Kama ni wewe unasubiri nini?

Kama ni wewe unasubiri nini?

mjasilia

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2012
Posts
594
Reaction score
172
Wajameni salaaama!

Jamani mwenzenu hakuna suala linanitatiza kama kutafuta mwanamke wa kuoa, si kwamba mimi nina mandazi mdomoni ila sasa kila ninayemnasa badae nagundua ni wrong way namani kiukweli ajitokeze mwenyewe na kukiri anataka kuolewa sasa na mimi ili nikimridhia baasi familia ianzie hapo,,,,!
Basi wadada wote niseme hii ni fursa nyingine kwa mdada aliyejasiri na mwelevu sana, mwenye uwezo wa kumiliki mwanaume wake mwenyewe ajitokeze na kunipigia simu moja kwa moja 0784321716 angalizo uwe na uwezo mzuri wa kutatua matatizo...! Mimi ni graduate siyo mteremko mapenzi na maisha ni milima na mabonde so tegemea kupanda na kushuka milima mpaka mwisho wa safari nitakupenda sana promise be courage i won't going to let you down....
 
utapata tu kaka, ila nina jirani yangu hapa, nikuunganishie?
 
utapata tu kaka, ila nina jirani yangu hapa, nikuunganishie?
Lady A ebu niunganishe na huyo jirani yako but awe responsible maana sitaki mchepuko sasa hivi shida yangu mke!
 
bado tu hujapata! maana ni mwaka sasa umepita!
 
Wajameni salaaama!

Jamani mwenzenu hakuna suala linanitatiza kama kutafuta mwanamke wa kuoa, si kwamba mimi nina mandazi mdomoni ila sasa kila ninayemnasa badae nagundua ni wrong way namani kiukweli ajitokeze mwenyewe na kukiri anataka kuolewa sasa na mimi ili nikimridhia baasi familia ianzie hapo,,,,!
Basi wadada wote niseme hii ni fursa nyingine kwa mdada aliyejasiri na mwelevu sana, mwenye uwezo wa kumiliki mwanaume wake mwenyewe ajitokeze na kunipigia simu moja kwa moja 0784321716 angalizo uwe na uwezo mzuri wa kutatua matatizo...! Mimi ni graduate siyo mteremko mapenzi na maisha ni milima na mabonde so tegemea kupanda na kushuka milima mpaka mwisho wa safari nitakupenda sana promise be courage i won't going to let you down....

Kama ni graduate basi naihurumia elimu yetu ya sasa. Kwanza kama umejaribu wengi ukagundua ni wrong way- Jichunguze wewe mwenyewe. Pili si lazima kutumia lugha nyingine kama hutaitendea haki kuiwakilisha.

Nakutakia mafanikio mema na Mungu abariki Nia yako
 
Kaka hakuna mwanamke atakae ndoa y kudumu kwa matangazo ya stail hii kama ajira vile la sivyo tegemea wote watakuj kmchepko zaid. La msing rudi kwa yule dada ulye mtenda kasawazishe yupo tayar anakusubir.
 
Daahhhhhh.... hv yule jamaa aleimba mwanaume mashine cjui anaitwa nan???[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Syncerus cafer cafer
 
Back
Top Bottom