho anapodai mafao yake huyakosa na huambiwa aonyeshe wapi katiba inayataja. Mfano mzuri ni hayati Augustino Mrema aliyadai bila mafanikio.

Usikariri Katiba, soma uielewe.
Sio kila cheo ambacho hakipo katika Katiba, kitamzuia Mh. Rais kuteua nafasi ya cheo fulani kadiri atakavyoona inafaa, na Katiba hiyo hiyo inampa mamlaka Mh. Rais kuteua cheo au nafasi fulani kwa kadiri Mh. Rais ataona inafaa, rudia kusoma Katiba uielewe, usikariri.
 
Cheo cha Naibu Waziri kuu hakipo kwenye katiba iliyopo lakini Marais waliotangulia waliwahi kumteua hayati Mrema na Salim Ahmed Salim kukitumikia cheo hicho.

Jana Rais Samia kamteua Doto Biteko kuwa Naibu Waziri Mkuu cheo ambacho hakipo kwenye Katiba. Najiuliza kama cheo hiki cha Unaibu Waziri Mkuu kina tija kiutendaji kwanini hakiingizwi kwenye katiba?

Nauliza hivyo kwa sababu hata mafao ya cheo hicho hayajulikani na mwisho wa siku mhusika baada ya kukitumikia cheo hicho anapodai mafao yake huyakosa na huambiwa aonyeshe wapi katiba inayataja. Mfano mzuri ni hayati Augustino Mrema aliyadai bila mafanikio.
Ni àina ya rushwa
 
Sijamsikia popote Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Wakili msomi Tundu Lissu akihoji Uteuzi wa Naibu Waziri Mkuu.

Kwa maana hiyo hakuna kipengere chochote cha Katiba kilichokiukwa

Mlale unono 😀😀
Tundu Lissu wala hashangai wala kuona ajabu kwa sababu, uvunjaji wa katiba kwa serikali zote chini ya CCM ni order of everyday na ni matumizi mabaya ya madaraka kwa manufaa yao na si kwa ajili ya nchi na wananchi..

Na ndiyo maana wanaongoza mapambano ya kuipigania katiba mpya maana ndiyo dawa pekee ya kukomesha au kupunguza ulimbukeni huu wa watawala wa kutojali katiba na sheria za nchi...

Ni ajabu watu tunashangaa kuvunjwa kwa katiba kwa namna hii huku tukiwa tumesahau mara kuwa Hayati Rais John P. Magufuli alivunja katiba na sheria kwa uwazi bila chenga kwa kupiga marufuku mikusanyiko ya vyama vya siasa na maandamano huku katiba na sheria zetu zikiruhusu..

Ni kwa sababu pia, katiba yenyewe hii ya 1977 inajiruhusu ijivunje yenyewe..
 
Cheo cha Naibu Waziri kuu hakipo kwenye katiba iliyopo lakini Marais waliotangulia waliwahi kumteua hayati Mrema na Salim Ahmed Salim kukitumikia cheo hicho.

Jana Rais Samia kamteua Doto Biteko kuwa Naibu Waziri Mkuu cheo ambacho hakipo kwenye Katiba. Najiuliza kama cheo hiki cha Unaibu Waziri Mkuu kina tija kiutendaji kwanini hakiingizwi kwenye katiba?

Nauliza hivyo kwa sababu hata mafao ya cheo hicho hayajulikani na mwisho wa siku mhusika baada ya kukitumikia cheo hicho anapodai mafao yake huyakosa na huambiwa aonyeshe wapi katiba inayataja. Mfano mzuri ni hayati Augustino Mrema aliyadai bila mafanikio.
Hata mimi nilijiuliza hilo swali, hivi budget ya mshahara wake unatokana wapi? na mafao na stahiki zake kama naibu waziri Mkuu zitatoka wapi? Akistaafu atapewa ulinzi? Mbona Mrema hakupewa ulinzi cheo chake kilivyo koma?
 
Back
Top Bottom