Kama ni mzima wa afya mshukuru Mungu, kuna watu wanateseka na maradhi

Pole mleta mada , Mungu ni mwema walao umekua na hali njema. Izidi kuwa kuwa hivyo kwa neema ya Mungu.

Nashukuru mada yako na comment zake nimezikua binafsi kwangu zimenipa changamoto usiku huu !

Naamini mwenyezi Mungu atakujalia neema ya kuwazuru wagonjwa na wenye mahitaji maalum .
 
Mm
Nimekaa wiki ikelu hospital kisa uvimbe aisee uliyo yaandika nimeya ona mwenyewe nikiwa nauguza mkono uliokuwa na uvimbe baada ya kufanyiwa operation .mm nikifika mahali manurse walikuwa ni marafiki zangu mana nilienda peke yangu kufanyiwa huo upasuaji ila uliyo yaandika ni ukweli mtupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…