Kama ni muhimu ule usiku, kula matunda. Kama huna matatizo ya kiafya usile itakusadia kupunguza uzito uliokithiri

Kama ni muhimu ule usiku, kula matunda. Kama huna matatizo ya kiafya usile itakusadia kupunguza uzito uliokithiri

Usilale bila kula.

Ishu ni unakula nini na kwa kiasi gani.

Kula kidogo sana kama ugali unapga tonge zako tano.

Au matunda kiasi unalala.
 
Kipindi hiki cha mfungo wa ramadhani ni kipindi kizuri Cha kula mlo mmoja tu kwa siku jioni! Kwa kuwa daku ni suna inaweza kuachwa! Hahaha
 
Huo uwezo wa kudhibiti tonge ndiyo mtihani...ni rahisi kufanya diet ya kula mara moja kwa siku! Kuliko kula kidogo hasa kwetu wa Tz tuliozoea kula mpaka tumbo livimbe
Usilale bila kula.

Ishu ni unakula nini na kwa kiasi gani.

Kula kidogo sana kama ugali unapga tonge zako tano.

Au matunda kiasi unalala
 
Kupungua au kuongezeka uzito kunatokana na calories. Ukila calories nyingi kuliko unazotumia utaongezeka, ukila kidogo kuliko unazotumia utapungua. Hamna kingine.

Ukila less calories lakini ni junk foods utapungua lakini utakua hauna afya nzuri wala nguvu ya kufanya kazi za kawaida.

Ukila calories nyingi, hata kama ni health foods utaongezeka uzito.
Kula usiku karibu na muda wa kulala kunapunguza quality of your sleep, baasi. Suala la kuongezeka na kupungua halitegemei umekula saa ngapi, linategemea calories tu.
 
Kipindi hiki cha mfungo wa ramadhani ni kipindi kizuri Cha kula mlo mmoja tu kwa siku jioni! Kwa kuwa daku ni suna inaweza kuachwa! Hahaha
Kuna rafiki yangu ikifika ramadhani huwa wakati wa kufuturu anakula kidogo sana, labda andazi moja na tende kidogo na chai. Alfajiri wakati wa daku ndio anakula, na akimaliza kula daku harudi kulala tena, anaenda kwene shughuli zake. Huwa anapungua vizuri sana.
 
Kupungua au kuongezeka uzito kunatokana na calories. Ukila calories nyingi kuliko unazotumia utaongezeka, ukila kidogo kuliko unazotumia utapungua. Hamna kingine.
Ukila less calories lakini ni junk foods utapungua lakini utakua hauna afya nzuri wala nguvu ya kufanya kazi za kawaida.
Ukila calories nyingi, hata kama ni health foods utaongezeka uzito.
Kula usiku karibu na muda wa kulala kunapunguza quality of your sleep, baasi. Suala la kuongezeka na kupungua halitegemei umekula saa ngapi, linategemea calories tu.
Hivi mkuu calories lina maana gani ?
 
Kuna rafiki yangu ikifika ramadhani huwa wakati wa kufuturu anakula kidogo sana, labda andazi moja na tende kidogo na chai. Alfajiri wakati wa daku ndio anakula, na akimaliza kula daku harudi kulala tena, anaenda kwene shughuli zake. Huwa anapungua vizuri sana.
Huo ndo utaratibu mzuri.

Kuna watu wakiftari ni ftari nzito,hogo gimbi,chai,tende.

Usikua kama nne nne humo anapiga tena kapilau kake kadogo,then saa 8 anaamka anakula daku nzito ya wali then analala.

Mtu kama huyu kwa ulajii huu huko tumboni badala ya enzymes kumeng'enya chakula wataanza kushangaa kwa ulafi ulioje
 
Huo ndo utaratibu mzuri.

Kuna watu wakiftari ni ftari nzito,hogo gimbi,chai,tende.

Usikua kama nne nne humo anapiga tena kapilau kake kadogo,then saa 8 anaamka anakula daku nzito ya wali then analala.

Mtu kama huyu kwa ulajii huu huko tumboni badala ya enzymes kumeng'enya chakula wataanza kushangaa kwa ulafi ulioje
Kama huyu hajafunga, ni amebadilisha masaa ya kula tu!
 
Back
Top Bottom