Kama ni ujinga, huu imeizidi kiwango

Kama ni ujinga, huu imeizidi kiwango

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2023
Posts
7,189
Reaction score
10,375
Ni tukio la kusikitisha sana. Limetokea katika Kitongoji cha Bombani, kijiji cha Dumila Mkoani Morogoro.

Kwa mujibu wa watoa taarifa, mwili wa mtu aliyedaiwa kufa kifo cha ghafla, ulionekana ukitoka jasho na mapigo ya moyo kupiga kwa mbali. Waliotaka daktari aitwe aje athibitishe kama kweli kafariki hawakusikilizwa. Baba mtu alikataa kwa madai kuwa mwanaye kashaaga dunia.

Cha ajabu, waliitwa wataalamu wa mila! Kwa huko, pengine, waganga wa kienyeji wanaoaminika kuliko madaktari! Inasikitisha.

Najiuliza!
Wanakijiji walishindwa kumshinikiza huyo baba akubali
mtoto wake kupelekwa hospitalini?

Uongozi wa kijiji ulishindwa kuzuia mazishi ya huyo mtu baada ya kuwepo kwa huo utata?

Hakuna uwezekano kuwa pengine aliyezikwa hakuwa amekufa bali alikuwa amezimia tu?

Hayo yametokea kwa bahati mbaya au kuna agenda ya siri nyuma yake?

Kuna umuhimu wa hiyo taarifa kufuatiliwa na vyombo husika.

 
Ni tukio la kusikitisha sana. Limetokea katika Kitongoji cha Bombani, kijiji cha Dumila Mkoani Morogoro.

Kwa mujibu wa watoa taarifa, mwili wa mtu aliyedaiwa kufa kifo cha ghafla, ulionekana ukitoka jasho na mapigo ya moyo kupiga kwa mbali. Waliotaka daktari aitwe aje athibitishe kama kweli kafariki hawakusikilizwa. Baba mtu alikataa kwa madai kuwa mwanaye kashaaga dunia.

Cha ajabu, waliitwa wataalamu wa mila! Kwa huko, pengine, waganga wa kienyeji wanaoaminika kuliko madaktari! Inasikitisha.

Najiuliza!
Wanakijiji walishindwa kumshinikiza huyo baba akubali
mtoto wake kupelekwa hospitalini?

Uongozi wa kijiji ulishindwa kuzuia mazishi ya huyo mtu baada ya kuwepo kwa huo utata?

Hakuna uwezekano kuwa pengine aliyezikwa hakuwa amekufa bali alikuwa amezimia tu?

Hayo yametokea kwa bahati mbaya au kuna agenda ya siri nyuma yake?

Kuna umuhimu wa hiyo taarifa kufuatiliwa na vyombo husika.

View attachment 2691308
yote haya ni porojo, ujinga hakuna kitu kama hicho as this rubbish story negates the existence of science
 
Back
Top Bottom