Kama ningekutana na Sheikh Makaburi na Aboud Logo

Kama ningekutana na Sheikh Makaburi na Aboud Logo

Hivi haya uliyoyaandika hapa yanatoka moyoni kweli? Huyo Mungu mnayemwamini ni muweza wa kila kitu kweli? Kama kweli mnaamini hivyo iweje nyie viumbe wake mmpiganie huyo anayeweza kila kitu? Au mna mashaka na uwezo wake na ndio maana mnajitoa muhanga kila siku kumpigania. Hapo nashindwa kuelewa au ni ile ahadi ya mabikra 70 ndio inawatoa akili?

Nashindwa kuelewa kwa kweli.

Tiba
sio kumpigania yeye,nii kupigania maslahi yetu ya hapa na huko tuendako,mungu hana shida na sisi ,ila sisi ndio tunashida nae ndio maana kwetu ukifanya jema kwa maslahi yako na baya vile vile kwa masilahi yako,sio eti ukifanya jema mungu ananenepa na ukifanya baya yeye anakonda,hapana. maana keshatufamisha amri zake na hukumu zake hivyo kwa ajiri hiyo lolote linalotokea tunaangalia mafundisho yanasemaje ,suala ni katika njia ya m'mungu na sio kumpigania mungu,na kupigana katika njia ya mwenyezi mungu ni kufuata taratibu na sheria za mapigano kadri alivyoamrisha inapotokea hali hiyo.
 
Mara nyingi huwa nadhani weupe walipotuletea hizi dini za kistaarabu moja ya malengo yao makubwa ilikuwa tutuvuruga...and perhaps wamefanikiwa kwa certain degree!
 
sio kumpigania yeye,nii kupigania maslahi yetu ya hapa na huko tuendako,mungu hana shida na sisi ,ila sisi ndio tunashida nae ndio maana kwetu ukifanya jema kwa maslahi yako na baya vile vile kwa masilahi yako,sio eti ukifanya jema mungu ananenepa na ukifanya baya yeye anakonda,hapana. maana keshatufamisha amri zake na hukumu zake hivyo kwa ajiri hiyo lolote linalotokea tunaangalia mafundisho yanasemaje ,suala ni katika njia ya m'mungu na sio kumpigania mungu,na kupigana katika njia ya mwenyezi mungu ni kufuata taratibu na sheria za mapigano kadri alivyoamrisha inapotokea hali hiyo.

Kumbe mafundisho ya dini yenu ni kupigania maslahi wala sio kuyaomba hayo maslahi? Kwa nini Mungu yupo then na kwa nini mnafuata hiyo mnayoiita dini yake? Kwa nini msimuombe Mungu hawapiganie? Anyway hii ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa ukitarajia atadance, nyie tayari mmeishakuwa brain washed na chochote anachokwambia mtu kama Makaburi unaona yuko sahihi.

Tiba
 
Mara nyingi huwa nadhani weupe walipotuletea hizi dini za kistaarabu moja ya malengo yao makubwa ilikuwa tutuvuruga...and perhaps wamefanikiwa kwa certain degree!
nakuhakikishia mkubwa wangu mfumo(dini) ambayo mungu ametuwekea ni mzuri sana ambayo tukiufuta vile ambavyo yeye mwenyewe mwenyezi mungu alivyoweka,ukweli ni kwamba dunia pangekuwa mahala safi pa kujidai kabisa maana usawa ungekuwepo ,haki ingepatikana.lakini kuna watu wanaona kufuata mafundisho ya mungu ni kuwazibia mambo yao mabaya wanayoyapenda ambayo yanaenda kinyume na amri zake mungu,hivyo lazima kutakuwa na msuguano kati ya wanaotaka amri za mungu zifuatwe na wale wanaotaka matamanio ya nafsi zao ndio zifuatwe,ila m'mungu ametupa muongozo ambao tukiufuata malalamiko ,vurugu ,dhulma zingekoma kabisa.
 
Kumbe mafundisho ya dini yenu ni kupigania maslahi wala sio kuyaomba hayo maslahi? Kwa nini Mungu yupo then na kwa nini mnafuata hiyo mnayoiita dini yake? Kwa nini msimuombe Mungu hawapiganie? Anyway hii ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa ukitarajia atadance, nyie tayari mmeishakuwa brain washed na chochote anachokwambia mtu kama Makaburi unaona yuko sahihi.

Tiba
yeye mungu hana shida na sisi,keshatuumba na keshatupa maarifa na akili na keshatubainishia vitu vyote avitakavyo ni juu yetu kufuata au kukataa,ndio maana kila mtu anakabuli lake halikadhali motoni na peponi hivyohivyo .kama anaongea ukweli ambao upo kwenye mfumo wa mungu kweli nitamkubali.
 
pole sana ungekuwa na ilim ya diini,inshaallah ungeelewa nini mashekh hawa walichokuwa wanafanya,hata hivyo hueliwi kwamba allah,ametuamrisha tusidhurumu wala tusikubali kudhurumiwa na ametupa amri ya kupigana pale ambapo tumedhurumiwa na tukifa katika kudai haki yetu basi malipo yake tutayakuta kwake yeye allah(.s.w)na muislamu mkakamavu anapendeza zaidi kwa m'mungu kuliko yule goigoi,na hawatohudhunika waliokufa katika njia ya m,mungu(jihad),jihad haiwezi kufa mpaka mwisho wa dunia,kama huelewi uliza ,usitoe fa'twa kwa usilolijua,usije ukawa kafir.

Ooops! Kuchochea ugaidi ni njia ya mungu? Surely we have a big gap
 
Majibu yamepatikana Kanisani kwa watu 6,,,,Bwahahahahaha uwa Mbwa hao kwanza hawana hata dini kazi kulawiti watoto tu na kuoana wenyewe kwa wenyewe kanisani.


Its such a shame.....to have people with minds like yours...such a shame.
 
nakuhakikishia mkubwa wangu mfumo(dini) ambayo mungu ametuwekea ni mzuri sana ambayo tukiufuta vile ambavyo yeye mwenyewe mwenyezi mungu alivyoweka,ukweli ni kwamba dunia pangekuwa mahala safi pa kujidai kabisa maana usawa ungekuwepo ,haki ingepatikana.lakini kuna watu wanaona kufuata mafundisho ya mungu ni kuwazibia mambo yao mabaya wanayoyapenda ambayo yanaenda kinyume na amri zake mungu,hivyo lazima kutakuwa na msuguano kati ya wanaotaka amri za mungu zifuatwe na wale wanaotaka matamanio ya nafsi zao ndio zifuatwe,ila m'mungu ametupa muongozo ambao tukiufuata malalamiko ,vurugu ,dhulma zingekoma kabisa.

Hata siku moja usawa duniani hauwezi kuwepo na once kila mmoja akitimiza malengo yake dunia itakuwa sio pahala pema tena, vyovyote iwavyo ila ukweli uko pale pale kwamba jambo lolote, hata mapenzi ama chakula once ukiisha liingia sana kuna namna ambavyo sehemu ya ubongo wako ina athirika, positively ama kinyume chake. Wale wanaoathirika vyema ni hawa waungwana wanaosababisha amani izidi kuwepo kati ya mtu na mtu na jamii kiujumla ila wale wanaoathirika zaidi ni hao ambao huenda wakajiona wao ni bora kuliko wengine kwenye jamii ama wana moral authority ya kuinuka juu ya wengine wasio na misimamo ama mitazamo kama ya kwao.
 
Hata siku moja usawa duniani hauwezi kuwepo na once kila mmoja akitimiza malengo yake dunia itakuwa sio pahala pema tena, vyovyote iwavyo ila ukweli uko pale pale kwamba jambo lolote, hata mapenzi ama chakula once ukiisha liingia sana kuna namna ambavyo sehemu ya ubongo wako ina athirika, positively ama kinyume chake. Wale wanaoathirika vyema ni hawa waungwana wanaosababisha amani izidi kuwepo kati ya mtu na mtu na jamii kiujumla ila wale wanaoathirika zaidi ni hao ambao huenda wakajiona wao ni bora kuliko wengine kwenye jamii ama wana moral authority ya kuinuka juu ya wengine wasio na misimamo ama mitazamo kama ya kwao.
nimerudia kusoma wee ulichoandika lakini sijakielewa.
 
hata mandela walimwita shujaa vile vile hata yesu walimwona gaidi lakini hii leo wewe ndio shujaa wako,ndio ilivyo tafsiri ya neno gaidi hutegemea na matakwa ya mtumizi,hata hivyo kila mtu utapofika mda wake atapigana kwa nafasi yake,pia kujificha ndio mbinu za vita.

So, who is diabolical Allah fighting? Christians, Kenyans or innocent people of Kenya?
 
ushawahi kujiuliza kwa nini wamama watu wazima wanapenda kujifunika vichwa vyao au kwa nini msibani wanawake wengi huwa wanafunika vichwa vyao hata kama sio waislamu ?basi mwanamke anatakiwa'awe na stara hata wewe (japo sijajua jinsia yako)kama mwanaume sidhani ungependa uwende kwa wazazi wako au watu unaowaheshimu ukiwa na mkeo kavaa nguo ambayo ufito wachupi aliovaa ndani unaonekana!!!na suala la kuwa mtamu sijaua mtamu kivipi hujafafanua.

Kiukweli ktk waislam ambao wanajitahidi kujibu vizuri kwa hoja,umejitahidi mkuu hasa kwa hizi thread kadhaa na kuhusu kufunika kichwa mimi ni mkristo na nakiri kuna sehemu katika biblia inasisitiza Mwanamke kufunika kichwa pale asalipo/aswalipo, na si kukiacha wazi ILA TU hapo kwenye kulipiza kisasi badala ya kusamehe ndipo panaponipa tabu kaka.
 
Back
Top Bottom