Kama ni muhimu ule usiku, kula matunda. Kama huna matatizo ya kiafya usile itakusadia kupunguza uzito uliokithiri

Kuna wenzangu na mie mti mkavu hata tule nini hakuna lolote.
Naunga Mkono Hoja
Maana Nimehangaika Kuwa Kama Mamelod Yule FIFA Mambo Magumu Yaani Imegoma
Acha Nilidhike Na Hali Yangu Ya Afya Hii Kagame Type
 
Naunga Mkono Hoja
Maana Nimehangaika Kuwa Kama Mamelod Yule FIFA Mambo Magumu Yaani Imegoma
Acha Nilidhike Na Hali Yangu Ya Afya Hii Kagame Type
Naunga mkono hoja Maana nilishakula milo 5 kwa siku lakini bado mambo magumu.
Nimeshakubali matokeo siwezi ongezeka uzito, type ile ya 1..
 
Starch ( wanga) pia ni muhimu sana, ili kukupa nguvu, ukiacha kwa muda mrefu unaweza kuja kupelekwa na upepo
 
Sasa hapo utapungua kwa natatizo sio kwa furaha
 
Mimi nadhani cha umuhimu ni mazoezi tuu ht kama unakula sana
Then isue hua si kula sanaa..isue ni unakula niniii_ ulaji wa chips , soda , n'a vkaangizo vingine vinachangia sana kwny weght gain
Hasa ukiwa mvivu kwenye workout
 
Then isue hua si kula sanaa..isue ni unakula niniii_ ulaji wa chips , soda , n'a vkaangizo vingine vinachangia sana kwny weght gain
Hasa ukiwa mvivu kwenye workout
Thanks
 
Nimetumia nguvu nyingi sana kudecode jinai la uzi maana kila nikiangalia naona neno tunda.
 
Ni njia bora pia Ina save bajeti hahahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…