Kama ningekutana na Sheikh Makaburi na Aboud Logo

Kama ningekutana na Sheikh Makaburi na Aboud Logo

Hivi unamaanisha Jihaad ya Qitaal unamaanisha hakuna tena? Kama wewe muislamu kuwa makini siku nyingine unapozungumza mambo ya dini.
 
Yule cjui Wa mwanza yule cjui yuko wapi.llunga ndio wale wale wakina makaburi
 
Abubakar Shariff (Makaburi) na Aboud Logo walikuwa watu wenye elimu kubwa ya kidini hasa ufasaha katika kur ani, kwa hilo tu Allah awalipe insha allah, lakini jambo moja walilonishangaza ni kule kuwatetea kundi la vijana wa alshababi kwa kile walicho kiita eti JIHAD.

Hakuna jihad inayopiganwa kwa karne hii, hasa hao vijana wa alshababi kuua watu wasio na hatia hata kidogo, kuua watoto wadogo kwa aya zipi za kur ani.

Maelezo ya Nabii Muhammad (S.A.W) alishasema jihadi ndogo imekwisha duniani na kwa sasa imebaki jihadi kubwa, watu wakamuuliza ipi hiyo jihad ndogo na ipi hiyo jihad kubwa? Akajibu jihad ndogo ndio hiyo ya kupigana kwa upanga(vita) na jihad kubwa iliyobaki ni jihad ya nafsi ya mtu dhidi ya maasi ya ulimwengu, vipi mtu atajizuia na yale yaliyokatazwa Eg, ulevi, uzinzi, uasherati, ushirikina, wizi nk. Sasa leo akina Logo na Makaburi wanatumia elimu zao kuwatetea alshababi, 'wonderful'

tayari makaburi kishafariki je alshaabab itakufa au itaendelea? pole kwa familia yake..
 
Ww hiyo ni hadithi ni ya uzuka hebu niambie hadithi hiyo kaipokea nani hakuna hadithi hiyo hiyo hutumiwa na watu wa qadiria waabudu makaburi ila ktk uislamu hadithi hiyo hakuna
 
Hilo neno (bold) ndio nini? Ndio kwanza naliona hivyo sijaelewa unazungumzia nini.
huyo ni mwenyezi mungu ,muumba wa vitu vyote vinavyoonekana na vile visivyoonekana,na ni muweza wa kila kitu
 
Kama ungeufahamu vizuri uislamu basi usingezungumza kasome vizuri surat tawba kisha useme jihad ipo au hamna
 
Yaap all terrorist will be wiped out. Kama hamuogopi kwanini mnajificha kama cowards? Why don't you man up and fight in the cause of a diabolical demigoddess Allat? Come out of the hyena holes and fight, what are you waiting for?
hata mandela walimwita shujaa vile vile hata yesu walimwona gaidi lakini hii leo wewe ndio shujaa wako,ndio ilivyo tafsiri ya neno gaidi hutegemea na matakwa ya mtumizi,hata hivyo kila mtu utapofika mda wake atapigana kwa nafasi yake,pia kujificha ndio mbinu za vita.
 
pole sana ungekuwa na ilim ya diini,inshaallah ungeelewa nini mashekh hawa walichokuwa wanafanya,hata hivyo hueliwi kwamba allah,ametuamrisha tusidhurumu wala tusikubali kudhurumiwa na ametupa amri ya kupigana pale ambapo tumedhurumiwa na tukifa katika kudai haki yetu basi malipo yake tutayakuta kwake yeye allah(.s.w)na muislamu mkakamavu anapendeza zaidi kwa m'mungu kuliko yule goigoi,na hawatohudhunika waliokufa katika njia ya m,mungu(jihad),jihad haiwezi kufa mpaka mwisho wa dunia,kama huelewi uliza ,usitoe fa'twa kwa usilolijua,usije ukawa kafir.
hakuna jihad ya kupigana na waislamu wenzio, aliekwambia alshababi wanapigana jihadi ni nani? ninachopinga mimi ni hicho wanachoita jihadi wakati ni uhuni mtupu.....ikitokea alshababi wanawapiga maadui zao tu hiyo ni jihad lakini kuuwa watu wengine hata maswala ya dini hawayajui huo ni ukafiri
 
Hivi unamaanisha Jihaad ya Qitaal unamaanisha hakuna tena? Kama wewe muislamu kuwa makini siku nyingine unapozungumza mambo ya dini.
Jihad ipo lakini sio hii ya akina alshababi inayoua watoto kwa kuwatandika risasi vichwani.

Uislam una namna ya kupigana, kasome asharti ya kupigana vita. Unategaje bomu kwenye umati wa watu unaua waislamu na wasiokuwa waislamu? Halafu unaita jihadi?

HAKUWA MUHAMMAD ILA REHMATAN RIL ALAAAMIN
 
Kama ungeufahamu vizuri uislamu basi usingezungumza kasome vizuri surat tawba kisha useme jihad ipo au hamna

JIHAD IPO LAKINI SIO YA AKINA ALSHABABI, haya somalia wako waislamu watupu kinachowafanya wasiwe na serikali yao ni nini na kama kweli ni waislamu, then ukaite jihadi watu wa iraq wavouana, ukaite jihad watu wa afghanistani
 
Hivi unamaanisha Jihaad ya Qitaal unamaanisha hakuna tena? Kama wewe muislamu kuwa makini siku nyingine unapozungumza mambo ya dini.

huyo atakuwa Ni kafiri, muislam anaejielewa hazungumzi mambo hovyohovyo. Rogo, Makaburi na wengine wengi ni Mashaahid kwani walikuwa watetezi wa haqi na wanapinga udhalim unaofanywa na makafiri.

Hatunahaja ya kujibizana na makafiri wanao watukana kwani malipo ya dhulma Ni hapa hapa duniani . Kenya wanavuna walichokipanda na kadri wanavyozidi kuwakandamiza waislam kwa kuwaua viongozi wao pasi na hatia ndivyo wanavyo zidi kujichimbia shimo.

Ni miaka michache tu ijayo hali ya usalama Kenya itakuwa mbaya maradufu ya ilivyo sasa.
watalii wengi zaidi watawakimbia na raia wengi wasio na hatia wataangamia. Wala Sinai shaka na hilo kwasababu najua fika nini kitawakuta.

MALIPO YA DHULMA NI HAPA HAPA DUNIANI
DHULMA WANAYO TUFANYIA WAISLAM ITAWAGHARIMU WAO NA VIZAZI VYAO.
 
Siungi Mkono mauaji ya Mtu yoyote bila ya kufuata misingi ya Sheria.

Kama leo tutaunga Mkono mauaji yake kwa kuwa tu ni Mshukiwa wa Ugaidi basi kesho tutakuwa Wanafiki ikitokea Al shabab nao wataua Watu wanaowashuku kuuwa ndugu zao.

Lazima tuepuke Double Standard kwa kukemea Mauaji dhidi ya watu wasio na Hatia wakiwemo wanaushukiwa ni magaidi kwa kuwa bado hawajawa Convicted na Mahakama za Nchi husika.

A wiseful thought
 
Wewe MUISLAM POA hiyo hadith umetoa wapi au ndio umefundishwa na mashehe wako wa BAKWATA(MASHEHE UBWABWA). JIHADI IPO NA ITASALIA MILELE. Mtume(saw) alisema kuna kikundi katika umma wangu kitaendelea kupigana mpaka mwisho watakuja kupigana na MASIHDAJJAL. Sasa wewe unaongea nini. Tatizo waislam wa leo wanataka dini ya kupiga dufu na kula wali mwingi kisha waanze kujisifia.
 
huyo ni mwenyezi mungu ,muumba wa vitu vyote vinavyoonekana na vile visivyoonekana,na ni muweza wa kila kitu

Hivi haya uliyoyaandika hapa yanatoka moyoni kweli? Huyo Mungu mnayemwamini ni muweza wa kila kitu kweli? Kama kweli mnaamini hivyo iweje nyie viumbe wake mmpiganie huyo anayeweza kila kitu? Au mna mashaka na uwezo wake na ndio maana mnajitoa muhanga kila siku kumpigania. Hapo nashindwa kuelewa au ni ile ahadi ya mabikra 70 ndio inawatoa akili?

Nashindwa kuelewa kwa kweli.

Tiba
 
vitani huwa hawaendi wote dogo,mimi sio goigoi dogo.

haya kubwa, ni kweli vitani huwa hawaendi wote, vitani wanaenda wajinga waliokata tamaana, nadhani unaelewa kubwa; una familia ya kuitumikia na hauko tayari kuipoteza, safi sana kubwa kumbe akili unazo.
 
hakuna jihad ya kupigana na waislamu wenzio, aliekwambia alshababi wanapigana jihadi ni nani? ninachopinga mimi ni hicho wanachoita jihadi wakati ni uhuni mtupu.....ikitokea alshababi wanawapiga maadui zao tu hiyo ni jihad lakini kuuwa watu wengine hata maswala ya dini hawayajui huo ni ukafiri
ndo nasema tahadhari na ulimi wako usije ukawa kafir kwa kukata aya za qur'an,hivi wewe unawajua maadui wa al shaabab?chanzo cha vururugu za al shaabab unazijua,?kama hujui aya si vibaya kuuliza,ila tumeamrishwa kupigana jihadi kwa mali' zetu na nafsi ,jihadi ipo na ndio maana tuna sharia na sharia inatuhusu sisi tulioamini(waislamu)na hapo ndipo penye jihad ,pia inaruhusiwa kuwapiga jihad waislam wanafiki,ila pia nahisi kama vile tafsiri ya jihad huelewi vizuri!!?
 
hatutumii nguvu nyingi ila sisi hatuogopi kufa kwa ajiri ya mambo ya dini sasa nadini sisi ndo muongozo wetu,hivyo vikifanyika vitendo vya kuidharau au kuidharirisha dini yetu hapo ndipo tunapokuwa wakali na sisi si mnajua hatuogope kufa kwa ajiri ya mambo uadini!?na tumeambiwa tusidhurumu wala tusikubali kudhurumiwa.na tumeruhusiwa pia kulipa kisasi kwa yule aliekuonea.

Kuna rafiki yangu alikuwa akinishawishi kuwa ni dini ya Mwenyezi Mungu mbona unasema ni yetu badala ya kuwa yake
 
Back
Top Bottom