Kama nitakuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Kwanza mkuu unamuaibisha the great thinker, Albert Einstein.

Wasema demokrasia ni moja?Hivi nikuulize kwanza demokrasia ilianzia wapi?
 
wewe ungekuwa wa kwanza kuuliwa na kufutiliwa mbali kabisa, unataka uturudishe kwenye siasa za enzi za mao ze dong tsetsung za miaka ya 1940 na enzi za kina nyerere.

wenzako wanasonga mbele wewe unarudi nyuma. Hivi inamaana mpaka sasa hujajua tuu kitu kilichoondosha utawala wa magufuli na bashiru madarakani mapema? ni practice ya siasa hizo za mambo ya kijamaa, matokeo yake zikaishia kuleta chuki na ukabila ndani ya jamii.

pia ni unafki huo, hapo ni lazma tuu viongozi watajinufaisha na kusababisha wananchi wagundue ni unafki tuu, hatimae chuki.

ukimfosi mwananchi kufanya kitu ambacho wee mwenyewe badae utaonekana kwako hukitimizi na kujilimbikizia faida wewe tuu (ujamaa), utaonekana mnafki na msaliti mkubwa na kusababisha chuki.

Heri mtu ambaye yuko free asiyefungamana na upande wowote au mwenye kufuata ubepari, hata badae akija kuonekana anamiliki kitu kikubwa au anafaidika sana, haiwezi ikawa unafki wala kuleta chuki, maana hakufosi mtu wala watu waishi kwa ujamaa na tyari ilishagundulika ubepari ndo zake.
 
Mkuu sijapata majibu sahihi kwa sababu wapo wanaosema 'yes' na wapo wanaosema 'no'.Ninahitaji ushaidi kuhusu Sera zao ili tujue Kama ni za kijamaa au kibepari
 
Mimi nikiwa Rais wa JMT cha kwanza kabisa nitakachofanya ni kufungua ile website yetu pendwa ya "Swaumu" ambayo maza kaifunga mpaka tutumie VPN
 
Mkuu rejea uzi wa awali.Kwa hiyo unataka kusema zao la wahuni, viroboto, kupe, chawa, walaji urefu wa kamba ni zao la ujamaa?
 
Mkuu sijapata majibu sahihi kwa sababu wapo wanaosema 'yes' na wapo wanaosema 'no'.Ninahitaji ushaidi kuhusu Sera zao ili tujue Kama ni za kijamaa au kibepari
 
Mkuu nasikitika kwa kutopata ushaidi wa sera.
 
Mkuu nasikitika kwa kutopata ushaidi wa sera.
Katiba ya JMT 1977
SEHEMU YA PILI
MALENGO MUHIMU NA MISINGI YA MWELEKEO WA SHUGHULI ZA SERIKALI
9.(k) kwamba nchi inatawaliwa kwa kufuata misingi ya demokrasia na ujamaa.
 
Katiba ya JMT 1977
SEHEMU YA PILI
MALENGO MUHIMU NA MISINGI YA MWELEKEO WA SHUGHULI ZA SERIKALI
9.(k) kwamba nchi inatawaliwa kwa kufuata misingi ya demokrasia na ujamaa.
Sijakataa kama katiba inasema.Je katiba inafuatwa?Hivi kabisa mnadhani hii nchi inaendeshwa kijamaa?
 
Umsamehe bure alikuwa hajazaliwa huyo enzi za ujamaa na kujitegemea.
Mkuu rejea uzi wa awali.Nimesema waasisi walikua na maono mazuri ila walishindwa kubuni njia sahihi za kuleta maendeleo.Ndio maana nchi ilivyomshinda Mwl.J.K.Nyerere akaamua kung'atuka (kujiuzulu) kutokana na shinikizo kutoka Bretton Woods Institutions akamuachia Mwinyi.Ukweli ni huu:Toka awamu ya Mwinyi hii nchi inaongozwa kibepari japokua katiba inasema ujamaa (kama uelewi ubepari rejea kamusi ili usikurupuke) sasa nieleze huo ubepari umesaidia nini Tanzania ilhali hali halisi ya nchi unaijua.
 
Huna akili kamwe you can't to be president..... mfumo wa ujama ni mfumo duna.
Ili ufanye maendeleo unatakiwa ufungue mipaka na kuruhusu ushindani wa biashara wenzetu wazungu hii waliliona mapema sana
 
Mzee mbona unataka kutulazimisha kuamini vitu Ambazo siyo.....
Yaani ikiambiwa useme Russia, china ni nchi za kijamaa. Utataja Duh!!! Aibu kubwa sana...
 
Sidhani Kama hapo kijijini kwenu unaweza kupewa ujumbe wanyumba kumi.
 
Huna akili kamwe you can't to be president..... mfumo wa ujama ni mfumo duna.
Ili ufanye maendeleo unatakiwa ufungue mipaka na kuruhusu ushindani wa biashara wenzetu wazungu hii waliliona mapema sana
Labda nikuulize,Hivi Tanzania inaongozwa kijamaa au kibepari?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…