Kama ni wewe ni graduate na bado hujapata ajira, basi fanya shughuli zifuatazo

Imagine umemaliza chuo kikuu,unavojifunza ufundi wa board hata kukata mbao square huwezi ,mafundi wanakuzarau sana ,vipimo unakosea kila muda,badae wanaulizana umemtoa wap huyu baada aseme sehemu flani anasema huyu humkumbuki kamaliza chuo kwahiyo yupo tu kitaa.
 
Mbona unanikatisha tamaa? Yaani nirudi darasani wakati hiki nilichosomea hata sijaanza kukifaidi? Hii dunia haiko sawa kabisa
 
Hamna kazi hapo
 
Tatizo tunajifungia sana mijini na hatutaki kutoka na kwenda kutafuta. Ila hii nchi ina fursa kila sehemu. Watu tunakuwaje na ardhi alafu tukose chakufanya kweliii?.

Kuna vijiji ardhi hekari moja ni elfu 60 na bado hakuna watu wanaojilipua kwenda kutengeneza miji huko.

Hapo usiongelee utalii ndio kabisaa hii nchi ina neema sana aisee, ni vile tu tunataka vya haraka na waoga kujaribu mambo mapya. Laptop za graduates ni zakuangalia series na bando.zetu ni zakuangalia trends tiktok.
 
Napata shaka na elimu ufunguo wa maisha.Classmate wako aliishia la saba kisha akajichanganya mtaani hivi sasa ni nguli wa fani fulani.Sasa graduate ndiyo unaingia chimbo,huoni kwamba ulitapeliwa pesa kwa kupewa makaratasi yasiyokunufaisha?
 
Napata shaka na elimu ufunguo wa maisha.Classmate wako aliishia la saba kisha akajichanganya mtaani hivi sasa ni nguli wa fani fulani.Sasa graduate ndiyo unaingia chimbo,huoni kwamba ulitapeliwa pesa kwa kupewa makaratasi yasiyokunufaisha?
Duuh inasikitisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…