Wajameni salaaama!
Jamani mwenzenu hakuna suala linanitatiza kama kutafuta mwanamke wa kuoa, si kwamba mimi nina mandazi mdomoni ila sasa kila ninayemnasa badae nagundua ni wrong way namani kiukweli ajitokeze mwenyewe na kukiri anataka kuolewa sasa na mimi ili nikimridhia baasi familia ianzie hapo,,,,!
Basi wadada wote niseme hii ni fursa nyingine kwa mdada aliyejasiri na mwelevu sana, mwenye uwezo wa kumiliki mwanaume wake mwenyewe ajitokeze na kunipigia simu moja kwa moja 0784321716 angalizo uwe na uwezo mzuri wa kutatua matatizo...! Mimi ni graduate siyo mteremko mapenzi na maisha ni milima na mabonde so tegemea kupanda na kushuka milima mpaka mwisho wa safari nitakupenda sana promise be courage i won't going to let you down....
Jamani mwenzenu hakuna suala linanitatiza kama kutafuta mwanamke wa kuoa, si kwamba mimi nina mandazi mdomoni ila sasa kila ninayemnasa badae nagundua ni wrong way namani kiukweli ajitokeze mwenyewe na kukiri anataka kuolewa sasa na mimi ili nikimridhia baasi familia ianzie hapo,,,,!
Basi wadada wote niseme hii ni fursa nyingine kwa mdada aliyejasiri na mwelevu sana, mwenye uwezo wa kumiliki mwanaume wake mwenyewe ajitokeze na kunipigia simu moja kwa moja 0784321716 angalizo uwe na uwezo mzuri wa kutatua matatizo...! Mimi ni graduate siyo mteremko mapenzi na maisha ni milima na mabonde so tegemea kupanda na kushuka milima mpaka mwisho wa safari nitakupenda sana promise be courage i won't going to let you down....