Wanatekeleza majukumu kinafiki na uogauoga.Haiwezekani ueleze kwamba mtumishi aliyejaa hofu,kutoielewa kesho,kunyanyaswa na Viongozi wa CCM,kipato duni,masimango na kila aina ya kadhia akuletee tija.Kama unaamini anakupa tija,basi ni kwa kiwango duni ambacho nacho kinaitwa kiwango.