Getang'wan
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 3,076
- 3,416
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Wewe unakusudia kuua kwa kutokukusudia? Shauri yako [emoji851]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AhahhahApite na pale Bodi ya mkopo akiwa ana fanya mazoezi [emoji23][emoji23]
Mauaji mengi na utekaji mwingi ukitokea hapa.CCM wamemrahisishia Lissu kampeni ya Dar.
Huu mkoa ulikuwa politically very demoralized, Sasa Wamemsaidia Lissu Kuupiga amsha amsha.
Ole wao Dar iende kwa Lissu. Wamekwisha!
Siku moja tu.Hii ni ratiba ya week nzima.
Daktari kafungiwa chumba Cha wagonjwa ili awapatie wagonjwa dose za sindano.Huyu mtu bora afunguliwe tu, hizi sindano zake sio nzuri kabisa, hii dose itaua mgonjwa sio kumponya tena.
Hapa ni bingo kubwa ajabu!3. Nenda Mbagala Kizuiani huko Uswazi.
Ndiyo maana huu mkoa ulijawa na hofu au vipi?Mauaji mengi na ukaji mwingi ukitokea hapa.
Dar ina wapiga kura almost million 3, majitu ya NEC bila hata kutumia akili yakampa Lissu fursa ya kuzitafuta hizo kura m3 wakati alipaswa awe sigimbi huko kwenye kura laki 6 au 7Mnataka siku hiyo Dar ifungwe na wenye mamlaka?
Nawaza tu jiji angekua nalo BASHITE. Lazima tungekua bize mtandaoni Leo [emoji3][emoji3]
Kwani Bashite bado anawamiliki watu wa Dar?Mnataka siku hiyo Dar ifungwe na wenye mamlaka?
Mbona wewe unavaa pampers kuzuia nyaa,mana mzutii umefukuliwa sanaMuwenahuruma kwamwenzenu,mtu anasimamia mguummoja alafu huo mguu mmemvesha kiatu xha kg 5.
bafo mnapanga kumtesa zaidi alhali mnajua kabisa hatushinda!!.
mnataka