pole sana ungekuwa na ilim ya diini,inshaallah ungeelewa nini mashekh hawa walichokuwa wanafanya,hata hivyo hueliwi kwamba allah,ametuamrisha tusidhurumu wala tusikubali kudhurumiwa na ametupa amri ya kupigana pale ambapo tumedhurumiwa na tukifa katika kudai haki yetu basi malipo yake tutayakuta kwake yeye allah(.s.w)na muislamu mkakamavu anapendeza zaidi kwa m'mungu kuliko yule goigoi,na hawatohudhunika waliokufa katika njia ya m,mungu(jihad),jihad haiwezi kufa mpaka mwisho wa dunia,kama huelewi uliza ,usitoe fa'twa kwa usilolijua,usije ukawa kafir.