Kama ninapata Tsh 20,000/= kila wiki, ipi ni namna bora ya kuiwekeza, nipate faida?

Kama ninapata Tsh 20,000/= kila wiki, ipi ni namna bora ya kuiwekeza, nipate faida?

Usiku unaotaga ndoto gani?
Naota mara chache sana, mambo ya kawaida tu
Mf. Watu ninaowapenda. Sioti ndoto za ajabu, au zinazotia hofu....au za kuokota hela
 
Unafanya kazi na kila weej unapata 20,000 kwa mwezi unapata 80,000 na hujui pa kuiweka uizalishe
Kazi ipo.
 
Back
Top Bottom