Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huenda alikuwa na lake jambo.Hiyo ilikuwa kazi yake huyo baba, wewe mwanao afe ghafla unaweza kimbia kwenda kumzika kweli?
Baba mchawi huyo...Hasa huyo baba yake amepata wapi ujasiri huo,alafu mwanae alikufa ghafla
Shida kuzaliwa sehemu za kichawi,inawezekana yalimchukua msukule
Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
Ndiyo maana yake, badala yakutafakari unakimbilia kumzika mwanao, anajua kila kitu huyo mdingi.Huenda alikuwa na lake jambo.
Mkuu, nafikiri kuna typing error hapo juu: " Mwingine alikuwa anagoma..."Ndiyo maana yake, badala yakutafakari unakimbilia kumzika mwanao, anajua kila kitu huyo mdingi.
Mwingine alikuwa anagoma mwanaye asiolewe sababu hatoi ugomvi ukoo mzima, alitaka kuwa kichaa akaambiwa wewe vua nguo tembea barabarani mtoto anaolewa sahizi hataki kuongea na mtu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Unamaanisha niandike Baba mwingine? Au niandike vipi mkuu!!??Mkuu, nafikiri kuna typing error hapo juu: " Mwingine alikuwa anagoma..."
Exacty, kaburi halilali njaa!Watu wengi tu wanazikwa hai
Inawezekana mimi ndiyo sijaelewa, ni kwamba naona kama vile ulichokiandika sicho ulichokisudia. Umeandika hivi, "... sababu hatoi ugomvi ukooo mzima..."Unamaanisha niandike Baba mwingine? Au niandike vipi mkuu!!??